M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Wanajamii,
Kuna jamaa kaja ofisini asubuhi hii kuorodhesha watu wanaohitaji stika za usalama barabarani. Ukihitaji unaandikisha jina lako na kumpatia Tshs. 5000/ = then yeye anakuletea.
Nijuavyo mimi stika ya usalama barabarani inatakiwa itolewe baada ya gari lako kukaguliwa na kuonekana lipo salama kuendelea luwepo barabarani. Lakini kama hali ni hii ya kuuziana stika bila ukaguzi ya vyombo vyetu vya usafiri, Je, tuna nia ya dhati kweli kuepusha ajali?
Kuna jamaa kaja ofisini asubuhi hii kuorodhesha watu wanaohitaji stika za usalama barabarani. Ukihitaji unaandikisha jina lako na kumpatia Tshs. 5000/ = then yeye anakuletea.
Nijuavyo mimi stika ya usalama barabarani inatakiwa itolewe baada ya gari lako kukaguliwa na kuonekana lipo salama kuendelea luwepo barabarani. Lakini kama hali ni hii ya kuuziana stika bila ukaguzi ya vyombo vyetu vya usafiri, Je, tuna nia ya dhati kweli kuepusha ajali?