Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Startimes dish haina channel za kenye.kwa sasa ni muda wa uchaguzi kenya..jitafakarini...watu wengi watahama..Mbona decorder yenu ya dish haina channels za kenya?? Naitwa Lazaro nipo Bunda Mara
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
wewe umetokea koromije kabla ya kwenda mwanza? au ulisoma darasa moja na bashite? naona kama mlikuwa mnapokezana namba darasani, akiwa wa kwanza wewe wa pili.mi nahitaji mawasiliano na juma a k a mchina shalobalo contact yangu ni 0744205199 (charles Marwa nipo mwanza
email. lucasrichard375@gmail.com
Mbona clouds kwangu naiona? Au unataka clouds gani mkuu?yaani. STARTIMES mnakurupuka sana mnaleta TV zenye Ving'amuzi ndani Kabla ya kujiimarisha kwanza kwenye Ving'amuzi ambavyo vinasumbua na ku update channel kila wakati.pia muweke Huduma za radio kwenye Ving'amuzi vyenu na mhakikishe ndani ya mwaka huu mnaiongeza clous TV kwenye Huduma zénu kiukweli mena Huduma mbovu
Labda tofauti ilà mimi kwenye king'amuzi changu cha ante na siipati mkuuMbona clouds kwangu naiona? Au unataka clouds gani mkuu?
Duh pole yako ila mimi natumia king'amuzi cha dishi pia ni kipya hakina zaidi ya miezi miwili, yaani ndo model zao mpya wametoa hivi karibuniLabda tofauti ilà mimi kwenye king'amuzi changu cha ante na siipati mkuu