Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
nina imani Taifa Stars........mfano wakiingia hawa kwa mpigo lazima kieleweke..........Mungu ibariki Tanzania na uwalaaaaaaaaaaaani mafisadiOFFICIAL
Taifa Stars: Juma Kaseja 1,Shadrack Nsajigwa 14, Stephen Mwasika 3,Juma Nyoso 4
Aggrey Morris 6,Shabani Nditi 19, Nizar Khalfan 16, Mwinyi Kazimoto 15, John Bocco 9
Abdi Kassim 13,Vincent Barnabas 17
Substitutes:
Mwadini Ally 18, Shomari Kapombe 20,Waziri Salum 21,Salum Abubakar 11,Mrisho Ngassa 8,Hussein Javu 12 na Nsa Job 10