Status bwana!kuna Ka feeling Fulani ukion views wengi

Status bwana!kuna Ka feeling Fulani ukion views wengi

Samahan kaka ndege shughuli zako hazina hekaheka mpaka unapata mda wa kushirikisha ubongo kwenye mambo kama hayo
 
Unaweza ukamuheshimu mtu ila status zake zikakufanya umshushie heshima
 
Yaani NI Raha ipost kitu WhatsApp halafu baada ya lisaa views 60 aisee halafu kiwe kitu Una proud of kama Mimi mwenzenu mwanangu alivyo mzuri na Baba yake mwema aisee kwenye hii point hunambii kitu (bahati, upepo,nyota)
Ila wasukuma mkiwa smartphone mna fujo ..na ka bundle ka jero aaaah mambo safi
 
Usisahau kuna macho ya HUSDA....si kulogwa si uchawi.....HUSDA.....
Sasa hapo mimi huwa naweka photos ambazo zinaonesha maisha yamenipiga ile mbaya. Wakati huo my current situation inabaki kuwa siri ya familia.
 
Kuna siku niliiacha simu kitandani nikaenda kuoga, lahaula katoto kangu kakaanza kuichezea na kwa vile sina paswords kakaweka status video moja ambayo tulijirekodi tukifanya mambo yetu ya chumbani ndani ya dk 20 nilizotumia kuoga nilikuta views zaid ya 200 na zaidi ya missed calls 50
 
Kuna siku niliiacha simu kitandani nikaenda kuoga, lahaula katoto kangu kakaanza kuichezea na kwa vile sina paswords kakaweka status video moja ambayo tulijirekodi tukifanya mambo yetu ya chumbani ndani ya dk 20 nilizotumia kuoga nilikuta views zaid ya 200 na zaidi ya missed calls 50
Yaani unawezaje kurekodi video chafu kwenye simu yako na una mtoto?jitafakari
 
Yaani unawezaje kurekodi video chafu kwenye simu yako na una mtoto?jitafakari
Kila mtu Huwa ana starehe yake/ furaha yake so huweziii shangaa mmasai ana n'gombe wengii au msukuma ana n'gombe elfu moja alafu analalia ngoziii au vitanda vya kamba..maisha DUNI, MLO DUNII so furaaaaahaaaaa yake ni kuzihesabu zile n'gombe asubuh na jioni na kuziona/ kuziangalia.

All in all, mtoa thread ametumia uhuru wake KUFANYA ANACHOKIPENDA
 
Kila mtu Huwa ana starehe yake/ furaha yake so huweziii shangaa mmasai ana n'gombe wengii au msukuma ana n'gombe elfu moja alafu analalia ngoziii au vitanda vya kamba..maisha DUNI, MLO DUNII so furaaaaahaaaaa yake ni kuzihesabu zile n'gombe asubuh na jioni na kuziona/ kuziangalia.

All in all, mtoa thread ametumia uhuru wake KUFANYA ANACHOKIPENDA
Upumbafu tu😐.....anataka kuwaachia laana watoto wake kuona utupu wake
 
Upumbafu tu😐.....anataka kuwaachia laana watoto wake kuona utupu wake
Kama anakua mtupu siungi mkono kama kupiga picha za KAWAIDA WAKILA NA KUNYWA NA KUFURAHI PAMOJA HAPO NAUNGA MKONOO

PICHA ZA UTUPU HAZIKUBARIKI.
 
Back
Top Bottom