PreGE2025 Stephen Wasira: Asiyetii Sheria na Katiba huyo ni Gaidi

PreGE2025 Stephen Wasira: Asiyetii Sheria na Katiba huyo ni Gaidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.

Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na viongozi na wanachama wa Chama hicho Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza , ambapo amesisitiza utawala bora kwa kutii katiba na sheria za nchi badala ya kuvunja sheria kwa kisingizio cha uhuru wa demokrasia.

Wakati akieleza hayo Wasira alionesha kukishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho kimekuwa na kauli mbiu yake ya 'No Reform No Election' yenye lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu mwaka huu na kuhoji kama hawataki kupiga kura kwanini walijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
WhatsApp Image 2025-06-22 at 18.10.31_54804d92.jpg

WhatsApp Image 2025-06-22 at 18.10.36_293d2763.jpg
“Asiyetii Katiba na sheria maana yake anataka nchi isitawalike, watu wapigane wenyewe kwa wenyewe, halafu wewe eti haki yako unaitaka katika mazingira ya mauaji bila kujali matokea yake, hilo haliwezekani".

Wasira alifafanua kwamba kwa akili ya kawaida unaweza kujiuliza Katiba ipo inasema kila baada ya miaka mitano unafanyika Uchaguzi Mkuu halafu anatokea mtu anasema hakuna uchaguzi.

“Anasema hivyo kwa kutumia Katiba ipi? Katiba inaeleza wazi huwezi kughairisha uchaguzi alafu wewe unasema lazima usiwepo,kutaka kuzuia uchaguzi ni kinyume na Katiba na ni kutaka kuanzisha fujo…

“Je huo ndio utawala bora? Katiba inasema kila baada ya miaka mitano tunafanya uchaguzi wewe unasema hautafanyika…utawala bora ni kutii katiba na sheria na sio kutaka kukamilisha mambo binafsi kwa kukiuka sheria za nchi.”
WhatsApp Image 2025-06-22 at 18.10.33_92068d4d.jpg
Wasira alisema sababu inayoweza kufanya uchaguzi usifanyike ni vita na katika nchi yetu hakuna vita,hivyo hakuna anayeweza kuzuia uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa uchaguzi mkuu uko pale pale na tayari uchaguzi ulishaanza kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kupiga kura.

Pia alisema kaulimbiu ya ‘No Reform No Election' inaenda kufa muda si mrefu kwasababu tayari imezidiwa nguvu na Oktoba Tunatiki, na ushahidi wa hilo Watanzania wako tayari kwenda kupiga kura kwani wamejiandikisha.
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.

Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na viongozi na wanachama wa Chama hicho Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza , ambapo amesisitiza utawala bora kwa kutii katiba na sheria za nchi badala ya kuvunja sheria kwa kisingizio cha uhuru wa demokrasia.

Wakati akieleza hayo Wasira alionesha kukishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho kimekuwa na kauli mbiu yake ya 'No Reform No Election' yenye lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu mwaka huu na kuhoji kama hawataki kupiga kura kwanini walijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
“Asiyetii Katiba na sheria maana yake anataka nchi isitawalike, watu wapigane wenyewe kwa wenyewe, halafu wewe eti haki yako unaitaka katika mazingira ya mauaji bila kujali matokea yake, hilo haliwezekani".

Wasira alifafanua kwamba kwa akili ya kawaida unaweza kujiuliza Katiba ipo inasema kila baada ya miaka mitano unafanyika Uchaguzi Mkuu halafu anatokea mtu anasema hakuna uchaguzi.

“Anasema hivyo kwa kutumia Katiba ipi? Katiba inaeleza wazi huwezi kughairisha uchaguzi alafu wewe unasema lazima usiwepo,kutaka kuzuia uchaguzi ni kinyume na Katiba na ni kutaka kuanzisha fujo…

“Je huo ndio utawala bora? Katiba inasema kila baada ya miaka mitano tunafanya uchaguzi wewe unasema hautafanyika…utawala bora ni kutii katiba na sheria na sio kutaka kukamilisha mambo binafsi kwa kukiuka sheria za nchi.”
Wasira alisema sababu inayoweza kufanya uchaguzi usifanyike ni vita na katika nchi yetu hakuna vita,hivyo hakuna anayeweza kuzuia uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa uchaguzi mkuu uko pale pale na tayari uchaguzi ulishaanza kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kupiga kura.

Pia alisema kaulimbiu ya ‘No Reform No Election' inaenda kufa muda si mrefu kwasababu tayari imezidiwa nguvu na Oktoba Tunatiki, na ushahidi wa hilo Watanzania wako tayari kwenda kupiga kura kwani wamejiandikisha.
Naona neno gaidi linatukika kirahis rahis tu na politicians
Baada wakibananishwa mahakamani waanze kuweweseka na kukana maneno yao wenyewe
 
Kauli mbovu kabisa kuwahi zungumzwa na kiongozi wa chama chetu. Alipaswa kujibu hoja badala ya kukimbilia kuwapa wapinzani jina baya
 
Na anae kumbatia wezi na mafisadi YY ndio uzalendo? CHURA
Kweli fisiem n majizi sungu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi anawajibika kwa nani vile?
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.

Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na viongozi na wanachama wa Chama hicho Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza , ambapo amesisitiza utawala bora kwa kutii katiba na sheria za nchi badala ya kuvunja sheria kwa kisingizio cha uhuru wa demokrasia.

Wakati akieleza hayo Wasira alionesha kukishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho kimekuwa na kauli mbiu yake ya 'No Reform No Election' yenye lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu mwaka huu na kuhoji kama hawataki kupiga kura kwanini walijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
“Asiyetii Katiba na sheria maana yake anataka nchi isitawalike, watu wapigane wenyewe kwa wenyewe, halafu wewe eti haki yako unaitaka katika mazingira ya mauaji bila kujali matokea yake, hilo haliwezekani".

Wasira alifafanua kwamba kwa akili ya kawaida unaweza kujiuliza Katiba ipo inasema kila baada ya miaka mitano unafanyika Uchaguzi Mkuu halafu anatokea mtu anasema hakuna uchaguzi.

“Anasema hivyo kwa kutumia Katiba ipi? Katiba inaeleza wazi huwezi kughairisha uchaguzi alafu wewe unasema lazima usiwepo,kutaka kuzuia uchaguzi ni kinyume na Katiba na ni kutaka kuanzisha fujo…

“Je huo ndio utawala bora? Katiba inasema kila baada ya miaka mitano tunafanya uchaguzi wewe unasema hautafanyika…utawala bora ni kutii katiba na sheria na sio kutaka kukamilisha mambo binafsi kwa kukiuka sheria za nchi.”
Wasira alisema sababu inayoweza kufanya uchaguzi usifanyike ni vita na katika nchi yetu hakuna vita,hivyo hakuna anayeweza kuzuia uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa uchaguzi mkuu uko pale pale na tayari uchaguzi ulishaanza kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kupiga kura.

Pia alisema kaulimbiu ya ‘No Reform No Election' inaenda kufa muda si mrefu kwasababu tayari imezidiwa nguvu na Oktoba Tunatiki, na ushahidi wa hilo Watanzania wako tayari kwenda kupiga kura kwani wamejiandikisha.
Mandela ni Gaidi, Joshua Nkomo, Sam Nujoma, Walter Mondlane,, Samora Micheal ,
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.
Kwa hiyo Wasira anatuambia Raisi Samia ni gaidi? Na Magufuli alikuwa gaidi? Maana hawa mara kadhaa wamefanya mambo kinyume cha maumbile ya Katiba ya Tanzania!
 
Kutii kitu kinachopoka haki yako ni upumbavu wa kiwango cha juu.....magaidi wote ni wanaopoka haki ya maamuzi ya wananchi na hawa si wengine ni chama dola....
 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii Katiba na Sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi.

Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na viongozi na wanachama wa Chama hicho Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza , ambapo amesisitiza utawala bora kwa kutii katiba na sheria za nchi badala ya kuvunja sheria kwa kisingizio cha uhuru wa demokrasia.

Wakati akieleza hayo Wasira alionesha kukishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho kimekuwa na kauli mbiu yake ya 'No Reform No Election' yenye lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu mwaka huu na kuhoji kama hawataki kupiga kura kwanini walijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
“Asiyetii Katiba na sheria maana yake anataka nchi isitawalike, watu wapigane wenyewe kwa wenyewe, halafu wewe eti haki yako unaitaka katika mazingira ya mauaji bila kujali matokea yake, hilo haliwezekani".

Wasira alifafanua kwamba kwa akili ya kawaida unaweza kujiuliza Katiba ipo inasema kila baada ya miaka mitano unafanyika Uchaguzi Mkuu halafu anatokea mtu anasema hakuna uchaguzi.

“Anasema hivyo kwa kutumia Katiba ipi? Katiba inaeleza wazi huwezi kughairisha uchaguzi alafu wewe unasema lazima usiwepo,kutaka kuzuia uchaguzi ni kinyume na Katiba na ni kutaka kuanzisha fujo…

“Je huo ndio utawala bora? Katiba inasema kila baada ya miaka mitano tunafanya uchaguzi wewe unasema hautafanyika…utawala bora ni kutii katiba na sheria na sio kutaka kukamilisha mambo binafsi kwa kukiuka sheria za nchi.”
Wasira alisema sababu inayoweza kufanya uchaguzi usifanyike ni vita na katika nchi yetu hakuna vita,hivyo hakuna anayeweza kuzuia uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa uchaguzi mkuu uko pale pale na tayari uchaguzi ulishaanza kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kupiga kura.

Pia alisema kaulimbiu ya ‘No Reform No Election' inaenda kufa muda si mrefu kwasababu tayari imezidiwa nguvu na Oktoba Tunatiki, na ushahidi wa hilo Watanzania wako tayari kwenda kupiga kura kwani wamejiandikisha.
Screenshot_20250618_124953.jpg
 
"In this era, are we supposed to seek compliments from a dead brain?".... alisikika mlevi mmoja akiongea.
 
Hawa hawa watu wanalichukulia neno "ugaidi" kama kitu chepesi sana but kwa namna hii ya wao kujizima data na kujikata ugaidi utakuja na watauona kiuhalisia....
 
Zipo sheria nyingi sana ziliwah kuwepo na sasa hazipo....kama sheria ikitungwa ni kuitii tu basi hizo sheria zisingefutwa....hawa watu waache upumbavu maana they know exactly ni nini wananchi tunataka ila wanakomaa kulinda maslah yao,huu ni UPUMBAVU....tunachotaka ni nguvu ya kuchagua viongozi(nguvu ya kura yetu) ili tuweze kuwaajibisha...full stop....
 
Anamaanisha hii katiba ambayo rais alisema ni kijitabu tu? Au katiba nyingine?
 
Watu wengi wanaapa kuilinda na kuitetea katiba tena wakiwa wameshika vitabu vya dini, lakini ndio watu wanaovunja katiba na kjiweka juu ya sheria mda wote. Sidhani kama Wasira anawazungumzia hao kwamba ni magaidi.
 
Kweli wananchi wananchi tumechoka, ukiangalia waliohudhuria kwenye huo mkutano, hakika unaona hali halisi jinsi ambavyo kitaani ni kugumu, tumechoka haswaaa.

Ila kwa tafsiri hiyo, magaidi ni wengi sana mtaani
 
Kuna nini kimefanya CCM wawe na maneno ya hasira namna hii wakati wameachiwa uwanja wacheze na kushinda?
 
Back
Top Bottom