moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Mkeka wote huu SIMO..! duh

Mkeka wote huu SIMO..! duh

akasikilize basi
napendaga simulizi zako za uandishi huuakasikilize basi
hatari fire
Mje youtube kusikiliza audionapendaga simulizi zako za uandishi huu
ALoyce: Kusema kweli Penny Anita nilimwonaga bank pale Posta.. nilikuwa naweka hela nilipomaliza kuweka nikaenda ATM kujua kama imeingia kweli.. nikakuta mlolongo mreeefu wa watu nikakosa pozi basi nikaamua kwenda reception kuulizia balance ndio namkuta mrembo Anita akanikaribisha vizuri sana maskini sauti nyororo ya upole anasauti nzuri ya kuvutia kama kindege
Alipomaliza kunihudumia nikamwomba namba ya simu akaniambia hana simu kwa sasa ... nikaondoka zangu saa 12 nipo mlangoni namwona anatoka anaenda Posta kupanda daladala nikamfuata mpaka na daladala zinapoenda kila daladala ikisimama na mie nasimama mbele ya daladala na gari yangu namwangalia kwa kioo cha nyuma anashuka au anaendelea
Nikamfukuzia akashuka bamaga akapanda la kwenda sinza akashuka kijiweni akaanza kutembea anaingia ndani ndani sasa huko gari haifiki
Kifupi nimemfuatilia mwenzi mzima kuna siku nimemchukua rafkiangu akawa anaendesha gari mimi nimekaa seat ya abiria aliposhuka kijiweni nikamfuata kwa nyuma hauwezi amini huyu Anita alienda kuingia kwenye kanisa moja kichafu kichafu cha udongoo kibayaaa doh nilichoka akakaa huko mpaka saa 1 usiku akatoka akaenda kupanda daladala mpaka mwenge akashuka akapanda la tegeta akashuka Tangibovu akaenda kwao
Sikuelewa kwanini alikuwa anajitesa lakini ni mtoto wa kishua na sijajua kwanini ameenda kwenye kanisa chafuchafu
Sasa Penny naomba uwe rafkiake kwa sasa akishakuamini utaachia ngazi mimi nitaingia kuendesha gari unasemaje?!
Money Penny: nikahisi Mungu ameamua kunitembelea kipekee nikamjibu kwa haraka natafuta tempo job shule imeshaisha nataka nikafanye katempo job mpaka nigraduate unaonaje ukinitafutia tempo anapofanya Anita hapo itakuwa rahisi kumzoea Anita
Aloyce: mmmh ngoja niongee na rafkiangu tuone cha kukusaidia
Money Penny: kingine kabla sijasahau... hela unanilipa ngap maana hii ajira no 2... nahitaji mshahara kila week sio unanimaliza nguvu tu hapa staki kuzeekea kwenye kazi yako pia ukimpata Anita au la sio shauriyangu ni wewe na udomo zege wako maana kwa maelezo yako huyu Anita haujawahi hata kuongea nae zaidi ya pale Benki
Sasa ukimkosa usinilaumu na chenji sirudishi na nikimaliza tempo field nataka ajira full staki ujinga
Aloyce: hamna shida Penny tupo pamoja akaingiza mkono mfukoni akanipa lakini 5 kafanye shopping na nauli ya kuanza Tempo kesho nakuja nikuelekeze upeleke barua ya maombi...akaondoka zake me nacheka kimoyomoyo sijui itakuwaje kama sijaja kuuwawa baaaas tena Mungu atakuwa amenisimamia sana
Kesho kweli akaja nyumbani akachukua barua yangu akaondoka nayo
Baada ya wiki 1 akaja Penny umeshapata field unatakiwa kesho saa 3 interview ndogo nenda benki ya Anita ... nikaelekezwa pale na lakini 5 ingine nikapewa hata ile ya Kwanzaa sijamaliza kuila
Kesho nikaondoka mzee dada kufika nakutana na warembo kibao wameshikilia makaratasi wanasoooma wenyewe wanaambiana hili swali lazima tuulizwe embu nielezee wanajazana ujinga na kuogopeshana
Pembeni yangu kulikuwa na mdada mwengine anaitwa Subira... mimi na yeye tulikuwa sawa tunawashangaa hawa mademu vepe mbona imani hawana?! Tukawa tunaangaliana tunaishia kucheka
Baada ya nusu saa wakaingia kwanza wale warembooo walipotoka wanasubiriana kuulizana mmeulizwa nini kumbe wanayoyasoma hamna hata waliloulizwa wanalalamika interview ngumu mshahara mdogo doh nikachokaaa
Akaja mdada akamwita subira nikabakia pekeyangu wa mwisho subira akakaa nusu saa hatoki uoga na shetani wakaandamana ndani ya akili yangu. .mara akaja kijana akaniuliza we ndio Penny nikamjibu ndio akaniambia nimfuate nikamfuata kuingia namwona subira amezungukwa na grup la mabosi kama 5 naulizwA maswali nikachokaaa
Nikaketi chini na yule kaka nikashangaa yeye ndio ananiuliza maswali ya interview... maswali yenyewe sasa bora yangekuwa maswali basi... nimeishia kuulizwA maswali ya kiboya unaitwa nani. .. unamchumba. . Umeolewa.. mbona mzuri sana.. kwenu mnahela ua.. unauhakika hauwezi iba hela ukakimbia utadhani nafanya interview ya ukahaba ... baada ya interview ya kikahaba nikapelekwa reception naambiwa hapa ndio utakuwa unafanya kazi kwa mwenzi huu mwenzi ujayo utahamishwa huyu hapa ndio mwenzio mtakuwa nae anaitwa Anita. .. kazi ndio imeanza mama kabla ya lunch uje Usain mkataba na mshahara
Kweli sikuielewa ile kazi lakini nikapotezea maana ajira yenyewe nimewekwaaa tu kwan tsh ngap?!
Nikapewa Anita kama Supervisor wangu anifundishe kazi basi rohoni nacheka kweli kwa Mungu hakuna kubwaa ananifundisha sauti nyororo kama sololist wa kwaya
Kabla ya lunch nikaenda kusaini mkataba nashangaa kukuta mkataba wa internship na ni miezi 6 doh nilichoka. ..mshahara sasa doh sikuamini niliona kama nimependelewa kwakweli lkn unafanyaje sasa hakuna!
Kurudi namkuta mrembo Anita amekaa sikuhio wateja hamna basi tukaanza kuongea kufahamiana akaniuliza naishi wap nikamwambia naishi upanga mtaa wa lugalo akaniambia yeye anaishi kunduchi beach nikashtuka moyoni heee?!
Tukaongea mambo ya kawaida tu na mambo ya kazi na nini siku ikaisha. ..wiki ikaisha wiki ya 2 nipo na Anita, mchangamfu mwenyewe mrembo sana.. nikagundua vitu vingi kuhusu Anita
Moja wapo ni mdada msiri sana.. na usiri wake unamfanya aonekane wa mawazo moyoni
Siku moja pale kazini alikuja libaba limoja.. akaja mapokezi akamwambia atone nje kwa kumeamrisha
Anita akatoka akakaa kama dk 10 akarudi analia nikashangaa kulikoni anazidi tu kulia
nikambembeleza pale nikamwingiza ndani akawa analia sana.. baada ya dk 5 boss akaja kuna nini wateja wanasubiria sana nyie mko huku mmefiwa au?!
Penny nikamtetea kuwa anaumwa tumbo la siku ndio boss akapoaaa akamweka mtu mwengine mapokezi akaniambia mpeleke hospital kesho asije kazini apumzike siku 5
Tukaondoka mapemA wote kufika nje akachukua taxi akaniambia twende Penny nisindikize mahali nikajongea Taxini zamani ilikuwa hotcake kama sasa hivi useme Uber
Akamwelekeza DerevA Taxi iende upanga mtaa wa lugalo nikashtuka kujua Anita anakumbuka napoishi
Tukafika nyumbani kwetu uzuri wangu ni kwamba nilikuwa naishi na dada lkn nyumba ilikuwa ya wazee hawashindi hapo kabisa
Kufika Anita akaniambia Penny naomba nihamie kwako tafadhali. .. kumwuliza kwanini hataki kwenda kwao Kunduchi akafungukaaa
ANITHA: Penny ndugu yangu, mimi sina wazazi... wazee wangu wote walishakufaga kwenye ajali ya gari nikiwa nasoma sekondari form 4 nilipomaliza tu maisha ya kijijini yakanishinda nikauza mali zote za wazazi nikaja kuishi Dar pale Sinza Mori .. nikawa najisomesha kwa hela za wazee nikachukua certificate baadae nikajisomesha diploma
Katika soma soma yangu Darasani nikapendwa na lile libaba lililokuja leo ofisini.. mapenzi kolea akanihamisha sinza akanipeleka kwake Tangibovu nikawa naishi nae
Tulianza mapenzi yetu yalikuwa maziri sana akawa analipa ada zangu zote, ananipa hela ya matumizi akaninunulia usafiri wa gari nikawa sijui kuendesha akanipeleka Veta nikaenda kusoma mpaka nikaweza kuendesha gari...zile hela za wazee zikawa zimekaa tu kwenye sanduku ndio akanifundisha kuweka hela banki nikaziweka zile za wazee bank tena kwa siri asijue kwenye fixed deposite
Nilipomaliza shule akanitafutia ajira pale bank nikaanza
Money Penny: oh that's nice so tatizo lipo wapi?!
Anita: mmh we acha tu tatizo yule baba simwelewi unajua ukiishi na mtu ndio unajua kila kitu chake
Yule Baba nilikuja kumkuta ni mvuta bangi mkubwa. .. anakikundi cha vijana majambazi wanafanya na utapeli wanaibia watu kuna siku waliweka kikao pale Tangibovu nikiwa nimelala alfajiri saa 10
Kushtushwa na kelele zao nawsikia wanapanga maovu ya kuvamia watu huku wanavuta vitu vyeupee ...niliishiwa usingizi mpaka leo pale Tangibovu nakuona pachungu
Vile vikao havikuisha wale vijana wa yule baba wakawa wananitaka kimapenzi wakilewa wanafanya fujo zilishawahi pigwa risasi mule ndani baada ya yule baba kunifumania nimeshikwa kiuno na kijana wake mmoja asikwambie mtu sijui niliponaje
Baada ya miaka 3 kupita nikaenda bank kuangalia hela yangu nikakuta imeongezeka ... na kwasababu maisha ya pale Tangibovu yalishanishinda nikachukua hela nikanunua kiwanja kunduchi beach
Nikawa najenga mdogo mdogo kwa siri sana na kujiiba sana... mpaka leo nyumba imeshasha ina vyumba 3.. master room 1 na vyumba vya kawaida 2 ..kuna jiko na choo na bafu na sebule.. nyumba ya mlinzi na garage bila yule baba kujua na mpaka hapa nakuambia hajui kitu
Nyumba ilipoisha nikaipangisha kwa muda wa miaka 2 sasa. . Hela naweka bank na wapangaji risiti wananiletea hapa kukiwa na shida wanakuja pale kazini naenda kurekebisha haya ndio maisha yangu Penny
Sasa ugomvi mkubwa ulitokea miezi 6 iliopita. ..mwanaume akawa mbogo analeta wanawake ndani haniheshimu tena wakati yeye ndio alinibikiri nikamuonya na kumsihi aache tabia yake mbaya lkn hakusikia
Nikaja kuchukua hela aliziweka kwenye droo nikaenda kupanga mtaa wa 5 Tangibovu akanitafuta sana lkn hakujua napoishi baadae vijana wake wakamtonya nilipo akaja kunichukua rudi rudi kibaoo
Maisha na yule bwana yakanishinda siku nimekaa kituoni naskia watu wanahubiri habari za Yesu wadada wazuri kweli wakanipa kipeperushi wananikaribisha kwenye semina nikaenda
Kufika kwenye seminar neno la Mungu likanijaaa nikaokokaa wakanikaribisha kanisani kwao sinza tandale ndani ndani
Nikawa kila week nikitoka kazini naenda kanisani hata kama hamna seminar naenda tu ilimradi nipoteze mawazo siwezi kwenda baa wala night club maana nimeokoka na nyumbani yule bwana simwelewi kawa kama amechanganyikiwa nalala na mabastola masigara mabangi yani kama nipo kuzimu
So nikitoka tu kazini naenda kanisani narudi Tangibovu kwa yule bwana maana kule nilipopanga alinihamisha kwa nguvu nikifika namkuta hayupo naingia kuoga nalala
Akija analala kalewaaa alfajiri naamsha popo nawahi kazini
Sasa Jana jumamosi nikashinda kanisani Kurudi tumegombana anagomba sana ananiambia wewe naskia umeokoka sikuhizi vipi umechanganyikiwa?! acha ujinga
Nikamtemea cheche zangu kuwa simpendi tena nataka kuondoka kwenye maisha yake akanitishia kuniua nikakimbia nikaenda kujifungia stoo akaja akanipiga sana mateke na mangumi... ona hapa kwenye kifua nimekuwa mwekundu ona mbavu zangu hazifai hata hivyo nimejikaza sana kuja kazini leo
Alivyonipiga vile mimi nakohoa damu akaondoka nikakaa sana pale chini kuja kushtuka ni j2 asbh saa 10 alfajiri...uzuri nilikuwa na namba ya taxi dreva nikakusanya kila kitu changu nikaondoka kwenda kanisani sinza akanipokea Pastor Papaa kuona nakohoa damu akanipeleka hospital pamoja na shemasi wa kike yeye akarudi kuendelea na ibada
Nikakaa hospital mpaka mchana nikarudi kanisani ibada imeshaisha nikaongea na mchgj Papaa akaniambia hamna shida uwe unalala kanisani
Jana nimelala kanisani... asbh nikasema nijikaze nije kazini lile libaba lililonipiga ndio limekuja pale linaniambia nirudi nyumbani la sivyo ataniachisha kazi sijui nitaenda wap kazi ndio kila kitu kwangu ni kweli ni yeye akanitafutia lkn Kurudi Tangibovu sirudi Penny naomba niishi hapa kwako mpaka akili ikae sawa
Money Penny nikamhurumia sana Anita.. ila sikuwahi na uhakika sana na ukweli wa maneno yake si unanijua me Penny nilivyokuwa mbishi mpaka nichunguze mwenyewe ndio niamini
Nikamkaribisha kwa mikono 2 nikamwelekeza pa kulala nikamwambia kanisani asiende kwanza tutatafuta simu ya pastor Papaa tumwambie unaishi hapa kwa sasa mpaka baadae akakubali
Tukashinda nyumbani pale tunapika tunakula na kucheka nikiwa na maswali mengi itakuwa kama Aloyce atakuja hapa amkute atakuwa amejiharibia vibaya mno...
KUENDELEA NA HADITHI HII BONYEZA LINK HII HAPA MAHUSIANO ~ 1 – Money Star Stories
hahahaNinayo imani ya kutosha kwa Honey Money Penny . Vishawishi sijui vya 80 milioni ama 3sumCum na kadhalika havimsumbua Honey Money Penny .
Endelea kushusha utamu Money Penny .
D. MONEY PENNY WEWE NI MAFIA
Siku iliofuata ilikuwa j2, asbh nikashtuka saa 11 sina usingizi naona mapichaa yamenivuruga tuu sielewi cha kufanya kwani shetani amepata wapi nafasi kwenye maisha yangu
nikaamka kwenda kujiandaa saa 12 nipo restaurant nakunywa chai, j2 Arusha sijui naenda wapi maana makanisa yenyewe yapo kushoto tuu sijui wapi nikawa nawaza na kuwazua jinsi picha lilivyokaa nikaona hapa hapana asee kuna mkono wa mutu kama sio kichwaa! na mtu mwenyewe lazima atakuwa Papaa, nakumbuka nilimwomba ajira nikimaliza shule sasa nahisi nimeingizwa kazini bila kujijua,.. papaa hayupo hivi buana lakini ngoja nimkomeshe asinizoee me nimeomba ajira za kawaida za kwetu sisi kwa sisi sio ajira za akina nanilihuu staki kabisaa sasa kama yeye ana akili kuliko mimi ataisoma namba
nikarudi chumbani na kumkuta bimdashi Money Stars anajiandaa namwuliza kanisani wapi akaniambia vaa haraka twende nimepigiwa simu baba anaumwaa plz naomba unisindikize, nikaona kwanini nibaki nwakati Arusha mimi mgeni, nikauvalia kigauni flan hivi amaizing kimenishika flan hivi, kichwani nasema mgonjwa leo lazima afufuke
Tukaamsha mpaka Olasiti Arusha mojaaa, kufika bonge la mjumbaaa, miaka ya 95 mtu anamiliki storey house(ghorofa 2) magari sasa yakila aina, ma 5 yamepangwaa buna BMW... JEEP...FORD RANGER...JAGUAR... DISCOVERY... doh nikachoka kichwani nasema ndio maana Doto Anita alikuwa na haki ya kutekwaaa
Kuingia ndani tukasikia surpriiiiiiseeeee... eh nini tena kumbe ilikuwa surprise birthday ya Money Stars! doh watu nyomi ya kufa mtuu!
nikatambulishwa pale Money Penny watu wanashangaa wanatuita ma twin! shughuli ikaendelea nikapelekwa kumsalimu mama ya Money Stars mzurije sasa mweupee kama panadol... nikapelekwa kutambulishwa kwa mzee Don Mwenyewe baba ya Anita na Money Stars baba mweusiiii usiku utasubiria sana alafu handsoooooome wale mababa handsome flan hivi u know!
Baba anita ananisalimia huku ananikagua mbele na nyuma nikasema kweli vipusa walizaliwa tangu Adam na Eva walivyofukuzwa bustani ya Eden
tukaondoka kwenda kujimix na watu wengine lakini baba ya Money Stars akawa ananiangalia sana kama vile ananifahamu or something
kuangalia kukazidi nikaamua kwenda kuongea nae
Money Penny: Mzee how r u?
Baba Money Stars: am fine dear, sijui wewe mtoto mzuri
Money Penny:nikajua ohooo ndio wale wale baba bombaa!... nikawa namwangalia tu
Baba Money Stars: mtoto una macho na kiuno na mgongo mzuri.. mwanangu umemjua wapi
Money Penny: aliniletea vurugu hoteli flani nikamtwanga ngumi akaamua kuniganda mpaka leo
Baba Money Stars: ahahahaha una vichekesho pia sio? hio hotel mimi siwezi kuja kukukaribisha Arusha labda tukutane hotel flani, akatoa business card ya hio hotel, usiku wa leo saa 6 nitakuwa hapo ukifika waambia chumba namba 24 cha Don watakupatia funguo utanisubiria hapo tutakuja kuyajenga
Money Penny: nikachoka lakini moyo uliendelea kutembea kuyajenga ndio nachotaka lakini huyu Don buana ku deal na ma Don kuna mawili.., kushinda na kushindwa, unaweza kushindwaa ukaangukia kuzimu saa chache za mbeleni sana na unaweza ukashinda ukaangukia peponi(Mbinguni) ukaishi maisha mazuri milele na mwokozi hicho ndicho kilikuwa kinaniogopesha.. nikamuangalia usoni kwa macho ya genye, macho kama kungu Don kachanganyikiwa basi tuonane saa 4 usiku saa 6 naona mbali maana macho yako yananiita tayari... nikazidi kumkolezea mimacho, akacheka basi saa 12 jioni uwe pale hamna shida
Money Penny: usichelewe kesho narudi kwetu Dar mara akaja Money Stars Penny twendeni tukakate keki tafadhali, nikavutwa mikono huyoo mpaka kwenye keki
akaimbiwa pale mwenyewe anaskia rahaa, ametimiza miaka 25 doh kweli kawa mkubwaa
baada ya kula keki na kukaa kuongea na mama Money Stars akaniambia aliwazaa mapacha na mwanae Doto alitekwa nyara mpaka leo hawajamwona nikawa natamani sana nimweleze lakini roho inakataa
nikahamisha topic nikamwambia mama natafuta ajira nakaribia kumaliza shule unaweza nisaidia?
Mama Money Stars: hamna neno akatoa business card yake, nitumie CV zako ukimaliza shule na ukishapata cheti nikuangalizie kazi UN kuna posts watatoa
Money Penny: kusikia UN macho yakanitoka maana kupata kazi UN miaka yetu shavu dodo sijui miaka hii
nikamuaga naenda toilet maramoja, nikaingia toilet nikawa nachungulia pale nikajua Money Stars alipo na babake na mamake nikapita mlango wa nyuma nikakimbia nikaenda kuchukua taxi nikadondokea hotelini kusanya nguo zangu zote nikaaga reception narudi DAR nimepata zarura nduki nikaingia hotel ya DON hapo saa 11 nanusu jioni
Nikakaaa weeee saa 12 hajaja mtu nikaona sasa hii set up nisije nyongwaa nikachukua simu nikampigia Aloyce hakupokea, nikasema leo ni leo siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule baba sio mjinga kuniambia tuonane ma DON buana wapo kama amshetani muda wowote wanabadilikaga
nikaamua niyamalize na Papaa nikampandia hewani, simu ikaita sana ikakatika, ikaita tena mara ya pili ikakatika hajapokea, nikaona hapa sio kwa kukaa nitachunwa ngoziii miaka hiyo ya 95 mademu kibao walikuwa wanabakwa na kuchunwa ngoziii, nikaona hapa nafwaaa.. nakusanya kila kitu nikasema ngoja nipige kwa mara ya mwisho hapo saa 1 usiku tayari nikampandia hewani papaa, simu wakati inaita nikaskia mlango unafunguliwaa kuangalia ni DON, na huku simu ikapokelewa haloo haloo Penny haloo, nikaikata!
Don kuniona kafurahi midadi sijui ndio midadi hata simwelewi! doh Penny wa watu nilikumbatiwaje! mzee ana mahaba balaaaa
Baba Money Stars: mtoto mzuri siamini kama kweli umekuja, yani tangu nimekuona nikakupenda bure, masifa kibao kaaaaaa... akaanza kunivua nguo nikamwambia aaaa.. ngoja kwanza embu kaa
Money Penny: Mimi sikujui siwezi tembea na wewe na wewe ni baba wa rafiki yangu haitakuwa vizuri
Baba Money Stars: akacheka sanaaa! ni kweli unachokisema mrembo lakini wewe sio mavi yangu sijakuzaa
Money Penny: naogopa leo nafwaa!
lakini mimi sina tabia ya kutembea na baba za watu.. Mungu hapendi ni dhambi na mimi sio changudoa!
Baba Money Stars: aisee, ur soo childish! wenzio wanazitafuta hizi nafasi hawazipati... ila watu kama nyie wasumbufu mnakuwaga watamu na kuna kitu mnakuwa mnataka
Money Penny: mavi yakanibana, leo nafia Arusha najutaaa kuja!
wala sitaki kitu kwako
Baba Money Stars: kwanini umekuja huku sasa
Money Penny: mwanao ana mikelele sana kama mtoto wa nursery, nimemkimbia na nilishapanga kumkimbia, ila kwasababu umenipa mualiko nimekuja ila sikuja kukuvunjia ndoa yako!
Baba Money Stars: hahaha na msimamo unao, mwanangu kweli kapata rafiki, akaniangalia weeee, akasema, lakini sijui kwanini nimetokea kukupenda tangu nimekuona nimekupenda sana!
sawa me nalala au una kingine cha kuniambia
Money Penny: nikajiona mjinga sana ni sawa na kupewa YESU alafu akija unamwangalia kama TV, huu ndio ulikuwa wakati wangu wa kumaliza shida zangu zote.. yule mkewe sidhani kama atanitafutia kazi kama alivyosema najua alikuwa anataka nikae mbali na mumewe sasa hapa lazima nicheze faulo!
nilikuwa naongea na mwanao na mamake akasema ulikuwa na twins
Baba Money Stars: Yes dear alitekwa nyara
Money Penny: haukufanikiwa kumpata kabisa?!
Baba Money Stars: hapana nilijaribu kila kitu enzi hizo sikuwa na pesa mtoto mzuri kama sasa hivi, ndio maana nilishindwa, niliuza kila kitu mwanangu apatikane lakini hakupatikana... hicho ni kidonda ambacho sijui ni lini kitaponaa mrembo huku anakunywa whisk kavu doh kweli Mzee alikuwa na maumivu sio kitoto!
nikimpata binti yangu nitafurahi sana sana, sisi tulishajua alishakufa no mama yake alishajua amekufa ila mimi moyoni bado kunaniambia mtoto wangu yupo hai na ni mkubwa sasa
Money Penny: unahisi nani atakuwa amekutekea nyara? maana uhasama unakuja pale unapokuwa umemzulumu mtu..
Baba Money Stars: akacheka tu huku anakunywa! mrembo una maswali sana kama afande, ila wewe sio afande, ngoja nikueleze
Nilikuwa nafanya biashara na bwana mmoja ya madini huku Arusha alikuwa Mtz anaeishi Kenya, biashara miaka ya 80 mpaka 90 ilipofika mwaka 91 haikuwa nzuri, nikamwomba anikopeshe hela nikaoe, kama milion 10 za kitz...
Money Penny: nikatoa macho hawa watu wapo serious au? doh mil 10 miaka ya 91 kweli kazi ipo
Baba Money Stars: akanikopesha nikamwoa mama wa rafkiako, nikamfanyia sherehe kubwa sana Arusha, tukaenda Honey Moon Uingereza, tukakaa kama miezi 6 akapata na ujauzito! tukapanga kurudi, ikashindikana maana alikuwa anaumwa na kutapika sana, wakashauri ajifungulie uingereza ijapokuwa hawakupenda sana lakini watafanyaje, mkewangu akajifungua watoto mapacha kulwa na doto nikawaita Anija (Kulwa) na Anita(Doto)
ikabidi tukae sana tukamaliza miaka 2.. watoto wakawa raia wa huko Uingereza, nikaamua kutafuta vibarua sasa huko huko uingereza nikapata kazi, nikafanya kama miaka 3 mbele ya pale.. nikapata hela nikijua nkitaenda kumrudishia yule bwana zake na kufanya biashara zangu mwenyewe
kurudi Tz watoto wana miaka 5, nikamtafuta yule bwana, sikumpata nikaenda mpaka nyumbani kwake nikaambiwa hayupo alishahama anaishi Tz, jinsi ya kumpata hawakuwa wanajua
nikaenda mpaka kwenye vyombo vya dola namtafuta hakuna hilo jina kumbe alishabadilisha jina
nikaendelea na maisha mpaka watoto wakakua wakawa na miaka 7, nikawaanzisha shule, kumbe yule bwana alishafilisika vibaya mno akaja Arusha kunitafuta hakunipata akaja kuishi Dar, sijui wapi,
watoto wakaanza shule safi mwaka wa 1 nursery ukaisha walipoingia miaka 8 wakaonekana wanaakili sana wakarukishwa darasa, wakaingia la 2 mimi nikaendelea na biashara zikakubali sana sio za madini tena zingine tu, siku narudi nyumbani naambiwa watoto walikuwa wanacheza shuleni akaja kijana kuwachukua kulwa akawa analia anasema hamjui ikabidi wamuache kwanza akae, yule kijana akaondoka na doto maana doto hakuwa na shida na yule kijana!
ndio mpaka leo sijamwona tena Doto wangu.. Anita nina uhakika ipo siku nitaonana nae tu
Money Penny: mmmh! kichwani najiambia mbona hii hadithi kama haijakaa sana,,, yule Money Stars amesema walitengana wakiwa wadogo chini ya miaka 5 baba mtu anasema miaka 8 doh mbona sheedah
pole sana Mzee, pole ila kama unaamini moyoni mwako kama yupo basi atakuwepo haina shida
Baba Money Stars: huku anameza whisky yake, yes mrembo ngoja nilale kesho naenda kazini saa 2 nina kikao na mheshimiwa
Money Penny: unaweza mkumbuka jina la huyo business partner wako unaehisi amekuchukulia mtoto?
Baba Money Stars: ah sijui kama anatumia hilo jina tena mara waseme amekufa hata sielewi anywho if it helps you to sleep anaitwa.... la kisanii... la kwake kabisa ni ...
Money Penny: mmmh sio lile jambazi linalomtesa kweli Anita Dar? hapa kuna kitu sio buree!
Baba Money Stars: njoo tulale basi mrembo
Money Penny: mimi sina usingizi Mzee
Baba Money Stars: usiniite mzee tena bwana, niite mpenzi.. kwani mimi nimekuzaa?
Money Penny: ngoja nikae kwanza nina mawazo sana,
Baba Money Stars: njoo ulale ujue mimi nakupenda sana mrembo ivi unaitwa nani?
Money Penny: hahaha kweli napendwa hata mimi naona! ungekuwa unanipenda ungeshajua jina langu
ngoja kwanza nina stress za kufa mtu
Baba Money Stars: shida nini mrembo mtoto mzuri kama wewe unashida gani, au ni ki boyfriend kinakusumbua? achana nacho ur too beautiful to be stressed, uwe na mimi basi nikupe maisha
Money Penny: wakristo tunaruhusiwa kuoa mara 2
Baba Money Stars: hahahaha ur soo funny, mimi nalala upande huu ukimaliza kuwaza uje upande huu
Money Penny: ukiamka hautanikuta narudi Dar naingia kazini j4 asbh
Baba Money Stars: akaanza kukoroma kumbe hajasikia ninachoongea
Money Penny: doh hii ya leo ni zaidi ya sinema... ningekuwa mwandishi ningeandika hadithi! sasa hili zee linidanganye inisaidie nini.. nimwamini nani sasa?! mbona kiza kinene?!
nikatoka chumbani nikaenda kutafuta mpira reception, hapo roho inaniuma kweli kweli.. doh! kutembea na mizee inakuwekea nuksi kweli kweli, namuwaza yule maza na wale mapacha wake
nikajikaza moyo. mimi ndio penny, wanasema siri zinatokaga kwenye mechi, ngoja nikajaribu huenda nikajua ukweli wa mambo yote!
kufika namkuta Don anakoroma hatari ikabidi nilale, genye zote zikazodokaaa! usingizi hauji nikaamua kupaki, nikaenda kuoga nikashuka kula hapo saa 6 usiku! doh ni sheedah! nawaza na kuwazua nikarudi kulala saa 8 usiku
saa 10 asbh Don akaniamsha kwa mahaba, doh nilijuta kumfahamu!
nilipigwa show mpaka nikaomba poo! mzee lakini sio mzee kweli jina la DON linamfaa! mzee kijanaa.. mzee ana show hatarious, waswahili tunaziita show za kifalme!
Baba halali masaa 2 mzee yupo fiti mimi kijana nikachukue kozi!
mpaka kuja kukaa sawa ni saa 12 asbh nimechoookaaa nataka kulala tuu! nikalala
kushtuka saa 4 asbh naona kushaletwa breakfast, nikasimama siwezi naona naumwa show ya jana ilikuwa sio ya kitoto alafu DON alikuwa wa moto sikuelewa kwanini! japo mechi ilichezwa na mpira lakini sio kwa joto lile, utadhani nilikaliwa na moto kifuani.. huenda Mr and Mrs Don hawapo vizuri au Mr Don mwogaaa!
nikalala tena lisaa 1 nikasikia simu inapitwa, kuinuna nakuta Papaa..
Papaa: we penny uko wapi?
Money Penny: kwanini?
Papaa: nipo hotelini kwako sikuoni
Money Penny: nikakata simu nikarudi kulala, baada ya lisaa li 1 simu ikapigwa, kuangalia ni Papaa, nikakataa
kucheki saa saa 6 mchana tobaa nikaenda kuoga, kurudi nafungua breakfast nakuta hela mil 5, na kinoti toka kwa DON
Baba Money Stars: Mrembo wangu, nakushukuru sana kwa kunifanya kijana tena, sitaki kukuacha nakupenda, hii ndio business card yangu na nauli ya kurudia Dar, tuwasiliane! Nimekupenda sana hauna mambo mengi, nanilihii yako imesema yote!
Money Penny: nikachoka, nikavaa nguo haraka haraka! nikaziweka zile hela kwenye sanduku nikakaa kunywa chai huku nasonya me kuambatana na mizee ni ushuzi mtupu ataniletea manuksi mimi bado mdogo buanaaa!
katika waza na kuwazua, mara naskia hodi!
nikainuka kufungua namkuta ni Papaa! doh huyu mchungaji kageuka mzuka au
kuingia na kuingia akanishambulia na mabusu motomoto!
Penny nimeamka na nyota ya jahaa! chiu moja yote itumikie mabwana wawili ngumu jamaaa! nikastopisha show za mabusu
Money Penny: wewe na Arusha wapi na wapi?
Papaa: Mama mimi nimekuja Arusha kwa ajili ya swala moja tu kukwambia ukweli
Money Penny: doh! enhe ongea huku namalizia chai
Papaa: unajua Anita ni mzuri sana ila sio mzuri kama wewe Penny!
Money Penny: mmmh! enhe!
Papaa: ndio maana nimefanya yale yote, nimekupa akaunt ya bank, nimeongea na Aloyce akutafutie kazi Bank
Money Penny: heee! Aloyce pia unamjua?!
Papaa: nimekuachia akaunt yangu ya bank kwani wewe ulikuwa unadhani nini?
Money Penny: bwana wee skiliza..
Papaa: Penny mimi nakupenda wewe!
Money Penny: eh tenaa?!
Papaa: kweli nakupenda sana! naomba unikubalia ombi langu la kuwa mpenzi wangu, nitakupa maisha yote unayotaka!
Money Penny: nawaza, kwani leo nimeamka na Yesu au? mbona mapicha picha tuuu!
Papaa: akaanza kunichum chum palee weee penny nikakolea na hivi nilishasimuliwa kuwa ana mzigo wa haja nikaona nihakikishe!
katika fukua fukua za hapa na pale doh kweli Anita hakuwa amekosea kudandia three sum mzigo mkubwa, nikiangalia jana usiku nimesimamia show matata ya Don sidhani kama naweza endelea tena
nikajinyofoa kwa Papaa lakini Papaa hakubali! alitaka show idondoke siku hio hio saa hio hio kang'ang'ania weee ikabidi nimwambie lete mpira la sivyo mechi haichezwi
papaa wa watu kaenda kutafuta mpira pharmacy akaja, nilidungwaaa doh kweli mzigo wa haja alikuwa nao
tatu bila penny nikatoka kapa, si jana yule mjinga Don keshanimaliza nguvu! doh nilipigwa show mpaka chiu ikaomba poo!
baada ya masaa 4 simu yangu ikapigwa nikaangalia namba sijui kupokea kumbe ni Don! doh!
Don: mrembo umeamkaje umesharudi Dar?
Money Penny: salama, shikamoo, bado
Don: shikamoo kampe Babako Dar kwani unaninyima nini? kama haujaondoka usiondoke nimeambiwa niende Dar kesho asbh nina kikaao usiondoke tafadhali
Money Penny: sawa nakusubiria
Don: nakupenda mrembo
Money Penny: mhh! nikakata simu, sasa kumtoa nyoka Papaa hapo ilikuwa mbindee, nikaenda kuoga fasta nikajirembaaa! nikakusanya kila kitu changu na chake, nikamwambia jiandae basi tukakaa nje tuyajenge akaamini akaoga fasta, ile amemaliza kuvaa mimi nishatandika kitandaa, tunataka kutoka naskia mtu anafungua mlango tobaaa, Papaaa anashangaa nani huyu anafungua mimi namjua anaefungua
Akafungua akaingia Don, baba ya Anita na Money Stars! nikasema leo nafwaa, uzuri Papaa hakuwa amenishikilia kimahaba nikazuga fasta
Money Penny: oh baby! umerudi karibu!
Papaa: macho yanamtoka! kabla hajauliza huyu nani maana hasira ishamjaa
Money Penny: Baby, huyu ni kakangu anaitwa Patric amekuja kikazi Arusha akaona aje kunisalimia, huku namkonyeza Papaa kwa jicho moja huku naomba kwa Mungu asije akapandisha mashetanii nimekufaa
Basi Papaa akaniaangalia sana akamuangalia na yule mzee, akamsalimia ah salama sijawahi kukufahamu wala kukusikia wewe ni?
Don: mimi ni shemeji yako mtarajiwa, naona imekuwa mapema sana kuonana na wewe, ila nashukuru kwa kuja, naona mlikuwa mnatoka!
Papaa: ndio tulikuwa tunaenda kula,
Don: basi hamna shida twendeni wote maana ndege inaondoka saa 1usiku na hapa ni saa 8 mchana najua tutakuwa na muda mwingi wa kuongeaaa
Money Penny: nikashukuru Mungu Papaa kunielewa ila alikuwa na hasira sana, hakutaka hata kuongea na yule bwana kufika chini akajifanya anapokea simu akaongea wee sisi tumekaa tunamsubiria, akaja akaaga nimeitwa mahali kuna dharura, shemeji nimefurahi kuonana nawe some other time tutaongea, namba yako nitachukua kwa Penny
Don: ah hapana bwana basi iandike, akamtajia pale akaandika
Money Penny: nacheeeeka kimoyomoyo kweli Mungu yupo, leo nimemkomesha Patric a.k.a fake Pastor!
Papaa: akaaga pale akaja akanikumbatia madai mzungu ushuzi mtupu akaondoka
tukala msosi na Don tukarudi chumbani akanirudia kwa mpira lakini maana Penny me mkorofi hakuna mechi inachezwa bila mpira zee la watu likanielewa!
Don akanishindilia kweli kweli utadhani alihisi kuna mtu amenipitia siku hio au alitonywaa! kanikamua kweli kweli kuja kushtuka saa 11 jioni tukaoga fasta Aiport moja tukapanda ndege mpaka Dar!
Dar nikatua akakuchukua Taxi mpaka Kilimanjaro Hotel, doh! bonge la room kama zile vyumba wanakaa maraisi!
Tulipoamka mechi ikapigwa tena, hapo Penny Nimechoka kweli kweli, baada ya lisaa limoja akaniaga naenda kwenye kikao na mimi nikamuaga naenda kwetu, akaniomba nikae hotelini nikitoka kazini nirudi hotelini, nakataaje kwa mfano?!
Money Penny nikaingia kazini bank mojaaaa! namkuta bimdashi Anita a.k.a mtekwa nyara
mxiiiiuuuuu ushuzi mtupu!
Kumbe juzi jana na leo nimetoka kukalia mtaribu wa faza wake!
Woyoooo Money Penny sina roho mie, Mafia wanachukuaga kozi kwangu! ahahahahaha kidding!
TUONANE TAR 27 MARCH 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
E. MWANZO WA MAMBO YOTE 👇 👇
Kufika ofisini sikumkuta bi Anita nilipoulizia nikaambiwa ameenda likizo fupi ya wiki 2… nikashukuru Mungu maana angenisemea kwa sista chaumbea yule!
Nikaendelea na kazi lunch time akaja Subira,
Subira: Mrembo mzima? sijakusikia sikukuu zote hizi vipi mama ulifichwa?
Money Penny: wala sikufichwa nilikuwa tu mwenyewe ndani napunguza mawazo
Subira: naona bibie kaomba likizo, lazima aombe likizo sio kwa lile tukio la majuzi kati
Money Penny: tukio gani tenaa?
Subira: mmmh!
We acha tu Penny kwani Anita hakai kwenu? ungemwuliza yaliotokea
Money Penny: mmh mbona yupo poa tu lakini ameondoka amesafiri kasema kaenda Bagamoyo kujipumzisha
Subira: Bagamoyo tena? Walokole nao wanaendaga kujipumzisha?
Hahaha kwani ameondoka lini Money Penny?
Money Penny: mmmh tangu sikukuu ya majuzi iishe ile ya Nane Nane (hapo namdanganya mimi sijui kitu nabahatisha)
Subira: Basi mama Yule shogako ni Malaya hakuna mfano hata sijui anafanya nini huko Kanisani
Money Penny: Malaya tena?
Kwani kuna nini mbona unanirusha roho?
Subira: sikuile nilipokupa ule mkanda wa Fake Pastor na bi Anita unakumbuka?
Tukajaga kuondoka kila mtu kajazwa!
Basi Penny mimi nikaamua kuendeleza u-snitch nijue nini kinaendelea kati ya wale wawili kwahiyo sikuacha kwenda pale anaposalisha Yule mjinga
Nikawa nawahi sikosi ibada nakaa na washarika, sikumoja nimewahi namkuta msharika analia katika ongea ongea nae, akaniambia ana ujauzito wa Yule fake Pastor wenu!
Sikuamini, maana mademu wa kule wana siri nyingi nikambana kwanini aseme ni ujauzito wa Fake Pastor?
Yule binti kakomaa ni wake akanieleza mara ngapi ametembea na Yule Muhuni, tena sikunyingine ibada za j2 zikiisha tu, watu wakishaondoka wanaonana usiku nyumbani kwa Yule mjinga!
Sikuamini na wala sikutaka kuamini, nikaendelea kumdodosa maana kwanza kale kademu kanaonekana macho juu juu huenda anapepo la ukahaba!
Akawa anang’ang’ania ni ya Yule Pastor ni ya Yule Pastor nikaamua kumuaribia Anita kuupata ukweli wote wa fake Pastor wako!
Nikamwambia Yule binti unajua Yule Pastor anataka kufunga ndoa haya maneno unayaongea unauhakika ni ya kweli?
Maana mkewe mtarajiwa yupo hapa hapa Kanisani, akashtuka anataka nimwambie ni nani?
Nikakataa kumweleza akanibana niambie tafadhali, nikamtaja Dada mwingine kabisa, akashtuka haiwezekani Yule mbona ana Bwana wake anahesabu sadaka na wamepanga kuoana mwakani kumbe anamzunguka alafu huyo unayemtaja ni best yangu sana
Nikasema enhe bibie kafunguka, nikachokoza tena kumbe yule muhesabu sadaka anamuoa yule best yako
… akajibu ndio
.. nikamwambia mbona muhesabu sadaka anatembea na kademu kamoja kanaitwa Anita?!
Yule dada alichokaaa!
Anita huyu huyu ninayemjua au?
Mungu wangu weee!
Nikamwuliza vipi mbona unaguna mama?
Akaniambia yule muhesabu sadaka ana ukimwi!
Na nilishatembeaga nae sana kabla hajawa na best yangu huyu ambae anataka kuolewa na Pastor na kama Anita ametembea nae ina maana Anita anaukimwi
Nikamwuliza kama wewe umetembea nae ina maana unao pia kwanini unashangaa ya Anita?!
Akanyamaza kwa muda huku amefura hasira nikajua tu hapo kuna kitu either mimba sio ya Fake Pastor au Anita hana ukimwi na hili jingas litakuwa lina mimba ya muhesabu sadaka.. basi ibada ikaanza bimdashi mwenye ujauzito akatoka nje
Ibada ikaisha kama kawa Bi Anita akabakia kumsubiria Fake Pastor, mimi nikaondoka moja kwa moja ofisini kwa Fake Pastor, nikauiba ufunguo mmoja wa nyumba ya Fake Pastor!
Nilifika nyumbani kwa Fake Pastor, saa 1 usiku alirudi nyumbani saa 4 usiku tena wapo na Anita!
Si unakumbuka Penny, uliniambia ile ishu ya Hotel nikajiandaa kabisa na vifaa nikavitegaa!
Nina kikamera change cha Canon nilipewaga na bwana mmoja kadogo aliniletea toka Uingereza nikakiegesha mahali ambapo fake Pastor hatojua!
Wakaingia wenyewe wanabebana wanacheka wanafurahi stering nipo chumbani mtupu! Wakanikuta nimekaa kitandani kimahaba zaidi wakashangaa!
Anita akaanza kufoka hapo unafanya nini chumbani kwangu? Si unanijua mimi mafia sijibu ujinga nikamwambia nimekuja kuchukua mrejesho leo siku yangu ya mrejesho wewe nenda uje kesho!
Fake Pastor alichokaaa! Nikamwambia wewe mjinga sijui Mchungaji ahadi yangu unaikumbuka lakini ndio leo uliniambia nije skunyingine nimeshakuja!
Doh Pastor ikabidi awe mpole, akubaliane na ombi langu yani pale Penny hamna Mchungaji kuna lihuni toka Kuzimu!
Akamwambia Anita aende tu nyumbani wataonana kesho Anita akakataaa analia nikainuka kitandani nikambembeleza bi Anita, basi hamna shida tufanye shea kama skuile Kanisani,
Akawa anakatakaa mi nikaendelea kumtega Mchungaji akalainika nikamwambia Anita either uje au uendelee kutuangalia, sijui li Anita likaona nafaidi si likaja!
Ikapigwa Three sum ya kufa mtu Penny huku Camera inarekodi!
Kama kawaida kila mtu aliondoka amejazwa!
Asbh yake ilikuwa sikukuu ya Eid, nikajifanya nimechoka, Anita akaondoka wa kwanza, fake Pastor akamfuata!
Mimi nikanyanyuka nikaitoa ile Camera nikaiweka kwenye pochi, sikuoga nikavaa Faster nikaondoka, kwahiyo mrejesho wako Penny huu hapaaa, akatoa Memory Card ya Camera akanipa, kama hauamini iweke kwenye computer hapa uhakikishe
Money Penny: nikachokaa! kweli SUBIRA Mafia!
Kuangalia kwenye Desk top ni sheedah! Nikamchukuru Mno!
Kabla sikitu hajaondoka, akaniambia lakini sijui kama shogako atakuwa na mahusiano tena na lile huni!
Maana asbh aliamka kwa hasira wakaongozana na Yule Muhuni anambembeleza, naskia wamegombana me sijui lakini naskia wamegombana sana, mpaka Yule Pastor sijamwona tena kanisani juzi na jana hakuwepo mara naambiwa kasafiri kikazi hata sielewi mimi niliopoona kazi yangu imeisha nikarudi zangu mtaani kuwa SUBIRA tena!
Kwahiyo mtafute shosti yako najua kaomba likizo makusudi anafikiri mimi nitamtangaza hapa ofisini lakini wala siko hivyo!
Money Penny: nikamshukuru sana SUBIRA, sikuamini, Movie ile inahitaji malipo makuu sana!
Sikuhio hio nikaenda kwenye Bank akaunt ya Fake Pastor nikatoa Mil 1 nikaja kumpa Subira akafurahi sana!
Subira: Penny ukipata kazi zingine naomba uniambie maana doh sio kwa mihela hii
Money Penny: Poa boss yake usikonde mimi na wewe tena?!
Nikaendelea na kazi zilipopungua nikamcheki Anita hakupokea simu, nikamcheki Sister akaniambia shogako ameondoka hajaaga hapa tangu majuzi sijui kaenda wapi mtafute mwenyewe, nikamwomba anisaidie kumpigia maana kwangu hapokei hata simu ya mezani hapokei!
Nipo buzy na shughuli zangu namwona Aloyce anaingia anatabasamu, kaja kumwona mpenzi wake Anita!
Nikamwambia hayupo yupo likizo, ila sikuhizi ana simu namba yake ni hii embu mtafute ujue yupo wapi niende maana kwangu kaondoka siku 2 zilizopita!
Aloyce kama kawaida na midadi yake akamcheki hewani, woi kwani Anita anapokea sasa simu walaa utadhani imeibiwa kumbe anayo mfukoni
Nikampigia PAPAA akapokea
Papaa: shida?
Money Penny: Anita
Papaa: kwani mimi mzazi wake
Money Penny: nipe niongee nae
Papaa: simjui wala sijui alipo
Money Penny: wewe ndio mtu wa mwisho kuonekana nae, nipe bwana acha ujinga
Papaa: akakata simu
Money Penny: nikasema ahaaa! Kumbee ndio michezo yenyewe basi hamna shida!
Nikaendelea na kazi jioni nikarudi hotelini kwa DON, hayupo!
Doh ya leo kali nikalala, asbh DON hayupo nguo zake zote zipo sikujua alipoenda, simu yake haipatikani, nikaulizia Reception naambiwa alirudi akaondoka tena hajaja tena
Nikawaza atakuwa wapi nikaenda kazini, Mchana Don akaja kuni-surprise akaomba tuende lunch, njia nzima anaomba radhi kwa kutolala Hotelini jana,
Money Penny: ikabidi nitabasamu feki, lakini kama hajalala kwako anajua alipolala na mimi haikunisumbua maana wanaume wote baba yao mmoja (shetani)!
Baada ya chakula cha mchana ikabidi kila mtu arudi kazini kwake, jioni wakati natoka Kazini namwona Bi Anita nje ya mlangoni, nadhani alikuwa ananisubiria
Kumwangalia naona kama analia, kumwangalia vizuri naona amevimba usoni kweli kweli, nikamhurumia, nikamkumbatia, nikamwomba aniamini anifuate tukarudi hotelini Kilimanjaro Don akiwa hayupo!
Kufika ikabidi afunguke kuhusu ya Papaa, kuwa alikuwa anampenda sana, haijawahi kutokea blah blah kibao, na jinsi amemuumiza kwa kutembea na SUBIRA, zaidi ya mara 2 na jinsi three sum ilivyoenda mara 2 na hajui cha kufanya akaomba msamaha kuondoka kwetu bila kuaga akaogopa kurudi akaamua kuja kuniona ofisini,
Yani Anita akiongea utadhania Malaika wa Nuru kumbee!
Baada ya kunieleza makorokocho yake yote ambayo nayajua akaniuliza nafanya nini hapa, nikamdanganya nimekuja kujipumzisha, pia kuna kabiashara nataka kukafanya Arusha, kuna mwekezaji amekuja jana naonana nae hapa ndio nimekuja kulala huku hamna jinsi,
Money Penny: usijali utarudi kuishi na sisi, tunakupenda, sasa ulienda wapi ulijificha wapi Dada ananiambia haukuonekana siku 4 hizi
Anita: sikwenda Bagamoyo! ukweli ni kwamba nilirudi kwa Yule Mpenzi wangu libaba la Tangibovu, nilitaka kumwambia kuwa aache kunifuatilia, nimeshapa mtu mwingine napendana nae,
Kumweleza vile ni kosa, akaamua kunipiga, alinipiga sana sana sana na baada ya hapo alifosi kulala na mimi,
Money Penny: sasa ulifikaje ofisini leo jioni,
Anita: aliniambia nisahau kurudi kwa huyo ninayempenda, akanifungia siku ya 1, ya 2 ikabidi nipige simu kuomba likizo ofisini maana sikujua nitarudi au la, siku ya 3 nikamdanganya nampenda, tusahau yaliopita, tuendelee najua hakuamini lakini ilibidi ajifanye ameniamini, nikazidi kumwaminisha, siku 3 hizi akajisahau nikatoroka ndio nikakimbilia kwako
Money Penny: yani Anita ni mwongo mzuri, nimemsikiliza nimeskia kuchoka tu na hivi nimetoka kazini chokest anazidi kuniongezea uchovu!
Dah! kazi kweli kweli, bora angesema ukweli lakini kunifanya mimi jingas, leo haitaisha nitamchosha tu!
Anajaribu kunidanganya hata na mimi kweli shetwain mkubwa!
Kama mwanaume anakupiga kwanini unaendelea kwenda kwake kila mara? Sio kweli, nikajisemesha moyoni, nikapiga simu kuomba msaada wa kuponya jeraha la Anita pale mapokezi,
Msaada ulipokamilika ikabidi Anita alale, nikabaki nawaza itakuwaje DON akimkuta mwanae hapa?
Nikiwa katika kuwaza mara naona Don anafungua mlango anaingia nikamkimbilia, nikampokea kwa mabusu tele Don akakolea!
Kusogea kitandani akamwona Binti amelala,
DON: Huyu ni nani tena?
Money Penny: Don, naomba tukaongee nje tafadhali kuhusu huyu Dada! Ni rafiki yangu anaumwa amelala..
Tukatoka nje ya mlango ikabidi nimweleze ukweli wote, na jinsi nilivyokutana na Anita na maneno alionielezea Money Stars na jinsi walikuwa wanafanana, nikajua tu kuwa huyu ni mtoto wako!
Lakini sikuwa na njia ya kuwakutanisha na wala sikupanga kuwa kwenye mahusiano na wewe Don, nisamehe!
Lakini sasa nadhani ni muda muafaka wa kukutana na binti yako, anaitwa Anita..
Don: alichanganyikiwa hakuamini maneno yangu ikabidi aingie ndani akamkuta
Anita ameamka!
Anashangaa huyu baba wa wapi?
Anita: Penny huyu nani mbona unaingiza wanaume chumbani
Money Penny: nilikuwa na wakati mgumu kumweleza Anita kuwa Don ni Baba yake Mzazi, kwanza hakuamini maana alijua hana wazazi tena haya mapicha yameinuka wapi?
ikabidi Don atoe picha zake za utotoni na Money Stars! Akamweleza kila kitu, Anita anashangaa baadae akaamini, wakakumbatiana wote wanalia!
Mimi nimekaa pembeni nazoom movement zote! Money Penny tena!
Mwisho wa siku Anita amekutana na Baba yake Mzazi tena kwangu, hii ilikuwa inatosha kabisa! mambo mengine yote hayajalishi tena kwangu!
Anita: Mbona Yule Baba wa Tangibovu alisema alinitoa kwa watoto yatima?
Don: Baba yupi?
Anita: akaongea ukweli wote, Don akaomba kama ana picha ya huyo Baba amwonyeshe,
Anita akaitoaa, kuangalia doh ni Yule Partner wake aliemteka nyara wanae Anita, Don akachokaa
Tukamwuliza unamjua akasema ndio ndio aliemteka nyara Anita akiwa shuleni ndio Business Partner wake wa zamani Kabla hajaenda Uingereza kutafuta maisha, akamwelezea Anita kwa upya kuhusu Yule Baba wa Tangibovu!
Anita akachokaaa! Akaniangalia akawa kama haelewi kama mtu Aliechanganyikiwa, Japo mimi nilihisi ila Anita alichoka mara 2, akawa kama amechanganyikiwa, akashika kichwa kama kinamuuma, mara akaanza kuskia kutapika!
Akainuka akakimbilia bafuni akatapika bwaaa! Tukawa tunaangaliana na DON kutapika huku vepe?!
Moyoni nikajisemea, hii mimba ya ANITA sasa itakuwa ya nani sasa; ya PAPAA, Baba wa Tangibovu au?
Money Penny maswali hayakuniisha kichwani, tangu lini mtoto wa miaka 7 atekwe nyara asikumbuke kuwa alikuwa na wazazi, mtoto wa miaka 7 anakumbuka kila kitu hawa wajinga wanacheza na akili yangu na mimi sikubali kushindwa, hapa kati kuna kitu na mimi ninao muda woooote wa kusubiria kujua nini kinaendelea kwani napungua kitu gani?
sijui wewe mpenzi msomaji!
MWENDELEZO WA HADITHI HII BONYEZA LINK HII HAPA 👇👇

uuuuwi, usikose youtube leo simulizi linaendeleaUzi mrefu kweli ila nimefanikiwa kuumaliza ndo mida ya kusoma nyuzi ndefu hii
Hapo nilichogundua ni ANITA atakuwa vizur kwenye ugawaja wa baraka elewa neno baraka 😀 Alafu hakuna watu wanafanya ufuska na upupu kama hawa wanaojifanya wakokole na wazee wa kanisa ni wanakulana haina mfano![]()
SEHEMU YA 1
A. NINAITWA MTUMISHI PAPA
Mtumishi Papa:
Penny wewe unapenda stori jaman sijakuona sikunyingi ujue!
Money Penny: basi tukasalimiana hapo wee tukajikumbushia ya zamani akyanani sikuamini Patric amekuwa Mtumishi wa Mungu
nakuambia kweli mpenzi msomaji Patric namwelewa kuliko maelezo, ni wale best friend wa zamaaan kabla sijaolewa nikiwa mafiaaaa (mtundu-mkorofi)... huyu jamaa Patric alikuwa ni noumeeer alikuwa na roho ngumu vibaya mnooo... watu wa kwenye shishtimu walishamtumiaga sana mpaka tukahisi yupo huko lakini nahisi yupo ngoja kwanza niendelee na stori utajaza mwenyewe mpenzi msomaji!
Patric Darasani alikuwa Kilaaaazaaaaa namfundishaaa anafeli nampiga pindi anafauluuu... tukamaliza form 6 sikumwona tena mpaka siku moja natoka zangu ofisi moja Posta namwona anapita amevaa suti nyeusi kwasababu nilikuwa nimemzoeaaa nikamwita bila wasiwasii wewe PAPAAAAA, hakugeuka nikarudiaaaa hakugeukaaa nikamwita kwa mara ya mwisho huku watu wananiangalia na walinzi wa ofisi wameshaanza kusogea nikaita we PATRIIIIIIIC PAPAAAA ndio akageuka, aliponiona hakushtuka akaondoka walikuwa na wenzake 3 wamevaa suti nyeusi na miwani meusi ( asomaye na afahamu)
Basi Penny bila mafanikio nikaondoka zangu, kufika nyumbani napokea simu naskia ananiita we PAPA mamboooo?! ulikuwa wapi nyau we nakutafutaa!?
sikuelewa Patric alipata wapi mobile no yangu lakini alikuwa nayo tukaomgeaaaa akaomba anione usiku huo huoooo maana alfajiri anaamsha anaenda KUWAIT
Money penny tena, nikajongea fastaaa Serena Hotel!... tukasalimiana, tunakumbatiaaaanaaaa, tunachekaa kama watotooo!
baada ya kula na kunywa Patric akafungukaaa
Papa: Penny unajua umeniharibia sana pale umeniita nilikuwa kazini, kazini wananiitaga PAPARAZI ila marafkizangu wananiitaga PAPA kwasababu yako Penny, ujue Penny mimi na wewe vilikuwa vinaiva sana tulipokuwa shuleni, mpaka kunipa jina la Papa na kuwaambiwa office mate waniite papa yote ni kwa ajili yako,
Money Penny: i know! enhe niambie unafanya kazi wap umepataje kazi wakati sisi bado tupo IFM tunasoma tunasotaaa na kiadvance diplomaa?!
Papa: we acha si unajua form 6 nilipataga div 0.. nikatoka pale nikaenda kujiunga na jeshi, nikapigaaa nikapata kazi
Money Penny: mbona hauna mavazi ya Jeshi sasa? naona umepiga suti mara Tshirt za form 6 vepee?
Papa: nilipokuwa Jeshi pakanishinda mafunzo magumuu na vile nilikuwaga kimbaombao nikaacha katikati nikasepa, baadae akaja mzee mmoja akaniomba nirudi nikitoka hapo atanipa ajira! basi nikaenda kumalizia kwa heshima na usimamizi wa yule mzee nikafaulu nikarudi uraiani nikasota mwaka yule mzee nikaona kama amenidanganya kumbe sio kweli
Baada ya mwaka nanusu yule mzee akarudi! akaniambia nisamehe mwanangu niliumwa nikapoteza simu ila kwakuwa kwenu napajua ndio nimekuja, kazi yako bado ipo ndioo nimepewaaa nimeanza miezi 6 ijayo... nafanya kitengo maalum uje unisalimie akanielekeza ofisini kwao akaniambia nasafiri naenda KUWAIT nikirudi nakualika uje!
Money Penny: nikachokaa! cha, huyu kilaza amekuwa mtu mkubwa anavuta hela ndefuuu macho yakanitokaaa nikamuomba nikimaliza shule aniweke hata BANK jamaaa njaa inauma si unajua tenaaa!
Papa: akacheka sanaa aaah Penny nimekumiss sana we maliza shule nitakusaidia!
Baada ya usiku ule hatukuonana kweli akasafiri.. ikapita miaka 2 nikapata tena simu ya PRIVATE NO, nikajua tu ni yeye, akaniambia njoo Kempinski nimekumiss mtoto mzuri, ah ngoja kwanza nitakupigia simu ikakatwa, sikumsikia mpaka miezi 6 ilipopita akanipigia na simu ya TTCL we PAPAAA njooo Kanisa flan nakusubiria ukichelewa naondokaaa!
Money Penny: nikajongeaaa! huko ndani ndani dar es salaam silitaji jina kabisaa! dah kufika naona kanisa la udongoo... heee we Papaaa, vepee? mbona upo huku umekuja kuua mtu au?
Papa: akacheeekaaa! Penny bwana, haya karibu, nikapewa kigoda nikakaa nashangaa watu wanakuja wanamsalimia shikamoo Mtumishi shikamoo Pastor, shikamoo Mchungaji
Papa anawakaribisha pale karibuni na maneno ya kilokole
Money Penny: namshangaa huyu muhuni kachanganyikiwaa?
hapo natamani kucheka sina mbavu wai kwani huyu Papa kawa mchungaji saa ngapi?
Papa: Penny bwana mimi ni mchungaji msaidizi kwenye hili kanisa la Waenda Mbinguni
Money Penny: kwa mshangao nikamjibu naonaa! kwanini?
Papa: Penny ile kazi nilishaiacha stress kibao nikaamua kumrudia Mungu, riziki popote penny, Mungu atanitunza
Money Penny: aisee! hongera sana kwahiyo sasa mama mchungaji hapa yupo wapi? namaanisha mkewako
Papa: hilo ndio nimekuitia best wangu najua unazo akili, kuna demu nimemwona hapa nimempenda sana, nisaidie kumchunguza tafadhali, ila niletee details za ukweli, ukinidanganya tutagombana sana! akaingiza mkono mfukoni akatoa picha huyu hapa anaitwa ANITA!
Money Penny: nikachokaa! heee huyu demu nae kaokoka au? mbona mzuri sana?
Papaa: ndio nataka umfuatilie kama kweli kaokoka au la! kabla sijaoa binti nataka kujua sanaaa nimchunguze sana, wewe fanya upande wako na mie nafanya wangu.. akaingiza mkono mfukoni akatoa ATM card ya benki akanipa, tumia hii bank card password ni **** fanya urafiki na ANITA mpe anachotaka mfanye awe rafiki yako wa karibu akupe siri zako za zamani na mpaka sasa, tutakuwa tunawasiliana kwa namba hii akanipa business card imeandikwa Pastor Patric!
hapa usiwe unakuja plz plz maana nitaonekana vibaya si unajua walokole walivyo! na haya mavazi yako ya jeans na vimini huku usije nayo katafute mashuka uvae ukija huku!
kwaheri mimi naingia kwenye ibada... fanya kazi yangu kama nilivyokuagiza plz usiniangushe maana haukuwahi kuniangusha sikuwahi kufeli mitihani ila wa form 6 tu! plz nenda tutawasiliana
akainuka akaingia ndani mimi nikasimama kwenye ukuta wa majani ya nazi pembeni kuna dirisha namwangalia mwenyewe anaongoza ibada ananena kwa lugha! nilichoka Penny huyu muhuni kawa Mchungaji tena?! uuuuwi kichwa kiliniumaaa nikajikaza nikaondoka... nikiwa njiani nikapitia bank nijaribishe nione kama hii kadi ya kweli au feki
kuangalia Yeeeesu wangu na mariaaaa... akaunt ina milioni 80 cash, mpaka nikaogopa, hapo naangalia ilikuwa mwaka wa 95... mwaka wa 95 mtu anamiliki milion 80 niligandaaa! nikatamani nizipige zile hela nisepe akinifuata nitamwomba msamaha lakini nikakumbuka shule yangu iko ukingoni kuisha huenda akanisaidia kupata ajira sio kwa hela hizi
nikarudi nyumbani kichwa chamoto nikalala!
Jioni akaingia dogo mmoja dogo wangu sanaaa, namkubali sanaa dogo ana akili kinyama ila yeye hakufanikiwa kusoma aliingia kwenye biashara, dogo ana pesa zake ana biashara zake mtu mzuri sana,
tukaongea ongea palee nene, mambo kibao ananitania Penny ukimaliza tu shule nakuajiri kwenye kampuni zangu me namcheka wai huna hela ya kunilipa bwana acha kelele... tukaongea hapo weee akaniambia Penny tena nimekumbukaa, naomba unisaidie kitu kimoja
kuna demu nimemzimia nataka kumuwooowaa! nilikutana nae wakati na deposite hela bank, yeye alikuwa receptionist!
nikampenda ghafla mzuri sanaa!
nimemfukuzia sana lakini naona hatuelewani anasema sijui kaokoka sijui hataki kuchezewa dah ananichanganya sana....ngoja nitoe picha yake nikuonyeshe... akatoa picha akanionyeshaaa kuangalia tobaaa ndio yule yule ANITA nilipopewa na Pastor Papaaa! nikachoka ndani kwa ndani heee
yule dogo akaniambia huyu hapa Penny unahisi ataweza kunikubali? mimi sina mvuto ila nikizaa na huyu mrembo watoto watatoka vizuri sana sana... sasa unanisaidiaje? nimejaribu kila njia nimeona haiwezekani ananichomoleaaa,
Money Penny: nikajikaza nikamwuliza wewe Aloyce, huyu dada hana mtu kweli mbona mzuri sana?
Aloyce: hana bwana nimemfuatilia mpaka polisi nimemcheki ila kwao mambo safi flan hivi, babake maarufu flan hivi, huenda ndio inampa kiburi au sijui ndio huo ulokole, we nisaidie Da Penny nakuombaa! nakuachia namba yake ya simu, na anapofanya kazi adress anapoishi na majina ya marafiki zake! plz nyie wanawake mnajuana wenyewe mnavyoweza kutoana taarifa nisaidie kama ananifaa nimuwowe fasta nisije nikawahiwa!
Money Penny: nikachokaaa hii ya leo ni Mungu kanishukia au Malaika ananitafutia neema ... uuuuwi mbona sheedah
Kwani wewe Aloyce baada ya kuonana na huyu demu, ulitumia njia gani ya kumtongoza?! labda kuna sehemu unakosea nikusahihishe unajua urafiki na huyu demu bwana staki shida tayar nina shida za kunitosha,
Aloyce: akaanza kuniadithia jinsi show ilivyokuwa
TUONANE TAR 17 MARCH 2018 SAA 2 USIKU YA TZ KUJUA JINSI GANI ALOYCE ALIVYOMFUKUZIA ANITA
glass amo
Nije wapi uko ili unipoteze kwenye dura😎
Soma maokoto hayooNije wapi uko ili unipoteze kwenye dura😎
Maokoto apo hamnaSoma maokoto hayoo
Nawe mmarekani 😄😄
DuNawe mmarekani 😄😄
Thibitisha hilo
Nipo na upload hadithi YouTubeThibitisha hilo