Stori ya kusisimua - Taxi

Stori ya kusisimua - Taxi

Sijaelewa mara tunu na sammy wanajuana mara wanaulizana tena majina
Ni kweli hujaelewa shemeji Shunie? Si kwamba ndio wanatambulishana tena bali Sammy anakumbuka walivyokutana huko nyuma.kuna kipande hiki, nacho hujakiona?:

Sammy alishusha pumzi, akajaribu kuvuta picha kukumbuka alivyokutana na Tunu miaka kumi na moja iliyokuwa imepita kwenye mahafali ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita ya Shule ya Wasichana ya Jangwani jijini Dar es Salaam, siku hiyo Tunu alikuwa mmoja wa wanafunzi wahitimu wa kidato cha sita.
 
Ni kweli hujaelewa shemeji Shunie? Si kwamba ndio wanatambulishana tena bali Sammy anakumbuka walivyokutana huko nyuma.kuna kipande hiki, nacho hujakiona?:

Sammy alishusha pumzi, akajaribu kuvuta picha kukumbuka alivyokutana na Tunu miaka kumi na moja iliyokuwa imepita kwenye mahafali ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita ya Shule ya Wasichana ya Jangwani jijini Dar es Salaam, siku hiyo Tunu alikuwa mmoja wa wanafunzi wahitimu wa kidato cha sita.
Ooh basi hiko kipande kilinipita asante sana jamani kwa kunikumbusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom