hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,038
- 72,654
Dah 😄Ndiyo.......WAZANZIBARI, wanaruhusiwa kukata ardhi kiasi chochote wanachotaka, pia kuchota mchanga wetu.
Dah 😄Ndiyo.......WAZANZIBARI, wanaruhusiwa kukata ardhi kiasi chochote wanachotaka, pia kuchota mchanga wetu.
Namimi nisubiri jibu maana sijui ni nani !Jamani kuulizs sio ujinga, huyu mtu ambaye msiba wake umekuwa maarufu hivi ni nani? maana ndio namsikia baada ya kufa
Hii ya mchanga imewauma kweli😁,Ndiyo.......WAZANZIBARI, wanaruhusiwa kukata ardhi kiasi chochote wanachotaka, pia kuchota mchanga wetu.
Kujenga nyumba sio lazima ila tutakushangaa kwanini huwezi kujenga wakati una helaWatanzania sijui mtaacha lini haya maisha ya kikuda! Ndiyo maana miaka ile nilipoenda kufanya kazi kijijini na kununua Toyota Carina TI yangu, baadhi ya watu wenye mtazamo kama wa kwako wakanishangaa eti nimenunua gari, huku ninaishi nyumba ya kupanga!
Kha! Kwani kujenga nyumba ni lazima?
Wewe kidogo ndio umeeleza kimantiki wengine ni maskini wennzetu wasisema eti hawataki tu kujenga bila sababuNaona bongoland kua na nyumba au kujenga nyumba ni big deal, kuna watu wanaamua tu hawataki kujenga ili mradi atapanga sehemu nzuri bila tatizo. Maana wengine wanaona shida ujenge li nyumba la milioni 200 Kibada sijui Goba, baada ya miaka kama 5 unavuta unawaacha familia na madeni ya bank si sawa. Bora hio pesa upange ila watoto waende shule za uhakika likitokea la lakutokea umewaachia watoto msingi wa elimu bora bila madeni.
Aisee Wewe uliamua kuishi maisha ya priority zako kwanza, wao walikuwa kwenye syllabus ya lazima uanze na msingi hadi paa 😂Watanzania sijui mtaacha lini haya maisha ya kikuda! Ndiyo maana miaka ile nilipoenda kufanya kazi kijijini na kununua Toyota Carina TI yangu, baadhi ya watu wenye mtazamo kama wa kwako wakanishangaa eti nimenunua gari, huku ninaishi nyumba ya kupanga!
Kha! Kwani kujenga nyumba ni lazima?
mbona yeye hakushangaa kuishi kibachela? Unampangia maisha? Unajua kisa cha kuamua kuishi kibachela? Usione watu wanatembea kiongozi.....Siyo mTZ so hawezi kumiliki ardhi....Kwenye kujenga hakujanishangaza sana ila kuishi kibachela kwa umri wake na alikuwa pia na changamoto za afya ndiyo kimenishangaza.
Makamu wa Rais alikosa nyumba? AuNikayakumbuka ya makamu wa raisi yule ,watu wanaulizana je familia iende wapi ? Waliokubali kuwasitiri wanaulizana upenuni watakaa siku ngapi ?
Nikiwa na rafiki yangu katika ile familia ,mama akasema rafiki yako mualike aje kuishi hapa nyumbani ,wakati nafanya huo mpango na mimi mzee akanitimua nyumbani nikaenda kuishi machungwa keko ,dah rafiki yangu akapitia shida na mimi huku nikawa wa uswazi bila kupenda eti natetea ndoto ninayoitaka ,yakanikuta nikaenda kuliwa na mbu bila kupenda .
Kujenga si muhimu kama kipato kipo na kinajitosheleza ila kama kina shida basi dunduliza walau upate kwa kujikinga na fedhea kwa wanao ukiondoka .
Ila kujenga sio lazima wala sio suala la msingi ikiwa sio sehemu ya focus zako ,ssebo sioni kama alikuwa mtu wa mambo hayo ya kiswahili ijapokuwa nyumba alikuwa nayo ila ndiyo vile wanasema mmbeya hasubili pakuche ,mleta mada kaja mbio mbio bila kuuliza .
Nazungumza haya nikiwa na ushahidi wa mjengo wake labda ikiwa aliuza , kabla ya kifo
Ndiyo ilikuwa skendo kubwa Enzi zile.Makamu wa Rais alikosa nyumba? Au
😂😂😂😂Watanzania mnaamini sana katika nyumba kama kobe harafu zimewatia kwenye wimbi la umasikini kwa kutaka sifa ya kuwa na nyumba huku uwezo mdogo badala ya kuendeleza biashara unatoa hela Dukani unapelela kwenye nyumba baadae unaenda tena NMB wakupe mkopo wa riba kubwa inapelelea nyumba hiyo kuuzwa tena..
Tanzania kuna wenye nyumba maskini sanaWatanzania mnaamini sana katika nyumba kama kobe harafu zimewatia kwenye wimbi la umasikini kwa kutaka sifa ya kuwa na nyumba huku uwezo mdogo badala ya kuendeleza biashara unatoa hela Dukani unapelela kwenye nyumba baadae unaenda tena NMB wakupe mkopo wa riba kubwa inapelelea nyumba hiyo kuuzwa tena..
Ssebo eti hakuwa na nyumba je ni kweli ?Makamu wa Rais alikosa nyumba? Au
😀😅😂Alikuwa nani huko mjini Dasalamu?