Sued Kubenea anaharibu kufafsnua kuhusu habari yake ya jumatano iliyopita katika front page iliyokuwa ikisema "aliyemteka Dr Uliboka huyu hapa.
Kwa kweli jamaa ni mzima katila uelewa wa habari.
wa mtu ambaye anaweza kuangalia tafadhali afanye hivyo ss kwani mhim sana.
Anajieleza kwa kujiamini sana.
Wadau karibuni.
Mwanza kiongozi Dotto Bulendu,Anikazi na Kazinja.
Dar Range,Kubenea.
NAWASILISHA.
kaka Said Kubenea umeweka kila kitu wazi! Only a fool atakataa! Ikulu wanawajibika
Kwa nini habari hiyo tu ndo ajielelze kwenye tv? Anajaribu kutetea uzushi wake siyo?
Kwa nini habari hiyo tu ndo ajielelze kwenye tv? Anajaribu kutetea uzushi wake siyo?
kengemumaji naona umetoka majini bila nguo,kwa nini unakurupuka wenzako kina ritz,rejao na timu yako yote umeiona huku.
Ukiacha kuchangia hutaonekana una akili? usifikirie kwa kutumia tumbo shughulisha ubongo wakoKwa nini habari hiyo tu ndo ajielelze kwenye tv? Anajaribu kutetea uzushi wake siyo?