Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,101
haujui katiba inasemaje kuhusu ushoga au unataka kunijaribu?
Nilipouliza nilitegemea kupata jibu sio kebehi
haujui katiba inasemaje kuhusu ushoga au unataka kunijaribu?
they are not forcing anyone to be gay you idiot!! they only want human rights to be respected, if you choose to be gay that's your problem!Can you imagine a dik behind you as a man, where you need regular operation kutoa uchafu wa mawaaaa, and no child, no possibility of family, unajisikiaje? Hao wazungu population growth sasa inawatokea puani
Ulimpigia jiwe then you don't regret, fine kwa hiyo kila afanyacho jiwe wewe una support.Hili tumelisema siku nyingi sana Lakini nyinyi ma "great thinkers" wa CCM mkaweka pamba masikioni!
Wengi tulishasema siku nyingi viongozi aina ya Bashite ni liability kwa taifa...tukisema mnasema tuna wivu.
Kwa tunaojielewa na kuitakia mema nchi yetu pasipo itikadi na upambe usi na mantiki......It will get worse before it gets better!
Personally nilimpigia kura Jiwe. I don't regret. Kwa sababu kwa choice tulizokuwa nazo..Jiwe was better.
Lakini nilitegemea awe Kiongozi anayependa kutumia weledi na busara. Siyo kila kitu ni kugombana na kuassume kwamba uko vitani. matatizo mengine mengi yanahitaji busara ndogo tuu kuyatatua. Agenda yake leo hii haitafanikiwa kama hapati hela! na huwezi kuwa Kiongozi ambaye raia wako wana manunguniko kila mara ukafanikiwa.
Tujitafakari tumekosea wapi. Hatujachelewa.
huwa sipendi kujibu mambo yanayojulikana,nina imani unajua vema ulichouliza ya nini kunitaabisha?Nilipouliza nilitegemea kupata jibu sio kebehi
you are talking about yourselfEmpty set.
We don’t want, that’s not our culturethey are not forcing anyone to be gay you idiot!! they only want human rights to be respected, if you choose to be gay that's your problem!
is the western education taught in schools your culture? what about your religion? language? and so many more! you don't have to do everything they do but don't be cocky about it.We don’t want, that’s not our culture
Who compelled you to be a gay?We don’t want, that’s not our culture
AiseeHili tu? Kuanzia Kuvamia na silaha Mawingu media...achana na Makontena, kiufupi Makonda hapaswi kua duniani /sio tu Uraiani.
Nadhan hata sisi sisimizi tumemkataabashite ni ziro brain na kwahili sakata amepoteza sifa ya kuwa ata kiongozi wa funza
Ukiwa shoga ntakupatia misaada mingi tu.Hili tumelisema siku nyingi sana Lakini nyinyi ma "great thinkers" wa CCM mkaweka pamba masikioni!
Wengi tulishasema siku nyingi viongozi aina ya Bashite ni liability kwa taifa...tukisema mnasema tuna wivu.
Kwa tunaojielewa na kuitakia mema nchi yetu pasipo itikadi na upambe usi na mantiki......It will get worse before it gets better!
Personally nilimpigia kura Jiwe. I don't regret. Kwa sababu kwa choice tulizokuwa nazo..Jiwe was better.
Lakini nilitegemea awe Kiongozi anayependa kutumia weledi na busara. Siyo kila kitu ni kugombana na kuassume kwamba uko vitani. matatizo mengine mengi yanahitaji busara ndogo tuu kuyatatua. Agenda yake leo hii haitafanikiwa kama hapati hela! na huwezi kuwa Kiongozi ambaye raia wako wana manunguniko kila mara ukafanikiwa.
Tujitafakari tumekosea wapi. Hatujachelewa.
Are you shogger?????haujui katiba inasemaje kuhusu ushoga au unataka kunijaribu?
Shogger jingine hili hapaUlimpigia jiwe then you don't regret, fine kwa hiyo kila afanyacho jiwe wewe una support.
Binafsi naamini watu wote waliompigia kura jiwe wana Low IQ sana,wengi walijikita ktk utendaji kazi wake,yaani ule uwezo wake wa kufuatilia mambo ya kikazi,lakini hiyo haikuwa sababu ya kumpa sifa ya kuwa Rais.
Urais unataka mtu mwenye ubongo uliotulia hasa, mwenye hekima na akili zisizo na pilipili kama za jiwe.
Jiwe was unfit to be a president na atakapoifikisha hii nchi wote mtakuwa mnalia.
Operation zifanyike kimya kimya kwa kumuogopa nani?
Kama mnataka misaada yao nendeni kwao mkafanye ushoga mpewe misaada maana naona inawauma sana.
NO USHOGA TANZANIA
Bora tule nyasi.
mimi ni MPINGA USHOGA NAMBA MOJA huyo jamaa anajua katiba inakataza ushoga halafu ananiuliza swali kama hilo unataka nimpe jibu gani?Are you shogger?????
hawa jamaa wanataka tuendelee kuwa watumwa kwa wazungu halafu wanajiita ma GTHalafu anayesema hana aibu, anaangalia eti hela. Muulize tofauti ya yeye na malaya anayejiuza barabani ni nini??
Tutembee vifua mbereeeeUchumi wa Tanzania unazidi KUPAA.
Na videvu juuuWe are in the right track!......Tembeeni kifua mbele
Sana tu Mkuu.Tutembee vifua mbereeee