Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,428
- 37,641
Wanaochanjwa ni CCM tu?Tatizo mwana CCM. Wangekuwa ni chadema. Duuu.... kongole kibao.. Yeye yupo na wana CCM wezake wewe inakuuma nini?
Wanaochanjwa ni CCM tu?Tatizo mwana CCM. Wangekuwa ni chadema. Duuu.... kongole kibao.. Yeye yupo na wana CCM wezake wewe inakuuma nini?
Umesahau POWER, utakamatwa uwekwe ndani kwa ugaidi wa kukosea jina la General Power.Hahahaaaa,mwenzia alichukua hiki cheo,
LIEUTENANT GENERALLY LEIGWENANI LENGAI OLE SABAYA.
yeye ametwaa kipi tusije tukakose kumtajaikawa shida
hahahahahhah
Nchi hii ukiwa na uwezo wa kujipendekeza kwa viongozi na kuwalamba makalio ni zaidi hata ya mtu aliyekwenda shuleKinachomponza ni kukosa shule hata ya kuzugia,angeshapewa pa kujishikiza na Bimkubwa.
Tatizo mwana CCM. Wangekuwa ni chadema. Duuu.... kongole kibao.. Yeye yupo na wana CCM wezake wewe inakuuma nini?
Haumjui huyo unayemuita 'mama' Samia, yeye na Steve Nyerere wanafanana akili zao na hili halijatokea kwa bahati mbaya.Steve sio kabisa, huyu tena atamharibia sana Mh. Rais Samia, navyomjua Mh. Rais Samia, hapendi kabisa watu wa tabia kama hizi za Steve, naamini, atapewa ujumbe aacha hizi tabia, sbb zitamharibia Mh. Rais wetu.
Watu aina ya Steve, wana akili ndogo sana, si wa kuwapa platform akupigie debe, hapana. Narudia, i believe Mh. Rais akisikia huyu kijana anapayuka payuka hovyo, atamwambia aache mara moja. Naamini hivyo, Mama Samia hapendi huu upuuzi na tabia kama hizi za Steve. Huyu kijana hafai, atamchafua Mh. Rais kwa kauli zake chafu, kauli zake hazijengi kabisa.
Wepale ndani kuna kitengo kinachohusika na propaganda and spinning...hizi ndizo kaz zao..kuanzia kwa huko nyuma kwa 'mlevi wa taifa 'nk..
lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..
Nashukuru huyu jamaa bado yu hai,mwenzake "hutaki unaacha" sijui wameshamnaniliu!lkn bi mkubwa amekumbushwa juz kujikita kwenye mambo 35 aliyoelekezwa kuyafanyia kazi toka chumba namba 26..next week kuna mambo flan yatatokea..
Hako kapumbavu sana kanaishi kwa mdomo usikute kamekaa na Le mutuz kubwa jinga ambaye ni rafiki yake mkubwa wakayajenga hayo wapate kula pesa za CCM kwa njia haramu za kishetaniNaona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?
View attachment 1892088
Njaa ya Steve nyerere huwa mbaya kupita njaa zote TanzaniaNjaa mbaya sana!
Unafikiri Steve anafanya kwa bahati mbaya?Steve sio kabisa, huyu tena atamharibia sana Mh. Rais Samia, navyomjua Mh. Rais Samia, hapendi kabisa watu wa tabia kama hizi za Steve, naamini, atapewa ujumbe aacha hizi tabia, sbb zitamharibia Mh. Rais wetu.
Watu aina ya Steve, wana akili ndogo sana, si wa kuwapa platform akupigie debe, hapana. Narudia, i believe Mh. Rais akisikia huyu kijana anapayuka payuka hovyo, atamwambia aache mara moja. Naamini hivyo, Mama Samia hapendi huu upuuzi na tabia kama hizi za Steve. Huyu kijana hafai, atamchafua Mh. Rais kwa kauli zake chafu, kauli zake hazijengi kabisa.
Steve nyerere huwa ni mbumbumbu mkubwa ndiyo maana wenye Akili timamu hukataa chochote kutoka kwakeTz bado Sana , hivyi uyu, Stive NYERERE, lipi anaweza ongea na wenye akili? Eti uchumi ,ni uchumi gani , anajua uyu, Eti corona nini ana jua juu ya corona ?
Kumbe mwendazake alipo sema bakin na mavi yenu hakulenga watu wa stendi tu ,bali watu Wengine na wepesi Kama uyu ,maana kumuita stive Nyerere, ni kuabisha jina la baba wa taifa, shame at him
Njaa imemzonga Steve nyerereUnafikiri Steve anafanya kwa bahati mbaya?
Njaa ya Steve nyerere ni mbaya kuliko ya cyprian MusibaNimeshangaa Steve nyerere kuwa musiba mpya wa awamu hii
Steve nyerere anashinda na Le mutuz kubwa jinga mda mwingi na sasa wamekaa wamebuni mradi haramu wa kula pesa za CCM kwa njia haramu za kishetaniSteve sio kabisa, huyu tena atamharibia sana Mh. Rais Samia, navyomjua Mh. Rais Samia, hapendi kabisa watu wa tabia kama hizi za Steve, naamini, atapewa ujumbe aacha hizi tabia, sbb zitamharibia Mh. Rais wetu.
Watu aina ya Steve, wana akili ndogo sana, si wa kuwapa platform akupigie debe, hapana. Narudia, i believe Mh. Rais akisikia huyu kijana anapayuka payuka hovyo, atamwambia aache mara moja. Naamini hivyo, Mama Samia hapendi huu upuuzi na tabia kama hizi za Steve. Huyu kijana hafai, atamchafua Mh. Rais kwa kauli zake chafu, kauli zake hazijengi kabisa.