Idhae
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 609
- 277
Nawabunge wa chama chetu hawataweza kumwuuliza nape kuhusu hili. Wale wenye uwezo wa kuuliza wanatokaga.
Nakumbuka kipindi kile cha bunge live au hapana, wabunge wa chama chetu walishangilia hadi wengine kupata uchungu. Waliokomaa kuhoji, rungu la adhabu likawaangukia. Hongera chama changu.
WALIPE TU HAMNA NAMNA
Nakumbuka kipindi kile cha bunge live au hapana, wabunge wa chama chetu walishangilia hadi wengine kupata uchungu. Waliokomaa kuhoji, rungu la adhabu likawaangukia. Hongera chama changu.
WALIPE TU HAMNA NAMNA