Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Mmh kufa tujue maisha yako
Dennis alipokuja kusoma UD kutoke UG alipokelewa na Adv Magai kama family friend wao na aliishi hapo kwa muda akiwa UD na baadaye kuanza kaziNimeshangaa msiba kuwekwa kwa wakili msomi mwingine badala ya Nyumbani kwake. Hii imekaaje Wadau? Au mambo ya apartment kama Le Mutuz?
Hata mimi kuishi peke yake kumenishangaza. Halafu sikujua kama alikuwa na mkeSiyo mTZ so hawezi kumiliki ardhi....Kwenye kujenga hakujanishangaza sana ila kuishi kibachela kwa umri wake na alikuwa pia na changamoto za afya ndiyo kimenishangaza.
Sio kila mtu anaweza kufanya biashara,wengine wapo kwa ajiri ya kutumikishwa tu hao nyumba kwao ni muhimu zaidi.Watanzania mnaamini sana katika nyumba kama kobe harafu zimewatia kwenye wimbi la umasikini kwa kutaka sifa ya kuwa na nyumba huku uwezo mdogo badala ya kuendeleza biashara unatoa hela Dukani unapelela kwenye nyumba baadae unaenda tena NMB wakupe mkopo wa riba kubwa inapelelea nyumba hiyo kuuzwa tena..
Naongea huku nina ushahidi nimewalipia baadhi ya ndugu kiasi cha fedha walichoshindwa kulipa deni mwingine 3m sijui huyu 7m nyumba zilikua zinapigwa mnada ukiangalia hela anayodaiwa haiendani na thamani ya nyumba..Sio kila mtu anaweza kufanya biashara,wengine wapo kwa ajiri ya kutumikishwa tu hao nyumba kwao ni muhimu zaidi.
We jamaa umenichekesha sana!!Watanzania mnaamini sana katika nyumba kama kobe harafu zimewatia kwenye wimbi la umasikini kwa kutaka sifa ya kuwa na nyumba huku uwezo mdogo badala ya kuendeleza biashara unatoa hela Dukani unapelela kwenye nyumba baadae unaenda tena NMB wakupe mkopo wa riba kubwa inapelelea nyumba hiyo kuuzwa tena..
Mimi hizi mambo nazijua sana pana jamaa nilimwambia usikope hiyo hela peleka pale kwenye lile duka la hardware wanaandika lipa kupitia bank au kopa vifaa vya ujenzi hakunielewa baadae akaja kuuza pagala baada ya kushindwa kulipa deni la bank ikabidi sasa aje na mbinu yangu ndio naona anatoboa tunapowaambia wanadhani hivi vitu tunavisikia kwa watu kumbe vimewakuta watu wetu wa karibu kabisaa..We jamaa umenichekesha sana!!
Halafu Kuna hii ya mwajiriwa anaenda kukopa Bank anaanzisha ujenzi,akinyanyua Boma Tu hela imeisha,huku anatakiwa kulipa Pango huku bank wanamshenyeta!
Alikuwa mtangazaji wa EATV, then akahamia EFM/TVE kwa MAJIZZOJamani kuulizs sio ujinga, huyu mtu ambaye msiba wake umekuwa maarufu hivi ni nani? maana ndio namsikia baada ya kufa
OK asante sana ni kwa kuwa hizo redio za ma Gen Z huwa sisikilizi nimgekuwa nimemfahamuAlikuwa mtangazaji wa EATV, then akahamia EFM/TVE kwa MAJIZZO
Nakuelewa mkuu. Ni kweli, ni mpaka uwe msikilizaji ama mtazamaji wa hizo media kumfahamu jamaaOK asante sana ni kwa kuwa hizo redio za ma Gen Z huwa sisikilizi nimgekuwa nimemfahamu