Spinning zinavyotugharimu

Spinning zinavyotugharimu

Mwananchi wa chini

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
227
Reaction score
599
Na Thadei Ole Mushi.

#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.

Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.

NATAKA KUSEMA NINI?

Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.

Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.

Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.

#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.

Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.

Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...

Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.

Ole Mushi
0712702602
de.jpg
 
Na Thadei Ole Mushi.

#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.

Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.

NATAKA KUSEMA NINI?

Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.

Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.

Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.

#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.

Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.

Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...

Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.

Ole Mushi
0712702602View attachment 934811
Kumbe huko scandinavia wote ni mahomohomo tu.

JIWE walikuwa wanamtafutia timing, hizi homo homo ni visingizio tu.

Magu kazingua sana.
 
this time wamebugi.... sidhani kama bashite aliwashirkisha wataalam
matokeo yake ime backfire mbayaa

wamewamaliza wasanii na watu mashuhuri
wakadhani ushoga utawatoa wakasahau LGBT ni ishu world wide
"tatizo wana spin alot mbinu zmewaishia = na alot of spining ni indicator ya unapropiates somewhere inside!!
 
mambo yakiwa magumu Makonda ajiandae kwa kutolewa kafara, ndivyo watakavyo hao wapenda ushoga, jamaa akipigwa chini itabadili upepo...siungi mkono ushoga lkn ndivyo watakavyo hawa mabepari
 
Na Thadei Ole Mushi.

#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.

Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.

NATAKA KUSEMA NINI?

Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.

Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.

Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.

#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.

Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.

Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...

Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.

Ole Mushi
0712702602View attachment 934811


Hili tumelisema siku nyingi sana Lakini nyinyi ma "great thinkers" wa CCM mkaweka pamba masikioni!

Wengi tulishasema siku nyingi viongozi aina ya Bashite ni liability kwa taifa...tukisema mnasema tuna wivu.

Kwa tunaojielewa na kuitakia mema nchi yetu pasipo itikadi na upambe usi na mantiki......It will get worse before it gets better!
Personally nilimpigia kura Jiwe. I don't regret. Kwa sababu kwa choice tulizokuwa nazo..Jiwe was better.
Lakini nilitegemea awe Kiongozi anayependa kutumia weledi na busara. Siyo kila kitu ni kugombana na kuassume kwamba uko vitani. matatizo mengine mengi yanahitaji busara ndogo tuu kuyatatua. Agenda yake leo hii haitafanikiwa kama hapati hela! na huwezi kuwa Kiongozi ambaye raia wako wana manunguniko kila mara ukafanikiwa.

Tujitafakari tumekosea wapi. Hatujachelewa.
 
Operation zifanyike kimya kimya kwa kumuogopa nani?
Kama mnataka misaada yao nendeni kwao mkafanye ushoga mpewe misaada maana naona inawauma sana.
NO USHOGA TANZANIA
Bora tule nyasi.

Iko wapi sheria?
Katiba tuliyonayo inasemaje ?
 
Na Thadei Ole Mushi.

#Spin Doctor ni taaluma ya kijasusi ya kubadili hali ya mambo. Taaluma hii hutumiwa sana sana na wanasisa katika kuondoa mijadala na kashfa kubwa zinazowakumba au zinazoikumba Serikali.

Najua unajua kuhusu Wasbato maalia waliokuwa wakishinda pale Airport wakisubiri kwenda ulaya bila Passport walivyofanikiwa kuuzima mjadala wa Richmond, Escrow ikazimwa na Rais Mstaafu Kuumwa Tezi Dume nk.

NATAKA KUSEMA NINI?

Denmark ni mojawapo ya nchi zinazounda nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Nchi hizi zina ushirikiano mkubwa sana na ndizo zinazochangia asilimia 40 ya Budget yetu. Na hizi Asilimia 40 ndio chanzo cha Uhakika tofuti na asilimia 60 za ndani ambazo Mara nyingine hazifiki na Mpango kakiri bungeni kuwa makusanyo ni madogo.

Baada ya WB wiki hii kutunyima fedha sasa Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea.

Hili Gazeti la Politiken ndio Gazeti Pendwa na linaloongoza kwa kusomwa nchini Denmark na nchi za Scandinavia. Kuna Kampeni kubwa sana huko njee kuhusu Tanzania.

#Ni kweli kuwa hatukubaliani kwa Pamoja maswala ya Ushoga, Tatizo ni namna tulivyokuwa tunalishughulikia. Haya Mambo huwa yanamalizwa kimya kimya. Someni namna gani Ghana ilipunguza Rushwa iliyokuwa imeitafuna Ghana.

Mambo Mengine huna haja ya Operation za Wazi Bali ni Kimya kimya. Tuangalie Spinning tunazotumia sasa kumaliza agenda za msingi mtaani nani anazitengeneza na je zina Athari gani kwa taifa.

Spinning ni Muhimu ila lazma ziandaliwe na wataalamu baada ya kujiridhisha kuwa hazitaleta athari hapa wanahitajika watu Smart sana...

Kama hali Ikiendelea hivi hatutaweza kupandisha mishahara ya wafanyakazi na mambo mengi ambayo tuliahidi kwenye Ilani na kwenye Budget yanaweza yasikamilike.

Ole Mushi
0712702602View attachment 934811
Can you imagine a dik behind you as a man, where you need regular operation kutoa uchafu wa mawaaaa, and no child, no possibility of family, unajisikiaje? Hao wazungu population growth sasa inawatokea puani
 
Usiwe na shaka hizi zote ni prppaganda tu. Tuna mtaalam wa propaganda ambaye amesomea China na akafundishwa zaidi na Marehamu mzee Kingunge. Anaitwa mheshimiwa Kaijage.
 
Uko sahihi sana na pia huenda Yule mzungu pia aliyeibiwa Bongo akatuma video huenda ikachangia pia maana alitaja vitengo vyetu vyote
 
Back
Top Bottom