naomba kuuliza kwa wanaojua hizi stica za usalama barabarani je bado zinatumika au ziliisha ondelewa na waziri wa mambo ya ndani mh lugola. maana naona traffic wakiziuza na baadhi ya watu wanasema ziliondolewa naomba wahusika mnifahamishe-
Lugola alizifuta,lakin zinaendelea maana ziliwekwa kwa utaratibu maalum kuhusu ukaguzi wa magari. Sio unanunua tu na kuiweka.
Lazima gar likaguliwe kwanza. Asa jamaa yenu alifuta tu bila kuweka mbadala,unaweza mpigia simu lakini.
Gari yako ilikaguliwa ndo ukapewa hio stick.?Lugola alizifuta,lakin zinaendelea maana ziliwekwa kwa utaratibu maalum kuhusu ukaguzi wa magari. Sio unanunua tu na kuiweka.
Lazima gar likaguliwe kwanza. Asa jamaa yenu alifuta tu bila kuweka mbadala,unaweza mpigia simu lakini.
Gari yako ilikaguliwa ndo ukapewa hio stick.?
Gari yako ilikaguliwa ndo ukapewa hio stick.?
Ukaguzi wa chombo chako kama kinafaa kwa matumizi ya barabarani ili kulinda usalama wako na wengine pamoja na mali zao.Hii sticker ni ya kuzuia ajali barabarani?!
Au kwanini wanaiita usalama barabarani?!
Wizi tu, wanakagua nini kwenye gari wanachodhani kina linda usalama?!Ukaguzi wa chombo chako kama kinafaa kwa matumizi ya barabarani ili kulinda usalama wako na wengine pamoja na mali zao.
Ukitaka gari ikaguliwe utashinda traffic siku nzima au utapigwa tarehe ya kurudi ili gari ikaguliwe.
Kama hutaki kupoteza muda unanunua sticker kwa Sh. 5, 000 badala ya Sh. 3,000 ambazo utalipa gari ikikaguliwa.
Ndiyo,nimepewa na inspection certificate ilisainiwa na vehicle insp.
Hii stika ni sawa na hirizi inayofungwa kwenye mkono wa kushoto karibu ya bega, ukiiweka wabaya wako wa barabarani hawakuoni.Hii sticker ni ya kuzuia ajali barabarani?!
Au kwanini wanaiita usalama barabarani?!
Stika zinatumika kwenye magari ha biashara tu
Kwa mfano Taxi.fudo tipper gari za abiria trucks na zingine
Lkn sio kwa gari private
Upo sahihi Mkuu hiyo extinguisher na stika ni utapeli wa hali ya juu...havina msaada wowote...Hizo stika ni wizi kama ule wa fire extinguisher,