NCHI YANGU TZ
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 663
- 233
- Thread starter
- #161
Mkuu Pasco wafanyabiashara wakubwa wa Gold huwa wanafanya biashara ya uchuuzi wa gold kwa kiwango kidogo sana.
Mara nyingi watu wenye mitaji mikubwa km hiyo hufungua matanuri yao wenyewe ya kuproduce gold kutoka kwny mchanga wake.
Uzuri wa tanuri kiuzalishaji unategemea na mtaji wako uliowekeza kwenye vifaa na ubora wake.
Ukifika maeneo ya hiyo migodi utajua naongelea nn.
Aksante sana.
Ukitaka kujua kuwa bilioni 1 huwa inapatikana eneo la wachimbaji wadogo nenda sehemu izo ndo utajua mwaka 2011 dhahabu ilitoka buhemba eneo ambalo kwa sasa linamilikiwa na stamiko kuna dhahabu ilinunuliwa kwa milioni 400 na ili lipwa cash sehemu iyo inajulukana kama namba 1 mlanguzi mkuu wa geita wakati huo namkumbuka jina 1 SELEMANI alinunua na bado alibakiwa na pesa nyingi tu. niwafahamishe tu kuwa biashara ya dhahabu sehemu kubwa hawalipi kodi so muda mwingi pesa inakuwa mikononi, kwa wale wanaojua machimbo ya BARAKA Patner wa RIDHWAN JK wanaweza kushuhudia namna machimbo hayo yalivyotoa dhahabu mwaka jana na pesa iliyokuwa ikizunguka kwa siku nimshauri tu PASCO naamini ni mtafiti sana, sasa fatilia kuhusu mzunguko wa pesa kwenye machimbo na hasa pale dhahabu inapokuwa imefoka kwa wingi ndio utanielewa vizuri