Bishop Hiluka
R I P
- Aug 12, 2011
- 7,150
- 14,724
Mtunzi Bishop Hiluka
0685 666964
DONDOO
Laiti ningejua kuwa alikuwa na siri nzito namna ile aliyokuwa kaihifadhi kifuani kwake, nisingefanya upuuzi. Ona sasa, macho ya watu yananitazama kwa kunisuta, wapo walio na hasira juu yangu, wapo ambao wananitazama kwa dharau na baadhi kwa huzuni. Hata sijui nifanye nini!
Alikuwa msichana mrembo kwelikweli, mrefu na mweupe wa asili, si ule weupe wa mkorogo bali ule wa asili wenye ung’avu wa kuteleza. Umri wake haukuzidi miaka 25, alikuwa mwembamba lakini mwenye haiba nzuri ya kuvutia.
Kwa mlingano wa macho tu, alitoa tafsiri ya kuwa na ule uzuri usiomithilika ambao ungeweza kumliwaza, kumpumbaza na hata kumlaza kitandani mtu yeyote aliye buheri wa afya, na wapo waliodiriki hata kusema kuwa alikusudiwa kuumbwa malaika, ila akashushwa duniani kimakosa!
Lakini kama tujuavyo kila kizuri alichoumba Mwenyezi Mungu huwa hakikosi kasoro. Hata yeye alikuwa na kasoro au hila moja kubwa sana. Hila yenyewe ni kwamba hakujua kukasirika. Bila shaka pia hakujua umbea ama majungu!
Ili kuyajua yote fuatana nami katika mkasa huu wa kusisimua, kushangaza na kusikitisha…
LAITI NINGEJUA!
Tater, moneytalk, marybaby, nipo2, ram, kisukari, the_legend, Smart911, Madame S, carbamazepine, Astelia, culture gal , Prisoner of hope, Mine eyes, kuku mweus, Thad, hearly, Shunie, moneytalk,Tumosa, Mine eyes, Kudo, swahiba92, ludist, Toyota escudo, Clkey, macson3, Thad, boga la kiangazi, macson3, LEGE, Smart911, Richard irakunda, skfull, popie, Krizy Beat, hearly SUPER EMILY, WISDOM SEEDS nipo2 MWINDAJI HARAMU kakhulu Katavi Norami mbududa SUPER EMILY
0685 666964
DONDOO
Laiti ningejua kuwa alikuwa na siri nzito namna ile aliyokuwa kaihifadhi kifuani kwake, nisingefanya upuuzi. Ona sasa, macho ya watu yananitazama kwa kunisuta, wapo walio na hasira juu yangu, wapo ambao wananitazama kwa dharau na baadhi kwa huzuni. Hata sijui nifanye nini!
Alikuwa msichana mrembo kwelikweli, mrefu na mweupe wa asili, si ule weupe wa mkorogo bali ule wa asili wenye ung’avu wa kuteleza. Umri wake haukuzidi miaka 25, alikuwa mwembamba lakini mwenye haiba nzuri ya kuvutia.
Kwa mlingano wa macho tu, alitoa tafsiri ya kuwa na ule uzuri usiomithilika ambao ungeweza kumliwaza, kumpumbaza na hata kumlaza kitandani mtu yeyote aliye buheri wa afya, na wapo waliodiriki hata kusema kuwa alikusudiwa kuumbwa malaika, ila akashushwa duniani kimakosa!
Lakini kama tujuavyo kila kizuri alichoumba Mwenyezi Mungu huwa hakikosi kasoro. Hata yeye alikuwa na kasoro au hila moja kubwa sana. Hila yenyewe ni kwamba hakujua kukasirika. Bila shaka pia hakujua umbea ama majungu!
Ili kuyajua yote fuatana nami katika mkasa huu wa kusisimua, kushangaza na kusikitisha…
LAITI NINGEJUA!
Tater, moneytalk, marybaby, nipo2, ram, kisukari, the_legend, Smart911, Madame S, carbamazepine, Astelia, culture gal , Prisoner of hope, Mine eyes, kuku mweus, Thad, hearly, Shunie, moneytalk,Tumosa, Mine eyes, Kudo, swahiba92, ludist, Toyota escudo, Clkey, macson3, Thad, boga la kiangazi, macson3, LEGE, Smart911, Richard irakunda, skfull, popie, Krizy Beat, hearly SUPER EMILY, WISDOM SEEDS nipo2 MWINDAJI HARAMU kakhulu Katavi Norami mbududa SUPER EMILY