Sasa ni Vita rasmi ya Sports Extra ya Clouds FM dhidi ya E-Sports ya EFM Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,875
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Hakika itakuwa vita
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Hyo inaitwa both team to score
 
Hyo inaitwa both team to score
IMG-20230309-WA0018.jpg
 
Muda wa kusikiliza redio masaa mawili kusikiliza kipindi cha Michezo unautoa wapi? Wew ni jobless?
Kwani ndiyo leo unajua kuwa GENTAMYCINE ni Jobless? Mbona sasa huwaambii Members hapa JamiiForums kuwa kutokana na Mimi kuwa Jobless hivi Nakula Kwako na Hela ya Bando la Internet unanipa Wewe mwenye Ajira na Tajiri?

Moron mkubwa Wewe......!!!!!!
 
Sports extra n lavel nyingine Acha kufananisha na hizo uchwaro
Kiukwel hawa majamaa ni level nyingine kabisa

Kwanza kupitia kipindi chao wao ndo walishauri timu ziwe chache(16) ligi kuu kuleta ushindani

pia hao hao ndo walishauri huu mfumo mpya wa uendeshaji wa hiz timu zetu kubwa,simba waliwah kulichukua wazo mapema lakin yanga walichelewa kwasababu ya wazee wachawi kama Akilimali
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
Sports Extra bado itaendelea kutamba kwa Maana Clouds wanasikika mikoa mingi zaidi yani kwa Tanzania bado Clouds ina wasikilizaji wengi kuliko E fm.
 
Baada ya kwa muda mrefu Clouds FM na Kipindi chao pendwa cha Sports Extra kutamba kwa muda mrefu kila Siku za Usiku wa Saa 3 hadi Saa 5 sasa wamempata Mpinzani wao mpya wa Kipindi cha Michezo cha Usiku.

Taarifa ikufikie kuwa kuanzia Wiki ijayo kile Kipindi pendwa cha E-Sports cha EFM kilichokuwa Kikiruka hewani kila Siku Saa 1 Usiku hadi Saa 2 Usiku na ambacho kilipotea hapa katikati sasa Kitarudi rasmi Hewani kila Siku kuanzia Saa 3 Usiku hadi Saa 5 Usiku.

Sasa ni mwendo wa Kununua Headsets / Headphones mbili mbili na zote unaziweka katika Masikio yako tofauti huku Unasikiliza Sports Extra ya Clouds FM na Kwingineko ( Sikio lingine ) unasikiliza E-Sports ya EFM.

Kazi ipo......!!!!!!
kitaalamu ''its win win situation''
 
Kiukwel hawa majamaa ni level nyingine kabisa

Kwanza kupitia kipindi chao wao ndo walishauri timu ziwe chache(16) ligi kuu kuleta ushindani

pia hao hao ndo walishauri huu mfumo mpya wa uendeshaji wa hiz timu zetu kubwa,simba waliwah kulichukua wazo mapema lakin yanga walichelewa kwasababu ya wazee wachawi kama Akilimali
Mambo ya kubadili timu uendeshaji yalianza zamani wakati Yanga inaongozwa na kina Mpondela sio hao wachambuzi.
 
Back
Top Bottom