Kuna fununu kuwa hilo BOMO litatolewa ktk campaign za lala salama wakati wa uchaguzi 2015! Hapo ndipo nchi itapata pigo la karne!!
It's good to have an arsenal of unique talents with which you can distinguish yourself.
Kuna fununu kuwa hilo BOMO litatolewa ktk campaign za lala salama wakati wa uchaguzi 2015! Hapo ndipo nchi itapata pigo la karne!!
Tanzania tunayoitaka
-kuwe transparency and accountability
-To be responsible to your country.hila toka nipate akili CCM chama chenye zamira njema na nchii baada ya kufanya mikataba mibovu kutawala huku wakiacha sheria pemben(dictatorship) leo hii watoe majina ya mafisad mhh labda nchi imebadirika s dhan kama CCM wanadhamira njema kiac hicho tusahau.
Utapata majina Kiwete akitoka madarakan!
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?
Stanbic ilitumika tu,ukweli ni kwamba Lori la BOT lilipeleka ile pesa ktk viwanja vya yule jamaa jirani na Stanbic Kinondoni na toka hapo watawala wakagawana kama majambazi!
Majina wewe ya nini?
Ivi Kweli Wadau Hawa Jamaa Ndo Wamegoma Kuyatoa Haya Majina? Isijekua Kua Kina MUHONGO Nao Wamo Kule Sio Kujisafisha Kua Hajatajwa Popote Na Report Ya CAG Kua Nae Kapata Mgao. Wananchi Tutaaminije Maneno Yake Endapo Miamala Ya Malipo Iliyofanyika Stanbik Bank Haijulikani? Au Kapatia Mgao Kule Sisi Hatujui Chochote Tu?
Ukipata kuyajua hayo majina utafanya nini?. Majina ya waliochukua mgao Mkombozi bank umeyajua je umechukua hatua gani?. Ndugu yangu kaa kimya na kula ugali wako acha kupiga kelele zisizo na maana.
Tutawanyonga hadharani Wote na pesa zetu lazima zitarudiUkipata kuyajua hayo majina utafanya nini?. Majina ya waliochukua mgao Mkombozi bank umeyajua je umechukua hatua gani?. Ndugu yangu kaa kimya na kula ugali wako acha kupiga kelele zisizo na maana.
Kwenye Orodha ya Stanbic na Mbiwe yumo. Ndo maana hali iko hivyo