Statement ya Marekani ya zuio kwa watanzania ina utata huu kisheria

Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Hamna utofauti sana hapo iwapo aliyewapa hizo taarifa ndiye aliyefanyiwa vitendo vya uvunjifu wa haki zake. Mfano alitekwa pengine na kulawitiwa na akamtambua aliyemlawiti!
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Sheria ipi na ya nchi gani? Kumbuka wnamzuia kwenda kwao Marekani. It matters very little weather credible evidence ipo au haipo, kwao inatosha kumpiga ban kwa maslahi yao wanayoyataka kuyafikia. Kumbuka pia kuwa credible information uleta credible evidence.
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Unasubiri nini sasa kuwapeleka mahakamani? Au unasubiri mpaka watakapokuwa wamekunyima VISA?
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Ungeanza kwa kutuambia tofauti kati ya "credible information" na "credible evidence", pamoja na kutoa mifano hai ya kila moja.
 
Hivi kwani taarifa haiwezi kuwa ushahidi ? Mfano mdogo tu ni ile clip ya clouds. Acha hizo tuhuma zinginw
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasisi tumpige ban Pompeo na Trump kwa sababu hizo hizo wasituchezee hawa sisi ni Taifa huru.
Wakati unatumia Twitter, Facebook, Google, Instagram, YouTube, Wikipedia, Android, window, Symbian, iPhone, IOS, ATM card, Chanjo, ARV
Wakigoma kutoa izo bidhaaa, tanzania inakuwa imekufa ndani ya dakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Sheria?? Pompeo ni mmoja wao wanaotimiza msimamo wa sheria wa Protocol of Elders of Zion
, Protocol no 12703. wako above the Goyim's Law. rukaruka , panda shuka na visheria vyako hawata kusikiliza. USA ni Super World Government. mifno bwena ipo bado hamuelewi! pwiii!
 
Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information

Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information

Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote

"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".

Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Sawa mke mwenza wa Bashite. Si upande ndege uende Marekani ukawaeleze hayo?

Huelewi kuwa evidence ni information na information ni evidence? Umefuzu chuo cha wajinga cha Lumumva rudi kwenye shule zenye kutambulika.
 
Na la Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa likoje kisheria, ukiachia mbali marufuku ya ugonjwa wa COVD-19
 
Back
Top Bottom