Stergomena Tax anaweza akabaki mwanamke pekee kuwahi kuongoza Wizara ya Ulinzi

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,017
Mh. Stergomena Tax anaweza akaingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kama mwanamke pekee kuwahi kushika wizara nyeti ya Ulinzi.

Baada ya kuondolewa hyo jana, ambapo amehudumu kwenye wizara hiyo kwa mwaka mmoja tu nafikiri Rais Samia ashaona kuna wizara sio za kufanya majaribio ya kuwaweka "Wabeijing"

Kwa mantiki hiyo, sidhani kama nitakuja kuona tena Waziri wa Ulinzi akiwa Mwanamama. Dr. Stergomena ametoa funzo kwa watawala.

Nihitimishe na wale waliokuwa wanapiga kelele kila siku hapa jukwaani eti IGP au CDF ajaye awe mwanamke eti kwakuwa Rais ni mwanamke. Hiyo kitu kwasasa haiwezekani kuna mambo muhimu sio ya kuleta usawa wa kijinsia.
 
Nchii hii ni no 1 tu hakuna mweingin yoyote mwenyew power yoyote yakufanya maamuzi yoyote isipokua Rais tu iyo wizara ata akawekwa mpinzani hakutatokea chochote kitakachokwenda kinyume na matakwa ya Rais
 
Mtoa hoja acha kuonyesha kuwa nawe una upumbavu, Minister ni political head katika wizara yeyote including hii ya Defence (uzuzu wa wengi wanaiona wizara hii ipo juu ya sheria)sio CEO means mtu yeyote ambaye no 1 anaona anafaa anaweza kumteua kuwa waziri, hapo SA wenye super power army in Africa, waziri wake ni wa jinsia ya kike!na hakuna shida yeyote maana hausiki na day to day activities za jeshi, huyu aliyetugeuza zuzu alaaniwe milele, tumeingia woga wa ajabu hata ukiharibikiwa na gari infront of Lugalo barracks unaanza kulia machozi baada ya kufurahi maana msaada hauko mbali, jeshi Lina almost wataalamu wote kwenye ranks zao
 
Mh. Stergomena Tax anaweza akaingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kama mwanamke pekee kuwahi kushika wizara nyeti ya Ulinzi.

Baada ya kuondolewa hyo jana, ambapo amehudumu kwenye wizara hiyo kwa mwaka mmoja tu nafikiri Rais Samia ashaona kuna wizara sio za kufanya majaribio ya kuwaweka "Wabeijing"

Kwa mantiki hiyo, sidhani kama nitakuja kuona tena Waziri wa Ulinzi akiwa Mwanamama. Dr. Stergomena ametoa funzo kwa watawala.

Nihitimishe na wale waliokuwa wanapiga kelele kila siku hapa jukwaani eti IGP au CDF ajaye awe mwanamke eti kwakuwa Rais ni mwanamke. Hiyo kitu kwasasa haiwezekani kuna mambo muhimu sio ya kuleta usawa wa kijinsia.

Mwanamke alipaswa kukaa nyumbani na kumtii mumewe
 
Mh. Stergomena Tax anaweza akaingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kama mwanamke pekee kuwahi kushika wizara nyeti ya Ulinzi.

Baada ya kuondolewa hyo jana, ambapo amehudumu kwenye wizara hiyo kwa mwaka mmoja tu nafikiri Rais Samia ashaona kuna wizara sio za kufanya majaribio ya kuwaweka "Wabeijing"

Kwa mantiki hiyo, sidhani kama nitakuja kuona tena Waziri wa Ulinzi akiwa Mwanamama. Dr. Stergomena ametoa funzo kwa watawala.

Nihitimishe na wale waliokuwa wanapiga kelele kila siku hapa jukwaani eti IGP au CDF ajaye awe mwanamke eti kwakuwa Rais ni mwanamke. Hiyo kitu kwasasa haiwezekani kuna mambo muhimu sio ya kuleta usawa wa kijinsia.
Upo nyuma sana kiuelewa wa mambo.

Hata hivyo, ngoja niunge hoja yako, kwamba huyo Dr Tax huenda ndiye akawa mwanamke wa kwanza kabisa mwanamke Tanzania kushika nafasi ya Urais kwa kuchaguliwa na wananchi wenyewe.
 
Huyo ni one of top Asset. Ametengenezwa, ametayarishwa miaka mingi kubeba jukumu lolote. Kama una jicho la ziada utajua sio mama wa kawaida kichwani.
Kuna watu hawaelewi kitu, wanaropoka tu bila ya kufikiri kuhusu wakiandikacho.

Mwinyi, Kapuya na wengine waliowahi kushika nafasi ya uwaziri huo, wana kitu gani cha ziada? Kwa kuwa na kitu kinachoning'inia tu katikati ya miguu lakini kichwani hakuna kitu?
 
Nchii hii ni no 1 tu hakuna mweingin yoyote mwenyew power yoyote yakufanya maamuzi yoyote isipokua Rais tu iyo wizara ata akawekwa mpinzani hakutatokea chochote kitakachokwenda kinyume na matakwa ya Rais
Soma vizuri sana kama huelewi kunywa maji ya kutosha
 
Mtoa hoja acha kuonyesha kuwa nawe una upumbavu, Minister ni political head katika wizara yeyote including hii ya Defence (uzuzu wa wengi wanaiona wizara hii ipo juu ya sheria)sio CEO means mtu yeyote ambaye no 1 anaona anafaa anaweza kumteua kuwa waziri, hapo SA wenye super power army in Africa, waziri wake ni wa jinsia ya kike!na hakuna shida yeyote maana hausiki na day to day activities za jeshi, huyu aliyetugeuza zuzu alaaniwe milele, tumeingia woga wa ajabu hata ukiharibikiwa na gari infront of Lugalo barracks unaanza kulia machozi baada ya kufurahi maana msaada hauko mbali, jeshi Lina almost wataalamu wote kwenye ranks zao
Uzuzu wako hujui kama hata bajeti yake bungeni kujadiliwa kwake vyombo vya habari havijulishwi baadhi ya vitu.
 
Upo nyuma sana kiuelewa wa mambo.

Hata hivyo, ngoja niunge hoja yako, kwamba huyo Dr Tax huenda ndiye akawa mwanamke wa kwanza kabisa mwanamke Tanzania kushika nafasi ya Urais kwa kuchaguliwa na wananchi wenyewe.
Unaleta comedy
 
Uzuzu wako hujui kama hata bajeti yake bungeni kujadiliwa kwake vyombo vya habari havijulishwi baadhi ya vitu.
Again mkuu huu ni uzuzu mwingine, why budget ya ministry of defence iwe siri?,mbona tunajua budget ya ulinzi wa US, England, Zambia, SA (hawa wako kwenye scandal kubwa inayomhusisha ex president zuma)ni haki yetu tujue matumizi ya serikali, bunge hili la ndio ndio unategemea nini?,bunge la karimjee budget ya ulinzi ilikua inajadiliwa kwa uwazi kabisa, middle class umekua mwoga kupita kiasi
 
Upo nyuma sana kiuelewa wa mambo.

Hata hivyo, ngoja niunge hoja yako, kwamba huyo Dr Tax huenda ndiye akawa mwanamke wa kwanza kabisa mwanamke Tanzania kushika nafasi ya Urais kwa kuchaguliwa na wananchi wenyewe.
🥶
 
Back
Top Bottom