Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Yeeeeaaahhh.... aya nimalizie ule ubuyu kabla sijakuwekea signature kweny profil yangu ya jf
Twende PM tukamalizane kiutu uzima... hapa nzi wengi...
Yeeeeaaahhh.... aya nimalizie ule ubuyu kabla sijakuwekea signature kweny profil yangu ya jf
Mi natamani kuona status ya miss chagga na Preta
Mimi yangu wala usipate shida..........nimeandika YOLO........
Ushaifuta ile BOL.O YEUNG??
Ushaifuta ile BOL.O YEUNG??
Yangu nimeandika....."yangu tangaza yako kalia uote mkia"
kwa mwendo huu lazma kiswahili kiwe lugha yaki mataifa
Twende PM tukamalizane kiutu uzima... hapa nzi wengi...
Shikamoo shemeji
Twende zetu
Unanichomesha mahindi ujue.....
Hahahaaa wew ai hautaki kunipa ubuyu
Moyo wangu umesononeka, roho yangu imeniuma....
Mke wa mtu anaandika ukini delete wenzio wanani download.Si shughuli hiyo jamani.