Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
- Thread starter
- #1,221
Haha!...
Haha!...
Anazo tu dakika za kupiga, hana bando la meseji mkuu. Si unajua bei za bando zilivyo juu siku hizi mkuuAiseeee huu mpambano mkali balaa,Winnie si atume hata meseji jaman
Haha! Inaonekana unamfahamu sana, na pengine ndo huwa unamnunulia bando...Anazo tu dakika za kupiga, hana bando la meseji mkuu. Si unajua bei za bando zilivyo juu siku hizi mkuu
Ahsante sana mkuu, nilikua sijaifuatilia hii simulizi. Ndo nimeimalizia leo, hakika Mungu kakupendelea kipaji cha kipekee, barikiwa sana mkuuHaha! Inaonekana unamfahamu sana, na pengine ndo huwa unamnunulia bando...
Amina... Sasa huyo Tunu anaibukia kwenye harakati za Jason. Ni hatari...Ahsante sana mkuu, nilikua sijaifuatilia hii simulizi. Ndo nimeimalizia leo, hakika Mungu kakupendelea kipaji cha kipekee, barikiwa sana mkuu
umeona nae ? noma sana ila yote kwa yote ni nzuri hongera kwa hiloHayo majina ya wahusika sasa, ni komesha Teh mara Bob tole, Dynamo plus, Magulu, Sakaya mkiete, duuh!