b191
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 742
- 1,032
Ninawasalimu wanajamvi wote,
Leo asubihi nimetembelea ofisi za Star Times baada ya king'amuzi changu kukata Chaneli za Nyumbani jana.
Naomba niwathibitishie kuwa Star Times wamenithibitishia kuwa Chaneli zote za Nyumbani isipokuwa TBC1 zitatozwa Tshs 6,000/= kwa mwezi.
Nawasilisha.
Leo asubihi nimetembelea ofisi za Star Times baada ya king'amuzi changu kukata Chaneli za Nyumbani jana.
Naomba niwathibitishie kuwa Star Times wamenithibitishia kuwa Chaneli zote za Nyumbani isipokuwa TBC1 zitatozwa Tshs 6,000/= kwa mwezi.
Nawasilisha.