Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Wadau karibuni.
Mwanza kiongozi Dotto Bulendu,Anikazi na Kazinja.
Dar Range,Kubenea.
NAWASILISHA.
Mwanza kiongozi Dotto Bulendu,Anikazi na Kazinja.
Dar Range,Kubenea.
NAWASILISHA.
SAID KUBENEA ni muandishi mahiri sana wa habari za uchunguzi, hakuna gazeti mwandishi hata mmoja alieiandika hii habari kwa umakini zaidi ya kubenea.
Hakuna sehemu mnaweza mkaikosoa ile habari, na mkitaka kujua alichofanya kubenea ni sahihi, angalia impact yake, magazeti yote yameandika kuhusu kutekwa kwa ulimboka hakuna aliyeshtuka, alipoandika kubenea, usalama haraka haraka wakajibu.
SAID KUBENEA ni muandishi mahiri sana wa habari za uchunguzi, hakuna gazeti mwandishi hata mmoja alieiandika hii habari kwa umakini zaidi ya kubenea.
Hakuna sehemu mnaweza mkaikosoa ile habari, na mkitaka kujua alichofanya kubenea ni sahihi, angalia impact yake, magazeti yote yameandika kuhusu kutekwa kwa ulimboka hakuna aliyeshtuka, alipoandika kubenea, usalama haraka haraka wakajibu.