Cobra original,matata sana hii kitu..Kitu cha ayu, au cobra, kitakufaa zaid, watoto wa juzi hawawezi kuifahamu hii kitu,
kweli kabisa mkuu mpk huwa znaleta kizungu zunguKuna Spray nyingine mtu akitumia hadi unaskia kama ubongo una shake kwenye kichwa ina harufu kaliii,
Nataka spray ambayo ni smooooth yaani ukijipulizia husumbui watu wengine walio karibu yako
storm fresh ipo vzuri sanaMkuu jarib kutumia STORM FRESH au SUPER BLACK
Ngoja nipitie siku nikiwa gentleman ninunue
Bei gani?Mi sasa hivi natumia Be Delicious by Donna Karan.
Inanukia utamu sana hio kitu, kama una demu wako anapenda hayo madude be assured kwamba anaweza ingia kingi kwa hilo ji scent langu tu. Mwenye uwezo aitafute hii kitu, atakuja simulia vyema.
weka glycerine hayo mafutaMe natafuta mafuta mazur maana ngoz ya kwenye Viganja mikavu unakuta imepauka Muda wte inaonekana Haina mafuta Sasa nitumie mafyta gan mazur ambayo yatafanya iwe fresh isiwe Liiiiiiiine Kama wanaume wa D@@@@@@@@@r
Rinju duh!!! Bei yake?weka glycerine hayo mafuta
me mwenyewe mafuta yanayonikubali ni rinju tu nkitumia mengne tu naharbika vbsya mno
inategemea sehem na sehem madg 10,000 makubwa 15Rinju duh!!! Bei yake?
Nahs upatikanaji mgum ngja ksho nikayasakeinategemea sehem na sehem madg 10,000 makubwa 15
hamna yapo maduka mengi sana..jarb ulete mrejeshoNahs upatikanaji mgum ngja ksho nikayasake
P1hamna yapo maduka mengi sana..jarb ulete mrejesho