Startimes local channel sasa kulipiwa 6,000/=

Startimes local channel sasa kulipiwa 6,000/=

b191

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
742
Reaction score
1,032
Ninawasalimu wanajamvi wote,

Leo asubihi nimetembelea ofisi za Star Times baada ya king'amuzi changu kukata Chaneli za Nyumbani jana.

Naomba niwathibitishie kuwa Star Times wamenithibitishia kuwa Chaneli zote za Nyumbani isipokuwa TBC1 zitatozwa Tshs 6,000/= kwa mwezi.

Nawasilisha.
 
ilkuwa 4000 january, 5000 august, 6000 itakuwa december, 7000 lini?, hawa kinachofuata tunawapeleka mahakamani, kubishana nao kwenye mitandao haitusaidii
 
ni bora continental decoder unalipia 12000/= qwa mwez na unapata channels 51 pa1 na local channels 13 dira tv,zbc1&2,uhaitv,cloudstv,ch10,tbc1,tv1,sibukatv,atn,eatv,itv na startv
 
Serikali si ilisema iwe bure!! Ina maana serikali haina meno.
Chachu Ombara:

Hawa jamaa aisee... halafu hakuna hakuna cha kisimbuzi kipya wala cha zamani. Wote ni kulipia tu
 
ilkuwa 4000 january, 5000 august, 6000 itakuwa december, 7000 lini?, hawa kinachofuata tunawapeleka mahakamani, kubishana nao kwenye mitandao haitusaidii

Yaani bei inapanda kila leo. Wakijisikia tu wanapandisha. Namuona Mh. Nape kwa mbaali na yeye anaanza kuwa Waziri Mzigo.
 
ni bora continental decoder unalipia 12000/= qwa mwez na unapata channels 51 pa1 na local channels 13 dira tv,zbc1&2,uhaitv,cloudstv,ch10,tbc1,tv1,sibukatv,atn,eatv,itv na startv
Mbona mwanzoni walijigamba kuwa local channels ni bure. Tena walikuwa wakitangaza kwa mbwebwe kwenye vyombo vya habari. Sasa naona kimya... hakuna cha TCRA wala Wizara husika.

KUONYESHA UUNGWANA WAJE KUTUOMBA RADHI KUWA WALITUDANGANYA
 
Mwanzo nilidhani antena yangu imeharibika baada yakuwa sioni hata hizo local channels, sikujua kuwa mwekezaji mchina ana nguvu kuizidi serekale iliyotutaperi kuwa local channels ni free!
 
Mwanzo nilidhani antena yangu imeharibika baada yakuwa sioni hata hizo local channels, sikujua kuwa mwekezaji mchina ana nguvu kuizidi serekale iliyotutaperi kuwa local channels ni free!
Mimi leo nimeenda kwa hasira na Kisimbuzi chao. Nafika tu nakueleza shida wananiambia local channels 6,000/=

Nikachukua kisimbuzi changu nikaondoka.
 
Lengo ni kuwafanya watu wa vijijini wasepate habari na kujua ukweli, ili wawe wanaangalia propaganda za ccm kwa kuwa wamepata pigo kubwa mijini
 
Mimi leo nimeenda kwa hasira na Kisimbuzi chao. Nafika tu nakueleza shida wananiambia local channels 6,000/=

Nikachukua kisimbuzi changu nikaondoka.
Mwendo kasi utatuua walala hoi sijui nasi tume kwenye ule mkakati wa kutufanya tuishi kama masheitwani?!
 
Unalalamika sh elfu 6 tu mwanaume mzima?

Hapa sijizungumzii mimi ninawazungumzia watanzania walio wengi. Mfano pato la mtanzania kwa mwaka ni Tshs 3,000,000/= ÷ 12 = 250,000/= ÷ 31 = 806 Pato la Mtanzania kwa siku. Sasa chukua 6,000/= ÷ 800 = 7.5 ~ Mlo wa siku 8. Inamaanisha ili kulipia King'amuzi Mtanzania anahitaji kutumia mlo wa siku 8.

Nadhani umenielewa.
 
Back
Top Bottom