hawa ni matapeli na wezi nakwambiatatizo langu nikilipia kifurushi cha sh 12000..SIONGEZEWI CHANELI NI ZILEZILE ZA BURE NIKO GONGO LA MBOTO .02035192328 CARDCODE
hawa ni matapeli na wezi nakwambiatatizo langu nikilipia kifurushi cha sh 12000..SIONGEZEWI CHANELI NI ZILEZILE ZA BURE NIKO GONGO LA MBOTO .02035192328 CARDCODE
weli mkuu na kinachoshangaza hawajibu.hawa ni matapeli na wezi nakwambia
Mnabore kwann kwenye dish channel nyingi hamna tofauti na kwenye antenna? Pesa nyingi alafu mnazingua wekeni E tv,na Citizens angalau vingenevyo mnabagua na kutuwekea utofauti mbona pesa hamuweki kiwango sawa kwa wote?Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Kama una akaunti instargram watakujibu problem lakoSioni sababu wala umuhimu wa huu uzi. Nadhani Startimes wameona maswali yamewazidi. Ubabaishaji at work