Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,152
- 44,110
Serikali ya mama imekaa kipumbav.. sana, inaenda kuokota wapuuzi huko mtaani na kuwafanya wasemaji wa CCM na serikali. Sasa Steve Nyerere ana upeo gani au ushawishi kwa watanzania?
Nimeshangaa Steve nyerere kuwa musiba mpya wa awamu hiiSerikali ya mama imekaa kipumbav.. sana, inaenda kuokota wapuuzi huko mtaani na kuwafanya wasemaji wa CCM na serikali. Sasa Steve Nyerere ana upeo gani au ushawishi kwa watanzania?
Hata China wana uchumi wa juu lakini bila uhuru wa kujieleza wengi wanaishia kubambikiwa kesi na kuuawa.
Bahati nzuri siku hizi UDC ni kupata ni rahisi tu...UDC UNATAFUTWA KWA GUVU SANA, OVERALL HUYU SIYO KIJANA. UNAKUWAJE BALOZI WAKATI UMEIANZA LUGHA ZA UBAGUZI
Tatizo ni vyombo vya habari, kweli huyu mjinga anaitisha press conference na watu na degree zao wanaenda kumsikiliza na kumpa nafasi, kwanza huyu mjinga ni nani kwenye nchi hii?kazi yake inayojulikana ni ukuwadi, ni kijitu cha kupuuziwa.Sh....zi yake.Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
Under contract huyo
Alimkata jina kipindi Cha kura za maoniiAna bifu na Polepole huyu, inaonesha Polepole kuna vitu alikuwa anawabania kipindi cha Mwendazake
Kibaraka wa udikteta wa CCM. bila shaka yuko kwenye payroll kama alivyokuwa Musiba zamaniNaona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
Ukitaka kula hela za ccm ni rahisi sana !Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
Siku ya mwisho ni ipi ?
Nimejikuta nacheka tu, acting is an inborn talent.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]pale ndani kuna kitengo kinachohusika na propaganda and spinning...hizi ndizo kaz zao..kuanzia kwa huko nyuma kwa 'mlevi wa taifa 'nk..
lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..
CCM inapenda sana kutumia watu wa ovyo.Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
Hawa vijana wasio na elimu uchuro. Yaani haoni yanayomkuta changudoa mwenzake wa kisiasa Msiba aka Musiba? Nchi mkiwa na vijana wengi kama hawa hata wazee hatung'atuki kwa vile hakuna wa kuwaachia ukanda kama vijana wenyewe wamejaa usaha vichwani kama huyu.Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
pale ndani kuna kitengo kinachohusika na propaganda and spinning...hizi ndizo kaz zao..kuanzia kwa huko nyuma kwa 'mlevi wa taifa 'nk..
lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..