Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

Steve Nyerere ndiye Musiba mpya?

Tz bado Sana , hivyi uyu, Stive NYERERE, lipi anaweza ongea na wenye akili? Eti uchumi ,ni uchumi gani , anajua uyu, Eti corona nini ana jua juu ya corona ?

Kumbe mwendazake alipo sema bakin na mavi yenu hakulenga watu wa stendi tu ,bali watu Wengine na wepesi Kama uyu ,maana kumuita stive Nyerere, ni kuabisha jina la baba wa taifa, shame at him
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni...anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi....
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?View attachment 1892088

Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni...anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi....
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?View attachment 1892088
 
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake
Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni...anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi....
Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?View attachment 1892088

Ati balozi wa chanjo ya Corona. Chanjo na ugonjwa wake uliogezwa siasa:

#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe
 
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088
Balozi wa Corona ata barakoa havai walio mzunguka pembeni wamevaa..! Baloz si lazma awe mfano??? Wenye cv ya shule yake tupen iaee
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088
Yeye ni Baloz wa corona lakin havai barakoa, wapemben mwake wote wamevaa... Sijui Kama anaelewa vizuri hii Kaz aliyopewa.
 
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088
Mshana achana na huyu Jini misiba
 
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088

Bg Chawa
 
Naona kijana anaanza kupiga jalamba la uchawa wa mamlaka ya juu katika awamu hii... Ni juzi tu hapa kapewa ubalozi wa corona! Zingatia 'ubalozi wa corona' sasa naona kawehuka na kuanza kuwatisha wanaccm wenzake.

Msikilize kwenye hizi video fupi mbili zinazoendelea kuenea kwa kasi mitandaoni anawatisha, anawaonya anawapiga vijembe..anajivika mamlaka yasiyojulikana kayapata wapi.

Musiba mwingine huyu anajiinua taratibu.. Je ataweza?

View attachment 1892088
Angeuliza MUSIBA njia anayopitia

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom