the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 836
Acha zako wewe.... unataka ning"olewe kucha kwa bisibisi?
Msalimie lakini. Mwambie aniwozap....
I wish to meet you
Ntacheka hadi ntakaa chini!!!
Acha zako wewe.... unataka ning"olewe kucha kwa bisibisi?
Msalimie lakini. Mwambie aniwozap....
Hahahha... popote pale penye bia baridi nikialikwa nakuja bila shuruti.I wish to meet you
Ntacheka hadi ntakaa chini!!!
Na wewe mbea huna cha kufanya mpaka ukashangae status za kina dada
Chonde chonde kauka kimya. BADILI TABIA akija hapa unibeep. Ana wivu mwanamke yule Michelle Obama anasingiziwa.
Na wewe mbea huna cha kufanya mpaka ukashangae status za kina dada
Ila Silaha ya Uzinzi ni kujihanithi tu ndugu yangu. Kama hawa wameshindwa ndiyo tuwe sie Ref: Bofya. TAFAKARILabda kama ni hawa tu wa kwangu aiseeeee!!
Nina wanawake/wadada kadhaa kwenye phonebook yangu whatsapp, kiboko ni hayo maneno yao ya kwenye status zao, loh ni michambo na mipasho kwa kwenda mbele.......yaani nasomaga nacheka mwenyewe tu kimoyo moyo, khaa! manake utafikiri sasa ni yale maneno ya kwenye khanga yamehamia kwenye status za watu!
Najiuliza, hivi maana yake nini?? kama haters si unamblock tu au?
Pia najiuliza, ni hawa wangu tu ndo naona status za dizaini hii?
......Na umalaya utakuua!
.....kulala naye si kazi, kazi kujua kucheza nae.
.....tamba na hao vigor wenzako mie somo yako
hiz status za mke mwenza!!
Kuna ka binti kaliandika alie itoa hakuniganda sembuse wewe.
Nahis namba ya huyu mtu ninayo..Alafu anafanya shirika kubwa tu...Yaan anashangaza duu.
Hahahaha kuna kamchuchu kamoja kalinizawadia tunda... kesho yake status ikasomeka "Jiandae na kulea baba kijacho"
Nusura nizimie.... Najiandaa kutandikwa mwiko na bibi yenu kichanga kitakapoletwa home....
Ee shetani ingilia kati isitokee..