jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Nakubaliana na Kazinja kuhusu kichwa cha habari. Hapo kubenea ameingilia madaraka ya mahakama. Mahakama ndiyo yenye kudhihilisha beyond reasonable doubt, what if mahakama ikimtaja mtu mwingine,
aliyemteka ulimboka ni yule yule aliyempigia simu mara kadhaa akijitambulisha kwa jina la abed,hiyo doubt uliyonayo inatoka wapi ?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA