Star times hawataki usome taarifa hii.

Star times hawataki usome taarifa hii.

Hiv nyie nae hamshangai! Mshaona wapi vitu vya wachina vikawa vina ubora, kwanz hicho king'amuz ukiwsha saut zake hazielewek mara zinafoka tabu tupu ushaona wap ukanunu king'amuz sh. 39000 wakat hiyo bei ya dstv unanunua hivyo ving'amuz vya startimes 4 na unalipia pia na malipo ya sh 9000 vyte vinne huu wiz mtupu, yan mpaka jk akimaliza muda wake atakuwa ametuvua nguo zte maana anaimaliza kila idara mh!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hii ni hatari,TCRA watakuja kuingia kwenye kashfa nzito.
 
thanx 'pcman'...haya wanaopinga kuwa taarifa za gazeti la 'SAUTI HURU' sio za kweli wasome post ya pcman. TZ tumejawa na miskendo as if hatuna serikali. khaaa...mhe. MNYIKA aliposema Bungeni kwamba JK ni legelege hakukosea ingawa baadhi ya watu walimwona hana adabu! hivi intelijensia ya nchi hii iko wapi? imelala? kazi kuishughulikia CDM tu ili waiue, tubaki kama mandondocha!
 
Magazeti ya kidaku kama haya ndio yanatakiwa kufungiwa, sio MWANAHALISI. maana hii habari ni uongo 100%
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Ugandans allege Star Times selling fake decoders[/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Thursday, 27 September 2012 09:37[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

By Nicholas Kalungi,BusinessWeek Correspondent
Kampala. The Uganda Communications Commission has directed Star Times - a pay TV service provider - to immediately withdrawal DVB-T1 set top boxes from the market.

UCC issued the order after consumers petitioned the industry regulator to clarify on a recent announcement that approved DVB-T2 set top boxes as the standard technology for the switch from analogue to digital broadcasting.
In a petition, the Uganda Consumers’ Protection Awareness Association, asked UCC to act on Star Times which they accused of advertising and selling DVB-T1 set top boxes yet they had been suspended.
“Suspend Star Times from operating digital television broadcasting services till such a time when it has upgraded its technology to DVB-T2 in compliance with UCC standards,” Mr Mulwani Taminwa the association’s chairman said in a statement.
Eng Godfrey Mutabazi, the UCC executive director told Daily Monitor on phone that the commission had written to Star Times (September 20) instructing the company to stop the sale of DVB-T1 set top boxes.
“We sent a letter to Star Times instructing them to stop selling DVB-T1 set top boxes. They must comply and immediately withdraw these set top boxes,” Eng Mutabazi said.
He added: “The standard for digital migration is DVB-T2 and nothing less. We agreed this is the best technology for the market and all service providers must comply.”
However, Mr Kevin Cehen, the Star Times chief executive officer told The Daily Monitor on Saturday that he had not received any such letter and was just hearing about the order from the media.
“We have not received any letter from UCC about the matter,” Mr Cehen said, adding: “The good news though is our DVB-T2 stock will be arriving before the end of this week and we shall replace all customers’ (Star Times) decoders with DVB-T2 set top boxes at no additional cost.”
The Daily Monitor could not independently verify whether the letter had been received although Eng Mutabazi insisted UCC had sent the letter, promising to furnish this newspaper with a copy tomorrow (Tuesday).
UCC’s directive comes exactly four months after it (UCC) announced that Uganda just like other East African member states had adopted DVB-T2 as a standard for the switch from analogue to digital.
This means only DVB-T2 set top boxes will operate after the digital switch is implemented. East Africa set December 31, 2012 as the deadline for the digital switch, however, it is highly doubted whether Uganda will hit the deadline.
Recently Mr Nyombi Thembo was quoted in this newspaper as saying that if Uganda fails to hit the East African deadline, it would shift its focus to December 2015, the internationally set deadline for the switch.

From the sale of 130,000 disputed decoders, Star Times has raised UShs7.8bn (about TSh4.836 billion).

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Spot on mkuu, swali ni je hivi vingamuzi vya StarTimes hapa kwetu Tanzania viko Fully compliant with DVB-T2 standard au la? Jibu kam ni hapana, kwa nini Serikali/TCRA haiwalazimishi StarTimes ku-withdraw vig'amuzi hivyo sokoni wakavi-replace na vile vinavyo kubarika kimataifa! Wenzetu Waganda hakulilazia damu suala hili, sisi JE?
 
Oh my God, tz ya leo, naona ni kama ya mwaka 1991 zama za kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
Kumbe Vin'gamuzi vya Startimes ni kimeo? teknolojia yake kuisha tarehe 31 Desemba! China vilikataliwa, Uganda vikakataliwa, vimeletwa Tanzania nchi inayoongozwa na wababishaji!

Nadhani huu ni wakati muafaka kwa televisions zote hapa Tz zilizojiunga kwenye Star Times kuja na concrete statement juu ya hii kashfa either kukanusha or kukubali ili wananchi wajue nini kinaendelea. Kumbukeni kuna consumer rights,
 
January Makamba aka Kiranga ni kilaza.

Kiranga ni kilaza, kashasema mwenyewe hapa hajui kitu (na hajui hata kama hajui) hivyo hilo halina mjadala.

January Makamba? That's another matter.

Mtu mwenye kumfuatilia Kiranga kwa umakini mdogo tu anaweza kugundua kwamba Kiranga si January Makamba. Kwa sababu Kiranga kashawahi kumchana January Makamba na familia yake kisawasawa hapahapa JF, sasa haiyumkiniki January Makamba akajikandia mwenyewe na familia yake.

Na kwa kuwa wewe umeshindwa kugundua hilo, you are less than kilaza.

Guluguja uso uti!
 
"Nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni kheri mama weeeee" Aliyetunga wimbo huu kama yupo basi ajitokeze nakuomba ufungiwe. Tanzania aliyoitungia siyo hii hapa.

Nilipo mimi ni miongoni mwa mikoa tunayosubili digili lkn kama mambo yenyewe ndo hayo na basi wasije.

Makamba jitokeze useme kitu ili kama ni uvumi usieneee sana na kuathiri utendaji kazi wa baadhi ya watu.
 
Hii ni miradi ya watu wachache wenye mabavu,

Haina tofauti na vizibiti Mwendo (Spid Gavana) waliingia kwa mbwembwe sana na mwisho walipomaliza vifaa vyao kimya wakatokomea. Na hadi leo ajali za barabarani zinaongoza kutumaliza kulikoni UKIMWI na MALARIA.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mkuu usiashau pia mradi wa kuweka kamera kwenye mabasi!
 
Kaka kilichoandikwa ni chenye ukweli. Achana na mmiliki wa gazeti. Ni kweli kabisa kuwa aina ya ving'amuzi tunavyouziwa hapa sisi na StarTimes Waganda walivikataa kwa madai ni old model. Tatizo kwetu lipo TCRA kwani hawataki kusema ukweli.

hili gazeti ni la mchumia tumbo mmoja...ingawa sijathibitisha kuhusu hiyo habari ya ving'amuzi
 
Wangekuwa na uwezo wangetamani watuuzie mpaka hewa for breathing ila uwezo hawana
 
ni bora tu kula msuba :majani7: ukiwa tanzania! waeza kufa mtu wallahi!

Kwa pressure za nchii hii unaweza kusaidia japo ni kama panadol kwa malaria......HAYATOKWISHA!!!!
 
tatizo la nchi siku zote me nasema ukweli mkiamua nichukieni,sio viongozi ni sisi mazuzu.wanajua udhaifu wetu kuwa tutaishia kulalamika tu kama wajinga flani hivi wakti wao wanaendelea kutuchinja.startimes ni utapeli mwingine na sikudanganyi tutalia wengi sana.but at the end of the day tutaimba ccm eeee ccm ni nambari oneeee.shame on u wadanganyika!!!
 
Back
Top Bottom