Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

Ukiona unafurahia kuvimbiwa wakati wengine wanalala na njaa, huna akili vizuri. Taifa kwanza maslahi binafsi baadae. Wasira alipotea siku nyingi sana, hana kujisifia au la kuwaeleza waTZ, nashangaa sana wapiga kura wa Bunda wanapokubalia awe mbunge wao, nashangaa siamini kama wale wasomi wa kijita kweli wanaweza kufanywa namna hiyo.
 
Ni mwasisi wa CDM, baadaye akaenda kuiasisi NCCR

NDIO HUYO HUYO AMEASISI PIA NCCR KAMA SIKOSEI HUYO NI KAMA WALE WANAWAKE WA OHIO WANAITWAJE???AU KAMA ILE SPANA INAYOFUNGUA NAT ZOTE hahahahaaa SURA YAKE SIJUI KINA MZEE MTEI WALIMPENDEA NINI
Kutokana na maelezo ya Gagnija na Bobuk inaonekana si yeye bali mdogo wake. nakumbuka Stephen wasira aliwahi kuwa mbungu kupitia NCCR mageuzi, that is why nikawa nashangaa kama kweli alipitia na CHADEMA.
 
Awe au asiwe muasisi wa chama chochote cha upinzani huyu jamaa ni mchumia tumbo. Alivyoona enzi za kupendelewa na mwalimu zimepita akajifanya ku deffect!!! Msimamo zero - sijui vipi wakurya hawako hivyo
 
Lkn point ni kwamba huyo Steven Wassira kazunguka vyama vyote vya siasa vya upinzani na mara ya mwisho akaanzisha cha kwake, kikafa, akarejea CCM, choka ile mbaya!
 
Awe au asiwe muasisi wa chama chochote cha upinzani huyu jamaa ni mchumia tumbo. Alivyoona enzi za kupendelewa na mwalimu zimepita akajifanya ku deffect!!! Msimamo zero - sijui vipi wakurya hawako hivyo
Yeye sio Mkurya. Ni kakabila flani kadogo wanajiita Wasizaki( wengine huwaita Washashi). Ni baba mkubwa wa LadyJD.
 
Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?
..i hate u...kwa nini umuite mzee wa GOMBE??? unawachafua wanaCHADEMA wote kwa kuleta ubaguzi wa maumbile ya mtu...hiyo ndiyo SUMU ya ubaguzi mliyonayo wakereketwa wa CHADEMA..
CCM endeleni kutumia udhaifu wao kujikita katika siasa za kistaarabu...maana bado sijaona chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...kama viti 40 tu vinawapa ukichaa je wakipata 80?
 
..i hate u...kwa nini umuite mzee wa GOMBE??? unawachafua wanaCHADEMA wote kwa kuleta ubaguzi wa maumbile ya mtu...hiyo ndiyo SUMU ya ubaguzi mliyonayo wakereketwa wa CHADEMA..
CCM endeleni kutumia udhaifu wao kujikita katika siasa za kistaarabu...maana bado sijaona chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...kama viti 40 tu vinawapa ukichaa je wakipata 80?
sasa na wewe kama viti 200 bado unatoa povu namna hii ukibakiwa navyo 80 kama itakavyokuwa 2015 itakuwaje?
 
..i hate u...kwa nini umuite mzee wa GOMBE??? unawachafua wanaCHADEMA wote kwa kuleta ubaguzi wa maumbile ya mtu...hiyo ndiyo SUMU ya ubaguzi mliyonayo wakereketwa wa CHADEMA..
CCM endeleni kutumia udhaifu wao kujikita katika siasa za kistaarabu...maana bado sijaona chama cha upinzani kinachoweza kushika dola...kama viti 40 tu vinawapa ukichaa je wakipata 80?

I hate you much...kwani mimi nimeeleza mzee wa gombe ni nani? kwani wewe unavyojua mzee wa gombe ni nani?
 
Yeah wote walioanzisha vyama vya upinzani wamelelewa na CCM. Maadili ya uongozi na usisahau ahadi kumi za mwana TANU zilirithiwa na CCM bila kusahau Slaa alikuwa CCM.
 
Kwa usingizi wa pono anaouchapa asingeweza kuendelea kuwa mwanachama wa CDM na ku-cope na speed yake
 
Kutokana na maelezo ya Gagnija na Bobuk inaonekana si yeye bali mdogo wake. nakumbuka Stephen wasira aliwahi kuwa mbungu kupitia NCCR mageuzi, that is why nikawa nashangaa kama kweli alipitia na CHADEMA.

Mkuu Stephen Wassira kama sikosei alishawahi kuwa mbunge kwa tiketi ya NCCR

Stephen Wassira hajawahi kuwa muasisi wa chama chochote nchi hii. Alionyesha nia ya kuanzisha chama wakati fulani lakini ukata ukawa umemkwida kwelikweli. Baadae CCM-MTANDAO wakamwokota kwa bei nafuu sana akiwa mchezaji huru. Rostam akasimamia zoezi zima la kumsajili upya CCM. Sasa hivi hajambo kabisa. Yuko CC ya CCM na ni Cabinet Member wa serikali ya JMK. Hatakaa amsahau Rostam.
 
Nimesoma gazeti la Tanzania daima ambapo nimeona kati ya majina yaliyotajwa ya waasisi wa CHADEMA mmojawapo ni Stephen Wassira. Sijaamini! Au kuna Wasira mwingine tofauti na huyu tunayemfahamu?

Kwa hiyo? kwani kuhama chama inakatazwa?
 
Nimejaribu kuperuz, hawa ndo viongozi wa kwanza wa CHADEMA

1.Ndg. Edwin Isaac Mbiliewi MteiMwenyekiti
2.Ndg. Ali Suleiman AhmedMakamu mwenyekiti (visiwani)
3.Ndg. Brown NgwilulupiMakamu Mwenyekiti (bara)
4.Ndg. Bob Nyanga MakaniKatibu Mkuu
5.Ndg. Mustafa. S. SimbaNaibu Katibu Mkuu (visiwani)
6.Ndg. Eric Rashid MchattaNaibu Katibu Mkuu (bara)
7.Ndg. Eric Rashid MchattaKatibu Mwenezi

 
Inawezekana! Nimewahi kusikia kuwa ukiwa muumini mzuri wa dini ya haki,then ukaja kuasi na kurudia uchafu,akili yako haitakaa sawasawa,I mean utakuwa kama vile umechanganyikiwa hivi.

inaitwa dhambi ya kuasi
 
Back
Top Bottom