St Joseph ni jipu

Ndio hao hao, lakini si walitumia workshop hizo hizo mnazolalamikia, walifundishwa na wahindi hao hao mnaowalalamikia!?
Mkuu siku za nyuma hiki chuo kilikuwa chini ya dini ya kikristo na ndo kilikuwa kinakisimamia afu walikuwa na marecturer wazuri na walikuwa wanalipwa vizuri afu kilikuwa kinasifika sana lakini siku hizi hiyo dini imejiondoa na marecture wenyewe hawapo wamebaki wahindi wenye elimu master ya linguistic ndo wamekua wanaoongoza chuo cha engeneering kwa maana hawana sifa yoyote ya kufanya hivyo na kwenye chumba cha mtihani anaweza kukwambia andika chochote kama hujui afu atasahihisha na assignment anaweza kukwambia ukopy maswali na solution zake kutoka kwenye daftari uliyoyafanya afu tunakusanya anaenda kusahihisha ndo hivyo limetoka

Na matatizo ni mengi mkuu siwezi kuyaweka yote hapa
 
Hiyo 400 yenyewe unafunga safari kutoka huku kibamba hadi mlimani city benki unaenda kuilipia banki hawataki kabisa uwape mkononi
 
Nikweli mkuu waliingia na gia ya udini lakini ukishindwa kulipa hata sh 400,huwezi kufanya UE kisa hujamaliza ada.Inasakitisha sana kwakweli.
So bad!!. Anyway mie ata nikiona CV zao naweka pembeni. Kunasiku niliulizwa na bosi hivi hawa nao ni degree holder nkasema tu mh. Serikali iingilie kati. Tunaogopa kuwapa kazi hawa. Mie kama nna mdogo wangu bora nimpeleke pale VETA atatoka yuko powa ata hiyo certificate.
 
Haya ni matokeo ya kutofanya vizuri kidato cha sita,ungefanya vizuri ungekuwa UDSM au DIT,ufaulu wako hafifu huko chini unakuja kujaza sever za jf bure tu
 
Haya ni matokeo ya kutofanya vizuri kidato cha sita,ungefanya vizuri ungekuwa UDSM au DIT,ufaulu wako hafifu huko chini unakuja kujaza sever za jf bure tu
Kidato cha sita na two ya point 12,lakini hivyo vyuo unavyovisifia ni bora hata na hii st joe.Chungulia humu kuna uzi unaozungumzia hizo takataka unazozisifia.Kwa ufupi tu elewa tz hakuna chuo kizuri kwa engineering.Ndio mana tunapambana kiboreshwe na sio hatukuwa na uwezo kuja kusoma kwenye hizo takataka za kumeza desa tu.
 
TCU wamewatupa,Waziri wa elimu naye amewatupa,basi nyinyi wanafunzi ndio MAJIPU sema hamjielewi tu
 
Mkuu sio lazima kuajiliwa kwa kampuni yenu au kampuni nyingine asee naweza hata kujiajiri kwa kile nilichojifunza na nikaweza kuwaajiri hadi nyie na nikatimiza malengo yangu na kumbuka sio wote waliosoma hapo udsm na dit wapo kwenye ajira wengi wao wapo mitaani wanazunguka na vyeti
 
Mi naona apa madai ni mawil tu..
1.Ada ipungue
2. Hela za mkopo zifike kwa wakati
Vinginevyo hamtaki kusoma...kwan ukiwa prof ndo unajua...kwa hyo angekuja billgate kufundisha mngemkataa?...mbona hao wahind wanatoa product nzuri tu tena zenye discipline kuliko vyuo vyote....Someni acheni utani
 
Sawa mkuu umesikika.
 
Mkuu matatizo ya msingi ya nyumba yako unaweza kuyafahamu zaidi kuliko matatizo ya nyumba yajirani yako kwa hiyo unapoambiwa matatizo ya hiki chuo sio kuangalia tu picha ya nje na ukatolea ufafanuzi kiasi hicho na tuliopo huku tunakushangaa sana maana hujui hata tumeanzia wapi na tumeishia wapi mpaka mida hii....!!!!
 
Mtaishia kurudi darasani na kusoma basi
 
Vyuo vyetu tunaelewa majanga ya practical ni kila sehemu naamini compete ya mtu inatoka na bidii binafsi siku kuna vyanzo vingi vya kujifunza course yako unayosomea college ,tutorials kibao YouTube sambamba na vitabu kwa njia ya mitandao, Practical ni majanga kwa college zetu pigeni shule vijana kazi mtakuja kuzimudu wala msitishike na majina ya vyuo vingine hapo mlipo ni official
 
Unaweza kua m2 mzima ila huna akili,tena chizi Ss mlitaka watu wakae kimya afu bc shule iishe,tupewe mi vyeti afu bc, yaishe yani,tcu wanakubali matatizo yapo na wanajua since 2013 ss jipu linaanzia hapo coZ matatizo wanayajua halafu hamna kufatilia,swala lakujitia eti hamjapata one ndio maana mlienda hapo,njoo uone vyeti vetu kma hujakificha chako,na kwa ujinga huo wakujifanya acha mambo yaende ndio miaka yote mtapiga kerere wakenya wanajua,kumbe upuuzi wenu wenyewe na kuchukulia kila ki2 poa 2 hata kma hakipo sawa
 
Div 1 yako tia uchagoni,maana off-topic,
Imechukua 3yrs kufunga switch ya lab ya cse ss huu c ujinga na uzembe,akati mwanafunzi ukimpa anafunga faster 2,lecture anaandika notes kwenye ubao ucopy afu yy anatoa kwenye kitabu ambocho unaweza kwenda kuchukua library,Ss c kupotezeana muda 2,unaletewa bby seater eti usitoke darasani,upuuzi m2pu coz ni unnecessary
 
Bottom line, vyuo vya engineering kwa Tanzania hii maabara zao wote ni uvundo bora hata hapo St. Joseph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…