Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

Hakuna cha typo errors wala nini. Steven Wassira, mwasisi wa chadema, ni huyu huyu mzee wa kusinzia aka Tyson. Namfuatilia kwa makini bungeni ili nipate picha yake tena akiuchapa kama kawaida yake.
 
Hapana kumetolewa ufafanunzi
somewhere kwamba ni typos mwanzilishi wa CDM ni GEORGE WASSIRA mdogo
wake na STEVEN WASSIRA.

nilishangaa maana wassira hajawahi kuwa mwana cdm. alikuwa nccr.
 
Inawezekana, maana huyo mzee 1995 aligombea ubunge na alishida kwa tiketi ya NCCR Mageuzi
 
..i hate u...kwa nini umuite mzee wa GOMBE??? unawachafua wanaCHADEMA wote kwa kuleta ubaguzi wa maumbile ya mtu...hiyo ndiyo SUMU ya ubaguzi mliyonayo wakereketwa wa CHADEMA..
CCM endeleni kutumia udhaifu wao kujikita katika siasa za kistaarabu...maana bado sijaona chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...kama viti 40 tu vinawapa ukichaa je wakipata 80?

Umejuaje ni mkereketwa wa CHADEMA?au siasa za kistaarabu ni kujilimbizia mali na kuwaacha wananchi wakifa njaa?
Sijaona zaidi ya CHADEMA hata km kingekuwa na mbunge mmoja,watch u r talk 2015 is arround the corner.
 
Jamani nilianzisha vyama vingi sana, yameshapita, kwa sasa nipo ndani ya magamba, ila hofu yangu naweza nisirudi mjengoni mwaka 2015, maana kuna binti mmoja ananisumbua jimboni kwangu.
 
Wanandugu JF,

Leo inasemekana Happy birthday Chama kilizaliwa 28/5/1992, hata hivyo tunamkumbuka muasisi wa CHADEMA bwa Steven Wassira no. 14, ambaye kwa uakika ndiye aliyekitangazia chama hiki kuwa kitakufa kabla ya mwaka 2015, jambo ambalo limekuwa tofauti kwa kuongeza wigo mpana wa siasa na kukuta kinaongezeka mara tatu yake. hadi sasa kimeonyesha kuwa ni tishio kila sehemu ya chama tawala kiendepo. CDM imejitahidi sana kudelete CCM sehemu nyingi hasa mikoani ambapo ndipo kuna wapiga kura wengi ambao kwa hakika walikuwa mtaji wa ccm, ssa hivi wamekuwa makini na kukielewa katika mikakati yake ya kufuta umaskini kwa sera za Elimu bure , bei ya mfuko wa Cement kuwa elfu 5,000/= jambo ambalo lilikuwa linapingwa na CCM sasa hivi wamegeuka na kusahau sera zao na kutumia za CHADEMA.

Hapo chini ni orodha ndefu ya waasisi na jina no. 14 likiwa la S.W.

10989264_917148064997547_3448825238046447463_n.jpg

11351231_977592142286472_5517596863790698570_n.jpg
 
huyo namba 14 ni GEORGE na sio STEVEN......
USIPOTOSHE UMMA
 
Huyo namba 14 ni GEORGE na sio STEVEN......
USIPOTOSHE UMMA
 
CHADEMA mnahangaika sana aisee,hakika jahazi lenu linazama vibaya.

Hivi umeshindwa hata kutambua kitu kidogo na kutofautisha kati ya Stephen Masatu Wasira na George Masato Wasira.

wasira.png
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amekana kuwa watoto walijiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) juzi si watoto wake wa kuzaa, bali ni watoto wa ndugu yake ambao wana haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa.

Wasira amesema kwamba kutumia jina na cheo chake ni upotoshwaji mkubwa ambao umefanywa na Chadema kwa lengo la kupata umaarufu.

Wasira, alitoa kauli hiyo jana mjini Bunda katika mkutano wake na waandishi wa habari ambao aliutumia kumshambulia Katibu Mkuu wa Chedema, Dk Wilibrod Slaa, kwa kumtaka awe makini.

"
Wale watoto ni wa George Wasira siyo wa Stephen Wasira, hivyo kusema ni watoto wa wWziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na mwanasiasa mkongwe katika ukoo wetu walilenga kunisema mimi. Hawa si watoto wangu wa kuzaa, bali ni watoto wa kaka angu na ni watu wazima wana haki ya kuchagua wawe katika chama gani,"alisema na kuongeza:

"Mimi sina mtoto wa kuzaa anaitwa Lilian, lakini nawajua wale Lilian namjua na Esther ni watoto wa kaka angu anaitwa George Bukore Wasira na mama yayo Wanzita, sasa habari ilitangazwa inasema ni watoto wa Stephen Wasira hii si kweli."
Chanzo
: Nipashe[h=1]Wassira awakana 'watoto wake' waliojiunga na CHADEMA[/h]
 
Hizi habari za kizushi namba 14 siyo wassira mtoa mada sijui kala mahagare ya wapi.
 
January Yussuf Makamba anapendeza sana akivaa suti zake na anajuwa kanuni za uvaaji wa suti,sina nia yoyote ovu ya kumtaja huyu ndugu na wala siyo najipendekeza kwake lakini pia akitoa hoja zake bungeni anaeleweka vizuri kwa maana sauti yake,format ya presentation na anavyomudu ile podium ...yuko well trained.nini opinion zako...???
Kama ningekuwa na uwezo ningemtaka ajitoe kwenye mbio za uraisi this year ajiandae kipindi kijacho na wawe na chama chao cha viajana wa sasa kama vile ZZK,Mnyika,Tundu lissu,Esther Bulaya,Halima the Queen na wengi wengine.I am sure watatengeneza kitu kizuri kwa sababu wanaongea lugha moja.
 
Back
Top Bottom