Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,711
- Thread starter
- #841
Wanasema umepata mchepuko eti
😂😂😂😂😂 huyu Litro kaleta mambo
Wacha wee!😀😀 usijali mtunzi nguli, umesomeka vyema. sema ungekuwa unalewa ningekuletea mzinga wa whisky jioni utoe machunguHmm! N'takwambia siku nyingine mama, naona kuna watu wanataka kuchafua hali ya hewa😜...
NB: @Litro👩🦱
Unaguna nini?
mwambie tu tusikie babaHmm! N'takwambia siku nyingine mama, naona kuna watu wanataka kuchafua hali ya hewa😜...
NB: @Litro👩🦱
ha haa af ka litro kenyewe sasa kama jina lake maskini😂😂😂😂😂 huyu Litro kaleta mambo
Kasema atamwambia siku nyingine, wewe tulia tu usilie wivu😊😊mwambie tu tusikie baba
😂😂Hahahaaaa mnataka mumuue pacha wangu Bishop Hilukaila we mchonganish jmn eti unatutag wote wawili ha ha ha sa tukianza kupigana je
Mambo ya JamiiForums ukiyachukulia siriaz utakonda wakati wenzio wanajuana humu.Mmh...
Labda useme unamuepuka kiaina...
moto wa The Legend..unatisha..
me nakusalimia tuendelea kusongesha askofu buanaaaa...........