..i hate u...kwa nini umuite mzee wa GOMBE??? unawachafua wanaCHADEMA wote kwa kuleta ubaguzi wa maumbile ya mtu...hiyo ndiyo SUMU ya ubaguzi mliyonayo wakereketwa wa CHADEMA..
CCM endeleni kutumia udhaifu wao kujikita katika siasa za kistaarabu...maana bado sijaona chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...kama viti 40 tu vinawapa ukichaa je wakipata 80?
bila shaka wewe ndio muhusika.Kwa jinsi ulivyokasirika,nimekupata.we wakikuita mzee wa gombe wapotezee tu,muda utapita na watasahau kukuita mzee wa gombe.