Status za wanawake/wadada whatsapp ni michambo mitupu

Status za wanawake/wadada whatsapp ni michambo mitupu

Hahahaha kuna kamchuchu kamoja kalinizawadia tunda... kesho yake status ikasomeka "Jiandae na kulea baba kijacho"

Nusura nizimie.... Najiandaa kutandikwa mwiko na bibi yenu kichanga kitakapoletwa home....

Ee shetani ingilia kati isitokee..

ha ha ha haaaaaa unalo baba kijacho...
 
Kuna status moja " jeuri sikufunzwa kukaa kimia mbele ya wajinga nili sisitizwa"
 
Aina ya "status" za walio kwenye phonebook yako defines who you are!period!
 
Dah! si mimi.

  • Ningekuwa ndege kuna watu kila siku ningewanyea KICHWANI.
  • moyo wangu umepoa hauna papara kila jambo majaaliwa SUBIRA HAINA HASARA
  • ukinifanya waakiba, mimi nakufanya wadharura
  • Nina utamu wa kuku naliwa hadi mifupa, utajiju mwenye utamu wa samaki unaliwa miiba inatupwa
Nimenukuu tyuuu.

Hahaaaa hizi sasa kiboko loh
 
Ukiteremka nitapanda

Salamu huna kazi kusoma profile za watu

Unatema big G kwa karanga za kuonjeshwa!!
 
Nikitaka kuziona nitaziona, tena kwa kubrowse simu zote zitakuja. Hiyo nafasi ya kuanza kusoma status za watu naipata wapi sasa best? Kwanza ukinitumia msg za kidwanzi huko whatsup hata kukujibu sitakujibu.
mbona easy tu, sema hujajua namna ya kuziangalia
 
Nyingine kweli majanga"sema coaster kipanya hawaenei"kuna bidada kaandika hivyo.
 
6312dd3ec6a412284a06544455f2acb7.jpg

Hata hii na yenyewe n status
 
Back
Top Bottom