Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,622
Mtu mzima mpumbavu utamjua tu,Sasa Zanzibar nchi ya Wakristo?
Punguani wahed.
Aliesema ya wakristo nani?
Uzee unakunyevua eeh!
Mtu mzima mpumbavu utamjua tu,Sasa Zanzibar nchi ya Wakristo?
Punguani wahed.
90% ya mahoteli ya kitalii ya ufukweni Zanzibar ni ya nani?Wanatumwa na nani?
Sasa wewe punguani unauliza nchi ya Waislam kwa kigezo gani, ilikuwa hufahamu kuwa 98% ya Wazanzibari ni Waislam.Mtu mzima mpumbavu utamjua tu,
Aliesema ya wakristo nani?
Uzee unakunyevua eeh!
Masheikh wa kuongelea hayo kwa kupaza sauti wote wapo segerea.Masheik ulimi njee
![]()
Unataka tujadili kwa hoja au matusi?Sasa wewe punguani unauliza nchi ya Waislam kwa kigezo gani, ilikuwa hufahamu kuwa 98% ya Wazanzibari ni Waislam.
Matusi yako sifurahii, jiheshimuSasa wewe punguani unauliza nchi ya Waislam kwa kigezo gani, ilikuwa hufahamu kuwa 98% ya Wazanzibari ni Waislam.
DahMasheikh wa kuongelea hayo kwa kupaza sauti wote wapo segerea.
Huyu ajuza ukimuendekeza , anakuharibia siku.Nakuuliza swali, unaniuliza swali! Nakuuliza tena, wanatumwa na nani?
Kuna Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbiki tofauti. Zanzibar wana katiba yao. Tanganyika ndiyo hatuna katiba yetu, tunafata ya Muungano.Unataka tujadili kwa hoja au matusi?
Wapi kwenye katiba au maandishi wamesema watu wa dini fulani wakifikia asilimia fulani, wanakua wana mamlaka kuwazidi wengine?
Je tuseme Tanzania bara (Tanganyika) ni inchi ya wakristo?
Maana ni wengi huko..
Nakuuliza swali, unaniuliza swali! Nakuuliza tena, wanatumwa na nani?
Nikutoe wasiwasi,Kuna Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbiki tofauti. Zanzibar wana katiba yao. Tanganyika ndiyo hatunankatiba yetu, tunafata ya Muungano.
Nani alikudanganya Tanganyika Wakristo ndiyo wengi?
Si kila kitu kinawekwa kwenye katiba. Unapoambiwa Mwanza ni usukumani, ipo kwenye katiba?
Kama unabisha Zanzibar siyo nchi ya Waislam nenda mwezi wa Ramadhan ukafakamie mitaani ujionee.
Karudie majibu yangu. Wapi nimesema Zanzibar nchi ya Kiislam? Au hata unachokisoma hukielewi?Nikutoe wasiwasi,
Napoandika hapa nipo Zanzibar,
Mjini Unguja, wilaya ya mjini magharibi ,kijichi.
Hujajibu hoja yangu,
Wapi wamesema Zanzibar ni nchi ya kiislamu, au ya waislam?
Kama unabisha Tanzania kua na wakristo wengi, sikulaumu .
Nini maana ya kusema "nchi wa waislamu?"Karudie majibu yangu. Wapi nimesema Zanzibar nchi ya Kiislam? Au hata unachokisoma hukielewi?
Wewe ulinidanganya.Ustaadhi wa madrasa ipi?
Nani alikudanganya kuwa hiyo ni bahati mbaya?