Hahahaha kuna kamchuchu kamoja kalinizawadia tunda... kesho yake status ikasomeka "Jiandae na kulea baba kijacho"
Nusura nizimie.... Najiandaa kutandikwa mwiko na bibi yenu kichanga kitakapoletwa home....
Ee shetani ingilia kati isitokee..
Hahaaa na alikuweza kweli kufikisha ujumbe aliokusudia.
Hahha ka ndo huo bora na we ukalie upate....Hahahaaaa wa mata.....
Hahahaha kuna kamchuchu kamoja kalinizawadia tunda... kesho yake status ikasomeka "Jiandae na kulea baba kijacho"
Nusura nizimie.... Najiandaa kutandikwa mwiko na bibi yenu kichanga kitakapoletwa home....
Ee shetani ingilia kati isitokee..
Yangu nimeandika....."yangu tangaza yako kalia uote mkia"
ahahahaa!!tena ikiwezekana akupige na mwiko wenye ugali wa moto!!!
Hahahah yani nyie bhana.... mshkaji alikuta status ya mkewe inasomeka "Nisamehe mme wangu, shetani alinipitia"
Akaskuti hajagombana na mkewe kitambo, hajakosewa na mkewe kitambo....
Akaunganisha dots shetani akiwapitia watu huwa wanafanyaje.... machale yakamcheza.... Akafanya maamuzi magumu. Ulivyo mbea utaniuliza kilichotokea ni nini
Hahahaaaa huo ubuyuu jamani kama vile nimelogewa..
Enheeeeee ikawajee...
Ebu agiza pepsi apo nakuja kulipa
Hahahaaa "Eti unanipenda umenizaa wewe?"
Yangu nimeandika....."yangu tangaza yako kalia uote mkia"
Hahahaha kuna kamchuchu kamoja kalinizawadia tunda... kesho yake status ikasomeka "Jiandae na kulea baba kijacho"
Nusura nizimie.... Najiandaa kutandikwa mwiko na bibi yenu kichanga kitakapoletwa home....
Ee shetani ingilia kati isitokee..
Yani kwa hili labda uniahidi rushwa ya ngono hakyamama...
Ngono umepataa mie tenaaa ninavyopenda umbeaa...eheeee sema unataka vingapi?
Khee.... kwa umri huu cha tatu linatoka povu... tatizo cha kwanza masaa manne... inahitaji uvumilivu.
Ngoja nifuatilie status yako isije ikawa ushanipiga kibomu
Hahahaaa saivi nimeweka "some pple ar liv b coz its illegal to kill em"
What????????