afadhal yule dogo mirad ayo anajitahid kidogo ktk kipind chake.
Hiki kipindi ni cha ajabu sana. Shafii Dauda anachapia mno kila anapojaribu kuongea kingereza na vile vile kipindi wanakifanya kama vile wako maskani wanapiga story tuu. Hivi kweli wanakosa hata muda wa kupanga nini wakiongelee ndanin ya kipindi? yani wana ruka toka hapa kwenda kule.
na LEO TENA ya akina gea!!
aiseee....kumbe tuko wengi!
Binafsi kipindi nakipenda sana ila mbwembwe za Watangazaji ndio zinakera hasa pale wanapotamka Barcelona(batherona), Zaragoza(tharaghotha). Hata kama wanajitahidi kuongea kiispania, mbona SuperSport wanasema Barcelona(baselona) Zaragoza(zaragoza).
Shafii yuko poa japo kidhungu kina mkaba bora aachane nacho.
Kuna huyo Maestro kwa kweli angetafuta kipindi kingine au aache kutangaza, jamaa anabore sana na anapotangaza mbwembwe za kijinga hadi anasahau kutamka mambo muhimu anaweza sema timu flan imeshinda akaweka mbwembwe akasahau kutaja magoli.
Lwambano yuko poa na makini kwa kazi yake.
Mbwiga wa Mbwiguke ndio hovyoooo kabisa!
true shafi dauda.. apige msasa ngeli yake... ila kipindi ni kizuri...
creativity...tatizo wabongo mnapenda mambo yawe kama yalivyokua miaka 40 iliyopita..sikiliza redio za nje uone jinsi watu wanavyotangaza..clouds ni redio ya burudani..hivyo watangazaji inabidi hatakama wanatoa mada yenye umuhimu..waipresent katika mfumo unaovutia na si utaomboa msikilizaji..mnataka mtu atangaze kipindi cha michezo kama matangazo ya vifo bwana?? inawezekana kukawa na upungufu wa hapa na pale..hilo sipingani nalo..linakubalika ..lakini upungufu huo usizidi na kufikia kuondoa mantiki na ubora wa kipindi jambao ambalo naona halijafikia kwa clouds.. binafsi kuna huyu jamaa anaesemaga valenthia anapotaja valencia..au pale wanapotudangaya kua uwanja wa inter milan unaitwa guessepe "de" meazza badala ya guessepe meazza..panabiboa..kipindi kizuri sana ila kinahitajika maboresho kadri siku zinavyokwenda...na jambo lingine linalonikera HAPA BONGO KWENYE MEDIA!!!! NI kwa taarifa za habari almost TV zote isipokuwa chanel 10 kuwa saa mbili usiku..hii naboa..mtu unakosa kupata habari mbalimbali maana uwasilishwaji wa habari unatofautiana baina ya media na media..vile vile..kupiga muziki siku nzima badala ya kutoa vipindi vyenye mafundisho hapo tu nakereka..
Unaweza kuichukia na kuiponda CLOUDS FM pamoja na vipindi na watangazaji wake upendavyo Lakini huwezi kuondoa ukweli kuwa CLOUDS FM ndio redio bora zaidi ya radio stations zote hapa Bongo, Wala huwezi kuondoa ukweli kuwa CLOUDS FM ndio radio station inayoongoza kwa kusikilizwa na watu wengi zaidi hapa DSM na kwingineko Pia huwezi kuondoa ukweli kuwa CLOUDS FM ndio radio yenye ushawishi mkubwa zaidi hivyo kupokea matangazo yanye kuingiza mkwanja wa nguvu zaidi...........nk nk nk
nakuunga mkono mkuu, kwa tz iwe tv ama radio kwa upande wa michezo clouds wapo juu, bila kujali eti english... kwaniSidhani kama kuna kipindi bora cha sports km sports extra sbb wanachambua hbr kiundani za bongo na duniani,no comment