Spray gani nzuri ya kiume

Mwenzangu Kitu Hicho Kinauzwa Laki Na kitu Atakiwezea Wapi Mie Napaka Fake Yake nAje nimwelekeze Chimbo Langu La Fake Zinauzwa Buku Nne Nne
Hahahahah sio mchezo, ila hio ya buku 4 ni daraja la mwisho itakuwa.
 
Mi sijaona sababu ya kununua ule ushenzi bei yote hio. Wanawapiga akina mama maana hela wanachukua kwetu tu wanachota hawajui uchungu wake. Unadhani huyo mate wako angeropoka bei halisi aliouziwa pangekalika?
Mama mmoja work mate wangu alinunua vidude 2 vidogo kama lipshine kwa hao wasweden 70,000. Akamdanganya mume wake kavinunua 5,000 vyote viwili akaona noma kutaja bei halisi.
 
Ila ni nzuri balaa afu unique...
Ni sawa iko unique ila bei zao kali wawauzie nyie mnaochota hela kwetu tu hata mkilipishwa 70 kwa kitu chenye ujazo wa lipstic mnaona sawa tu...Asikwambie mtu kitu ukiwa mjanja kuna kali kibao ambazo unaweza pata kwa bei nafuu kabisa na still ukawa unique.
 
Mi sasa hivi natumia Be Delicious by Donna Karan.

Inanukia utamu sana hio kitu, kama una demu wako anapenda hayo madude be assured kwamba anaweza ingia kingi kwa hilo ji scent langu tu. Mwenye uwezo aitafute hii kitu, atakuja simulia vyema.
 
Mi sasa hivi natumia Be Delicious by Donna Karan.

Inanukia utamu sana hio kitu, kama una demu wako anapenda hayo madude be assured kwamba anaweza ingia kingi kwa hilo ji scent langu tu. Mwenye uwezo aitafute hii kitu, atakuja simulia vyema.
Hii bei gani mkuu??
 
Back
Top Bottom