Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
We jamaa na habari zako za kiingereza tu halafu zote huwa unacopy kwenye magazeti. Si uwe unakuja na hoja zako mwenyewe kama unaweza.
Kwa hiyo point yako ni nini? Atengeneze habari zake mwenyewe ndio atuletee?
How old are you?