Stars/Msumbiji Live update!

Stars/Msumbiji Live update!

Yoyo I wish 2ngekaa wote hapa ungeshakuwa na bandeji wewe.
bwahahahahaha......usikonde arifu......naona unashangilia draw...nimesema mkitoka draw siingi JF siku 5..nimeongeza toka 3.....mpira hauchezwi mdomoni arifu.....
 
Mpira umeisha.
Tanzania 1 - 1 mozambique.
 
TFF wasipo acha siasa kwenye mpira. tutaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu.
 
Ndo hivyo tena, draw, sasa sijui huko Nchumbiji, tutachomoa kwa niracles gani? Maana lazima tushinde km tunataka kuendelea na tushinde kwa magoli meengi ya kutosha.
 
Dah yoyo we ndo mchawi umeloga taifa starz.
mchawi ni nyie wenyewe....mnajiroga hamjijui......hiyo timu yenu hata
kocha awe morinyo
msaidizi fagasoni,
kocha wa makipa wenger,
daktari ben carson
afisa habari larry king hamshindi ng'ooooo
 
mmeniangusha sana the mambaz
usikonde kamanda....hawatachomoka maputo.....na niliahidi stars wakijitahidi kutoa draw sitaingia jf siku 5.....naanza kesho....le itakuwa siku ya mwisho kuwa jf......
 
Back
Top Bottom