Stone Town, Zanzibar alasiri hii...

Stone Town, Zanzibar alasiri hii...

Astaghafir shehe hapo nyuma amesalimika kweli!
Si kila anae vaa kanzu ni sheikh.Hichi ni kivazi tu hasa watu wazima hupendelea sana.Pia kwa kule daresalama ni fashion tu si unawaona Diamonds,lemutuz ,mwanafa na wengineo?
 
Mzuieni muone kama watalii watafika hapo Zenji na mapato yatashuka sana,
Lakini kwann mtu uumie na kivazi kama hicho wakati unaomademu unawagonga kukuondolea stress!!!
44029743_1866643770038373_1892101246152605696_n.jpg
 
Si kila anae vaa kanzu ni sheikh.Hichi ni kivazi tu hasa watu wazima hupendelea sana.Pia kwa kule daresalama ni fashion tu si unawaona Diamonds,lemutuz ,mwanafa na wengineo?
Tofatisha shehe na sheikh.btw hata angekuwa sheikh ni mwanamume pia.
 
Mh wazanzibar wamemuacha tu??kweli Zanzibar imebadilika
 
Back
Top Bottom