mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Labda kama ni hawa tu wa kwangu aisee! Nina wanawake/wadada kadhaa kwenye phonebook yangu whatsapp, kiboko ni hayo maneno yao ya kwenye status zao, loh ni michambo na mipasho kwa kwenda mbele.
Yaani nasomaga nacheka mwenyewe tu kimoyo moyo, khaa! manake utafikiri sasa ni yale maneno ya kwenye khanga yamehamia kwenye status za watu! Najiuliza, hivi maana yake nini? Kama haters si unamblock tu au?
Pia najiuliza ni hawa wangu tu ndo naona status za dizaini hii?
Yaani nasomaga nacheka mwenyewe tu kimoyo moyo, khaa! manake utafikiri sasa ni yale maneno ya kwenye khanga yamehamia kwenye status za watu! Najiuliza, hivi maana yake nini? Kama haters si unamblock tu au?
Pia najiuliza ni hawa wangu tu ndo naona status za dizaini hii?