Izato
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 5,308
- 11,400
Mkuu pamoja na hao uliowataja, ni vyema pia ukaangalia amebadilisha mara ngapiMfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi
Mheshimiwa Rais hili linatishia uslama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.
Orodha si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.
Asilimia 98% na watu kuny'atuka ni hatari kwa usalama wa kidemokrasia.
1. Wakurugenzi wa TISS
2. Nafasi ya Katibu Mkuu Taifa wa CCM pamoja na sekretarieti yake?
3. Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi
4. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Taifa wa CCM
5. N.k, n.k,