SSH Tafakari kuhusu hili.

SSH Tafakari kuhusu hili.

Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.

Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi

Mheshimiwa Rais hili linatishia uslama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.

Orodha si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.

Asilimia 98% na watu kuny'atuka ni hatari kwa usalama wa kidemokrasia.
Mkuu pamoja na hao uliowataja, ni vyema pia ukaangalia amebadilisha mara ngapi
1. Wakurugenzi wa TISS
2. Nafasi ya Katibu Mkuu Taifa wa CCM pamoja na sekretarieti yake?
3. Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi
4. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa wa CCM
5. N.k, n.k,
 
Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.

Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi

Mheshimiwa Rais hili linatishia uslama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.

Orodha si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.

Asilimia 98% na watu kuny'atuka ni hatari kwa usalama wa kidemokrasia.
Kuna watu wa kujiuliza sio huyo kilaza uliye mtaja
 
Mkuu pamoja na hao uliowataja, ni vyema pia ukaangalia amebadilisha mara ngapi
1. Wakurugenzi wa TISS
2. Nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM pamoja na sekretarieti yake?
3. Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi
4. N.k, n.k,
Duh....... aibu naona mie wallah, yani ccm.imegeuka kama simba siku hizi, msimu mmoja makocha nane (8) team inaenda kufaa hii.
 
Okay, tukubaliane kuhusu Tulia na Majaliwa kwamba muda wao uliisha. Vipi kuhusu yeye muda wake haukuisha?? Na Mpango hivi aliingia au alikuwa na muda gani kwa nafasi ya Umakamu??

At the end of the day, the King (soma the Queen) and Pawn will go into the same box.
Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae

Tulia the same

Majaliwa the same

Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata

Ndugai Mungu kampenda zaidi

Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake

Tanzania is there to stay and Samia ni President
 
Okay, tukubaliane kuhusu Tulia na Majaliwa kwamba muda wao uliisha. Vipi kuhusu yeye muda wake haukuisha?? Na Mpango hivi aliingia au alikuwa na muda gani kwa nafasi ya Umakamu??

At the end of the day, the King (soma the Queen) and Pawn will go into the same box.

Mtasubiri sana

CCM ni master wa hizo calculations

We hujiulizi kwanini chama cha mapinduzi kinaitwa kidumu??

Matatizo yanapozidi mtoto wa kiume usiishie tuh kula ndumu
 
Sasa kama ni maslahi kwanini wasitulie abaki huyo kisha nyuma ya panzia wale kwa kujimwaga why wanangoana ngoana hovyo, yani ccm wamegeuka samaki walakulana wao kwa wao, kila siku mtu anaachia ngazi why.........?
Hicho chama ni kama genge la khanga moko au baikoko... Kadri wanavozidi kulewa ndivyo wanavochanganyikiwa!
 
Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae

Tulia the same

Majaliwa the same

Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata

Ndugai Mungu kampenda zaidi

Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake

Tanzania is there to stay and Samia ni President
Ukute na wewe ni s.hoga.
 
Mtasubiri sana

CCM ni master wa hizo calculations

We hujiulizi kwanini chama cha mapinduzi kinaitwa kidumu??

Matatizo yanapozidi mtoto wa kiume usiishie tuh kula ndumu
Unajifanya unaijua nchi kumbe hujui cbochote. Ni kwa vile hujui kuwa mwisho wa CCM umewadia.
 
una
Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.

Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi

Mheshimiwa Rais hili linatishia usalama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.

Orodha hii si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.

Pia swali lingine ni Je, Asilimia 98% zilikuwa za kuokoteza....? na je watu kuny'atuka si hatari kwa usalama wa kidemokrasia ya taifa...?

Nakutakia tafakati ya kina, maana ukijumlisha na mvutano wa jumuiya za kimataifa, kesi za uhaini, yaliyotokea tarehe 29 october na siku zilizofuata, n.k naona unapaswa kutafakari na kupata utulivu wa kiakili, n.b Sikiliza ushauri wa wanaokuzunguuka vizuri.

Nawasilisha.
una uhakika anao uwezo wa kutafakari?
 
Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae

Tulia the same

Majaliwa the same

Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata

Ndugai Mungu kampenda zaidi

Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake

Tanzania is there to stay and Samia ni President
Nchimbi kwa hiari yake??
Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae

Tulia the same

Majaliwa the same

Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata

Ndugai Mungu kampenda zaidi

Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake

Tanzania is there to stay and Samia ni President
Nchimbi kwa hiari??
 
Kuliko yule Jiwe ambae aliua moja kwa moja demokrasia na kupiga Risasi wapinzani??

Au kwa kuwa ni Mmisheni mwenzako.?
Chanzo cha yote kilianzia kwa Jiwe, ila huyu kiazi yeye kaenda mbali zaidi!.
Kuna wahuni wana take advantage ya ukiazi wake kwa maslahi yao binafsi.
 
Back
Top Bottom