Chereko Chereko
Member
- Dec 4, 2011
- 54
- 6
Update:
full time sisi moja na wao moja, tumejaribu, tumeweza, tumetoa droo!!!
Staz 1 - 1 Msumbiji
full time sisi moja na wao moja, tumejaribu, tumeweza, tumetoa droo!!!
Staz 1 - 1 Msumbiji
Game inaanza saa ngapi? maana mi natoka job 5:00 PM je nitawahi?
Uwanja umefunguliwa saa saba na dakika 56 mchana huu, watanzania njooni uwanjani kuisapoti timu yetu!
STAZ 0 - 0 MSUMBIJI
vipi Kenya iko nafasi ya ngapi?taifa stars akishinda leo najiuzuru kuingia JF for 1 week.....LAZIMA MFUNGWE.....
hakuna cha samata wala nanui arifu......wachezaji stars hakuna anaejituma ni kama wamerogwa.....mazoezi hawafanyi iweje washinde bana......Hahahaha
Hii timu yetu kwakweli haina maandalizi yeyote! na Samatta hayupo sasa kaazi kweli kweli.
Samatta aliwafunga Algeria, Akaenda kuwafunga Chad mwisho nikasikia eti hajitumi mwe!
kick-off time saa kumi kamili juu ya alama, foleni njiani utakuta game is over!
Kocha Paulsen ameingia uwanjani kukagua uwanja, sasa kawafuata vijana wake waje kupasha misuli. Ila anaonekana ana mawazo sana, 'keshapoteza mchezo' psychologically!
Muda huu jopo la marefa linakagua uwanja. Fanyeni fasta muwahi jamani!!
hakuna cha samata wala nanui arifu......wachezaji stars hakuna anaejituma ni kama wamerogwa.....mazoezi hawafanyi iweje washinde bana......
nashabikia msumbiji.....
yaani arifu usingelee harambee stars kabisa....ni sawa kumlinganisha kikwete na martin luther king........vipi Kenya iko nafasi ya ngapi?
bwahahah relax arifu....leo msumbiji anawapiga za kutosha......wewe tangu lini mpira ukachezwa mdomoni na leaders club nana?Hiyo Avatar ya Yoyo nilifikiri mdudu kaingia kwenye comp yangu nikaanza kuikagua dah