Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 599
Na Thadei Ole Mushi.
#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.
Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.
NATAKA KUSEMA NINI?
Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.
Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.
Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.
#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.
Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.
Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...
Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.
Ole Mushi
0712702602
#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.
Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.
NATAKA KUSEMA NINI?
Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.
Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.
Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.
#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.
Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.
Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...
Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.
Ole Mushi
0712702602