Star times hawataki usome taarifa hii.

Star times hawataki usome taarifa hii.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,317
Kumbe Vin'gamuzi vya Startimes ni kimeo? teknolojia yake kuisha tarehe 31 Desemba! China vilikataliwa, Uganda vikakataliwa, vimeletwa Tanzania nchi inayoongozwa na wababishaji!

attachment.php
 

Attachments

  • startimes.jpg
    startimes.jpg
    40 KB · Views: 866
Tanzania kama uijuavyo,watakula wapi wenye ofisi zao,
 
Kazi kweli kweli propaganda za sahara media....
 
Pamoja na kuwa tekinolojia yake haijakaa vizuri (yani watu ndio wanazidi kuongeza ulefu wa milingoti juu ya paa kusaka signal) ila hoja ya uganda na kenya sio kweli maana uganda vinatumika na kenya waliongeza mda wa kuzima mitambo yao ya analojia kupisha maswala ya uchaguzi kwanza yakamilike.
 
duh sasa tufanyeje? kama desi hela yetu imeliwa
 
Kumbe Vin'gamuzi vya Startimes ni kimeo? teknolojia yake kuisha tarehe 31 Desemba! China vilikataliwa, Uganda vikakataliwa, vimeletwa Tanzania nchi inayoongozwa na wababishaji!

mi nitakamata cha CONTINENTAL hivi karibuni ni vya RFA
 
Si kweli. Uganda na Nigeria ni kati ya nchi nyingi za Afrika zinazotumia Star times.
 
mbona uganda wanavitumia,jaribun kufatilia zaidi hii taharifa

Magazeti mengine bana.. Wala hamna haja ya kufuatilia.. Pamoja na kuwa na quality ndogo lakini ci kweli kwamba hizo nchi zilizotajwa vimezuiwa.. Inavyoelekea hii ni vita ya biashara..
 
Hii ni miradi ya watu wachache wenye mabavu,

Haina tofauti na vizibiti Mwendo (Spid Gavana) waliingia kwa mbwembwe sana na mwisho walipomaliza vifaa vyao kimya wakatokomea. Na hadi leo ajali za barabarani zinaongoza kutumaliza kulikoni UKIMWI na MALARIA.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kumbe Vin'gamuzi vya Startimes ni kimeo? teknolojia yake kuisha tarehe 31 Desemba! China vilikataliwa, Uganda vikakataliwa, vimeletwa Tanzania nchi inayoongozwa na wababishaji!

Mkuu niliwahi kuonya kuhusu hili, jana nilimjibu Mkuu Meningitis lakini kwa bahati mbaya nilipoteza thread, nataka kuirudia tena hapa kam ifuatavyo:

Naona usanii unaendelea kulitafuna taifa!kwa waelewa wa mambo tumeshanusa harufu chafu ya ufisadi ndani ya TCRA.nisiseme mengi bali nijikite kwenye swali langu au letu!

Ili niweze kuona local channels zote ninunue king'amuzi kipi?

This is a very serious question from the common mwananchi.

Mkuu Meningitis, kama unavyo sema kuna kitu kinaendela behid the scene si bure! Kwanza kwa nini TCRA waliamua kusitisha matangazo kwa njia ya analouge wakati wakijuwa fika kwamba ITV/STARTV hawana vingamuzi sokoni – mimi nilifikili wahusika wote wanashirikishwa kikamilifu mpaka dakika ya mwisho, kwa nini StarTimes ndio ilionekana kujuwa kinacho endelea zaidi kuliko kampuni mengine? TCRA walifanya maksudi kujaribu kuipiga tafu StarTimes - sio bahati mbaya hata kidogo.

La Pili
nilisha sema kwamba TCRA walikurupuka mno ku-roll out mfumo wa digitali, walikuwa hawakufanya home work ya kutosha - inawezekana kivipi kukubalia ma-multiplexors wasambaze mawimbi wakati wakijuwa wazi wazi kwamba kuna baadhi ya maeneo yanayohitaji gap fillers! Swala hilo wangelivaria njuga kwa kuhakikisha constraint hiyo inakuwa addressed kikamilifu - na hiyo si kazi rahisi kwa kuwa Minara ya kurushia matangazo haiko sehemu moja - nyingine ziko Kisarawe na nyingine Makongo kwa hiyo gap haziko confined sehemu zinazo fanana!!!!

La Tatu TCRA ina wajibu wa kuwalazimisha bila woga ma-Multiplex Providers wote ku-multiplex local channels zote na ziwe free, kwa wale ambao watahitaji channels za ziada/starehe basi hao walipie, tatizo hapa inaonekana TCRA ina dalili za woga woga kwa wafanya biashara hizi za TV, mimi huwa nashangaa nisikiaopo TCRA wanawakaribisha wafanya biashara hawa eti wawape ushauri wa jinsi ya kuendesha Shirika hili la UMMA badala ya kuwa watch dog wanafanya vitu vingine tofauti kabisa, wala tusishangae yanayo endelea sasa hivi.

La nne, hapo mwanzo jukumu la ku-multiplex matangazo yote ya Television zote nchini lilikuwa liwe la TBC pekee, kama nakumbuka vizuri TBC wali float mpaka tenda kufanikisha jukumu hilo; cha ajabu sijuhi kulitokea nini baadae tukaja fahamishwa kwamba TCRA imekubali kutoa liseni kwa makampuni mengine ma wili yatakayo fanya kazi zile zile za TBC!! Sasa nini kilitokea in between – God knows. Hivi TCRA waliwezaje ku-defy directive za Serikali au walitoa visingizio gani vya ku-justify kukubalia makampuni mengine kijihingiza katika biashara ya ku-multiplex channels za makampuni mengine? Mimi binafsi nilikuwa napendelea kuwepo Provider mmoja ili kupunguza adha hizi ambazo tume anza kuzishuhudia, tusigekuwa na ulazima wa kununua multiple vingamuzi na mambo mengine ya kijikanganya unnecessary.

Mwisho, kitakajo kuja kutokea baadae ni nini?? Ushindani wa kibihashara na malumbano yasiyo na tija - katika hilo kampuni ya StarTimes itapata wakati mgumu labda wabadilike, infact sina uhakika kama vingamzi hivyo viko Fully compliant with DVB-T2 standard, si ajabu ndio vilikataliwa huko Uganda wakaja kuvi-dump hapa TANZANIA wakijuwa wazi wazi hatuwezi kuwafanya chochote au wanaoana Watanzania ni mbumbumbu!!!.
 
Hii ni miradi ya watu wachache wenye mabavu,

Haina tofauti na vizibiti Mwendo (Spid Gavana) waliingia kwa mbwembwe sana na mwisho walipomaliza vifaa vyao kimya wakatokomea. Na hadi leo ajali za barabarani zinaongoza kutumaliza kulikoni UKIMWI na MALARIA.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Hili nalo neno,ila mungu amesikia kilio cha wanyonge
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Ugandans allege Star Times selling fake decoders[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Thursday, 27 September 2012 09:37[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

By Nicholas Kalungi,BusinessWeek Correspondent
Kampala. The Uganda Communications Commission has directed Star Times - a pay TV service provider - to immediately withdrawal DVB-T1 set top boxes from the market.

UCC issued the order after consumers petitioned the industry regulator to clarify on a recent announcement that approved DVB-T2 set top boxes as the standard technology for the switch from analogue to digital broadcasting.
In a petition, the Uganda Consumers' Protection Awareness Association, asked UCC to act on Star Times which they accused of advertising and selling DVB-T1 set top boxes yet they had been suspended.
"Suspend Star Times from operating digital television broadcasting services till such a time when it has upgraded its technology to DVB-T2 in compliance with UCC standards," Mr Mulwani Taminwa the association's chairman said in a statement.
Eng Godfrey Mutabazi, the UCC executive director told Daily Monitor on phone that the commission had written to Star Times (September 20) instructing the company to stop the sale of DVB-T1 set top boxes.
"We sent a letter to Star Times instructing them to stop selling DVB-T1 set top boxes. They must comply and immediately withdraw these set top boxes," Eng Mutabazi said.
He added: "The standard for digital migration is DVB-T2 and nothing less. We agreed this is the best technology for the market and all service providers must comply."
However, Mr Kevin Cehen, the Star Times chief executive officer told The Daily Monitor on Saturday that he had not received any such letter and was just hearing about the order from the media.
"We have not received any letter from UCC about the matter," Mr Cehen said, adding: "The good news though is our DVB-T2 stock will be arriving before the end of this week and we shall replace all customers' (Star Times) decoders with DVB-T2 set top boxes at no additional cost."
The Daily Monitor could not independently verify whether the letter had been received although Eng Mutabazi insisted UCC had sent the letter, promising to furnish this newspaper with a copy tomorrow (Tuesday).
UCC's directive comes exactly four months after it (UCC) announced that Uganda just like other East African member states had adopted DVB-T2 as a standard for the switch from analogue to digital.
This means only DVB-T2 set top boxes will operate after the digital switch is implemented. East Africa set December 31, 2012 as the deadline for the digital switch, however, it is highly doubted whether Uganda will hit the deadline.
Recently Mr Nyombi Thembo was quoted in this newspaper as saying that if Uganda fails to hit the East African deadline, it would shift its focus to December 2015, the internationally set deadline for the switch.

From the sale of 130,000 disputed decoders, Star Times has raised UShs7.8bn (about TSh4.836 billion).


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom