Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.
Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?
Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.
Ebu tuchangamshe akili hapa.
watatoaje wakati state house yote imo humoo, hela za stanbic ni chafu na ndomana hazionyeshi. za vip ni safi na ndomana zinaonyeshwa kweupe.Kwa kuwa Stanbic wamegoma, na Inaonekana wana baraka za wakubwa flani kutoitoa orodha, je Hakuna sheria za nchi zinazoweza kuwalazimisha kutoa hiyo list? Japo majaji wetu nao walikula cha juu lakini nahisi kutakuwa na taratibu kama sio za hapa basi hata kimataifa.
Hakuna sehemu tunaweza kuishtaki stanbic wakatoa ile list?
Na akili yangu inanituma kwamba ujio wa Zuma ulikuwa na kitu flan kuhusu Escrow kwa sababu stanbic ni member wa standard bank ambao ni South Africa based.
Ebu tuchangamshe akili hapa.
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo
Kwa hiyo Mbowe ana mamlaka zaidi ya Kikwete? Kweli wapenda CCM mnaonyesha kufikiria kwenu kulivyo kidogo sana
Mkuu ulitaka KUSEMA mbowe?, Pole sana. Nina uhakika asilimia 100% Hujapata pesa za ESCROW, Ila wewe ni taahira tu ndio maana unatumika kama gunia la deki.Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo